Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Exactly, memories unaweza kujikuta unalia kama msiba, kiujumla music ni mzuri sana.Inakua imekaa powa kama ni memories nzuri nzuri, Kuna nyimbo zingine ukiskiliza memories zake zinakupa majonzi unaanza kuwakumbuka washkaji ambao ulihustle saiv wametangulia mbele za haki au wapo lkn bado mambo magumu, nyimbo zingine utakumbuka misiba(hapa mara nyingi TENZI ZA ROHONI)
😁😁We jamaaaKwangu mziki ndio kiunganishi cha vitu ulivo vtaja,no sex bila mziki,no food bila mziki.. yaani natafuana kwa kufata biti, na gegeda kwa kufata biti
KbsExactly, memories unaweza kujikuta unalia kama msiba, kiujumla music ni mzuri sana.
Tushirikishane basi nyimbo nzuri za kufaa kupingana na wakati husikaNapenda music, halafu naupenda tena. Ukiwa na furaha,huzuni,upweke unakuliwaza,unakufundisha,unakukumbusha mengi yaliyopita. Music ni kama best friend.
Mziki mtamu sana, kuna kipindi ilifika nikaanza kujifunza kupiga gitaa, ila vidole vikakataa.😁😁We jamaaa
Mimi mzima kabisa ndugu yangu, nafurahi pia u mzima. Nilipotea kidogo toka mwaka jana. Unapendelea aina gani ya music?Tushirikishane basi nyimbo nzuri za kufaa kupingana na wakati husika
Mzima lakini ndugu yangu, ulipotea mno hadi nilikumiss sana, nafurahi upo mzima.
Mm mziki inategemea nimeamkaje naweza nkaskiliza wimbo Moja siku nzimaMziki mtamu sana, kuna kipindi ilifika nikaanza kujifunza kupiga gitaa, ila vidole vikakataa.
Aliegundua amapiano 🙏🙏🙏Mi naona maisha yangekuwa magumu sana, hii haijalishi ni aina gani ya muziki ila kila binadamu anasikiliza muziki!
Kuna muda unaweza tengwa na kila mtu ila music will be there! Bado sielewi hii nguvu na ya hii kitu inatokana na nini!
Kabsa, hapa nimesikiliza wimbo unaitwa lil mama wa sauti sol mpaka nimeuhurumia,kwanzia saa 12Mm mziki inategemea nimeamkaje naweza nkaskiliza wimbo Moja siku nzima
Hayo ni mawazo yake kwasababu tayari anaujua muziki,kwenye dunia ambayo muziki haujulikani mambo yangeenda vizuri tu na kuna mambo mengi sana ukiachana na muziki..Anamaanisha mziki ndio hukuliwaza hata wakati unapoachwa na mpenzi wako mziki ndio hukuliwaza.
Sasa kama kusingekuwepo na mziki ni kitu gani kingekuliwaza?
Asubuh nliskiliza Pini la professor j ft lady jay Dee remix nimeamini, nimeiskiliza mara mbili TU mpaka saizi sijahangaika tenaKabsa, hapa nimesikiliza wimbo unaitwa lil mama wa sauti sol mpaka nimeuhurumia,kwanzia saa 12
Wimbo gani bongo dar es salam au Niamini?Asubuh nliskiliza Pini la professor j ft lady jay Dee remix nimeamini, nimeiskiliza mara mbili TU mpaka saizi sijahangaika tena
NimeaminiWimbo gani bongo dar es salam au Niamini?
Iko njemaNimeamini
Inatokana na shetan!👹👹👹👹👹Mi naona maisha yangekuwa magumu sana, hii haijalishi ni aina gani ya muziki ila kila binadamu anasikiliza muziki!
Kuna muda unaweza tengwa na kila mtu ila music will be there! Bado sielewi hii nguvu na ya hii kitu inatokana na nini!
Karibu tena.Mimi mzima kabisa ndugu yangu, nafurahi pia u mzima. Nilipotea kidogo toka mwaka jana. Unapendelea aina gani ya music?
Zamani pia mziki ulikuwepo.Wazee wa zamani mbona Wali survive