Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kwako yanakushinda kazi kufuatilia ya wenzako
Bado tunaombeleza kifo cha ali kibao,akina soka wapo wapi? Na wengine wengiYa kwangu yapi hayo ?
Sasa hiyo itatuathiri vipi sisi waafrika?
tizo tapi?Una matatizo.
Canada imekuwa ovyo sana siku hizi
Ni asilimia ngapi ya export yote ya China inaenda US?Yeye Trump na Wamarekani wamejiandaaje na ongezeko la bei za bidhaa kutoka hizo nchi wakiimport? Naona watakuwa wanajiumiza wenyewe
Kwa sasa soko la Marekani linachangia 2% tu ya GDP ya China ambayo ni sawa na $500 bln katika uchumi wa China ambao ni $18 trillion.
Kwa hiyo kiuchumi China wala haimshtui. Miaka 6 iliyopita alifanya hivyo hakuna alichofanikiwa.
Waswahili walisema mfa maji haachi kutapatapa ndipo Marekani alipofikia kwenye ushindani na China
Na wakati huohuo Marekani ndiyo anaongoza kwa kuimport bidhaa kutoka China. Sasa nani anamtegemea mwenzake zaidi?
Najua kwa Mexico ni kwa sababu kuna investment nyingi za China zinazoingia Marekani kupitia Mexico kama 3rd part
Ni asilimia ngapi ya export yote ya China inaenda US?
So China anaexport 15% Percent ya bidhaa zake anazoexport kwenda USA? Hii ni sehemu kubwa sana ya uchumi ambayo kama China akiipoteza uchumi wake utayumba vibaya.Tukitumia data za Marekani wanasema katika uingizaji wa bidhaa Marekani bidhaa za China ni 15%
So China anaexport 15% Percent ya bidhaa zake anazoexport kwenda USA? Hii ni sehemu kubwa sana ya uchumi ambayo kama China akiipoteza uchumi wake utayumba vibaya.
Mkuu una tatizo kwenye kuangalia uchumi. 15% ya export yako unaona ni sehemu ndogo ya uchumi? 500bln USD unaona ni pesa ndogo kweli. Unafikiri ni mamilioni mangapi ya ajira ndani ya China yanategemea hiyo export ya 500bln usd? Kwenye biashara China anamtegemea US kuliko US anavyomtegemea China.Angalia thamani ya bidhaa achana na hizo percentage
Hiyo 15% ni sawa na 500 billion ataanzaje kuyumba? Kweli Mchina ayumbe kiuchumi kwa kupoteza soko la 500 billion?
All in all Marekani hana ubavu wa kusema asiimport bidhaa za China kabisa hiyo ni nadharia tu.
Marekani ana bidhaa nyingi anaimport kutoka China ambazo ni muhimu kwake