Canada, China, Mexico wajiandae dhidi ya Trump

Canada, China, Mexico wajiandae dhidi ya Trump

Kwa hiyo kusoma kwako kote uchumi haujawahi kusoma kuhusu export to percentage of GDP?

Mbona hii calculation kiuchumi inafahamika mzee. Haujawahi kuona, angalia hapo analysis ilivyofanyika

View attachment 3163611
Kwenye mtandao kila kitu kipo na kirahisi. Lakini mchango wa export kwenye gdp hauangaliwi kwa value tu ya bidhaa zilizouzwa. Wanaangalia pia hiyo export imetengeneza ajira ngapi. Imezalisha kiasi gani kwenye service industry nk nk. Sisi tunawauzia Kenya bidha za kama dola milioni 200 kwa mwaka. Lakini impact ya hiyo pesa na kubwa sana. Hiyo pesa itamlipa mkulima wa mahindi, naye atamlipa muuza mbolea, aliyemuuzia mifuko, mlimaji, mtu mwenye guest, boda boda aliyempeleka shambani nk nk. So kuangalia tu export kwa thamani yake kama sehemu ya gdp haileti maana iliyo sawa kiuchumi.
 
Umesema vyema

Trump anaionea wivu Mexico kwa sababu ya jinsi China imewekeza sana hapo Mexico. Na ikumbukwe Mexico ni biggest trade partner wa Marekani kwa hiyo bidhaa nyingi za makampuni ya China zinaingia Marekani kupitia Mexico ikiwa kama third party

BYD wana mpango wa kufungua kiwanda Mexico, Trump kwenye kampeni zake alishasema hayo magari ikiwa yataingia Marekani kutoka Mexico atayawekea tariffs kubwa

La sivyo hizo kampuni za Kichina zikafungue factories Marekani ili zisikumbane na hilo rungu la tariffs atakapokuwa raisi.

Alichokifanya sasa kwa Mexico tulikitegemea ndicho alichosema kwenye kampeni zake

View attachment 3163527
Soko la Marekani ni lucrative sana. Ndiyo maana China anahangaika hata kupitia Mexico ili kulifikia. Hapo tu utaona nani anamhitaji mwenzake zaidi.
 
Hata Marekani ifanyaje haitaweza kuondoa trade deficit kwenye biashara na China. Marekani inaihitaji China
Si rahisi kwa Marekani kuondoa hiyo trade deficit au kurudisha kwake manufacturing. Ninachokukatalia humu ni kitendo chako cha kudownplay umuhimu wa biashara ya Marekani kwa China. China anamhitaji US kuliko US anavyomhitaji China. Na bila ya access ya biashara ya US uchumi wa China utacollapse.
 
Kwa supply chain gani aliyo nayo Marekani?

Mpaka leo mfano tu defense contractors na watengenezaji wa vifaa vya electronic na bidhaa nyingine Marekani wanategemea suppliers kutoka China.

Marekani hana supply chain ya kuweza kutengeneza components muhimu za kulisha utengenezaji wa bidhaa zake za viwandani bila mkono wa Mchina

View attachment 3163521
Defense contractors wa Marekani wanaitegemea sana China
Moja ya sehemu US amejizatiti ni kwenye ulinzi. Ukiona ananunua vitu vinavyohusiana na ulinzi nje ya nchi jua kwamba si kwa sababu hawezi kutengeneza, bali kaamua kwa sababu zingine. Kama ambavyo amekuwa akinunua Uranium kutoka Russia.
 
Unaangalia mambo kinyumenyume. Mwenye trade surplus ndiye anayemhitaji mwenye deficit. China ambaye anauza sana Marekani kuliko anavyonunua ndiye anamhitaji zaidi Marekani.
Kwa hiyo Marekani hamhitaji Mchina? Kwa hiyo mapato anayopata kwa kuexport China hayana manufaa kwa uchumi wake sio?

Marekani anataka kujaribu kumkimbia Mchina direct anakutana naye indirect Vietnam na Mexico.
 
Kwenye mtandao kila kitu kipo na kirahisi. Lakini mchango wa export kwenye gdp hauangaliwi kwa value tu ya bidhaa zilizouzwa. Wanaangalia pia hiyo export imetengeneza ajira ngapi. Imezalisha kiasi gani kwenye service industry nk nk. Sisi tunawauzia Kenya bidha za kama dola milioni 200 kwa mwaka. Lakini impact ya hiyo pesa na kubwa sana. Hiyo pesa itamlipa mkulima wa mahindi, naye atamlipa muuza mbolea, aliyemuuzia mifuko, mlimaji, mtu mwenye guest, boda boda aliyempeleka shambani nk nk. So kuangalia tu export kwa thamani yake kama sehemu ya gdp haileti maana iliyo sawa kiuchumi.
Basi una safari ndefu kuelewa hiyo concept
 
Soko la Marekani ni lucrative sana. Ndiyo maana China anahangaika hata kupitia Mexico ili kulifikia. Hapo tu utaona nani anamhitaji mwenzake zaidi.
Kuinvest ni kuhangaika? Mexico ina watu 130 million ni soko kubwa Mchina ameona kuna fursa

Licha ya hapo uwekezaji wa Mchina hapo Mexico wala lengo kuu sio kuwa backdoor ya kuingia Marekani.

Ni pamoja na mataifa mengine ya Latin America

Ndio maana kwa sasa China ameipiku Marekani na kuwa biggest partner wa Latin America yote. Bara ambalo zamani trade partner wao mkubwa ilikuwa Marekani

Biashara ni strategies
 
Moja ya sehemu US amejizatiti ni kwenye ulinzi. Ukiona ananunua vitu vinavyohusiana na ulinzi nje ya nchi jua kwamba si kwa sababu hawezi kutengeneza, bali kaamua kwa sababu zingine. Kama ambavyo amekuwa akinunua Uranium kutoka Russia.
Sababu walishazisema kuwa ni vigumu Marekani kujiondoa kikamilifu kutoka supply chain ya critical components zinazotengenezwa China kwa ajili ya mifumo yao ulinzi na silaha zao

Pentagon inasema inatamani kuona defense contractors wa Marekani wakijitoa kutegemea suppliers wa China lakini ukweli si rahisi

"We know we're never going to get China fully out of U.S. supply chains.”
–Murphy Dougherty

Mkuu manufacturing ecosystem ya China achana nayo ni balaa lingine. Huwezi kumkimbia Mchina karne hii
 
Kwenye mtandao kila kitu kipo na kirahisi. Lakini mchango wa export kwenye gdp hauangaliwi kwa value tu ya bidhaa zilizouzwa.
Hiyo kitu sio kimtandao be updated ni kawaida sana kulinganisha export kwa annual GDP. Mataifa mengi huwa wanafanya hiyo kitu labda kama haujui
 
Acha upotoshaji. Sehemu kubwa ya export ya China kwenda USA, zaidi ya 90% ni finished products. Malighafi gani China inaiuzia US?
Huyo jamaa ni muongo na mpotoshaji sana, kama mvivu kusoma anakudanganya kweli, m naziangaliaga sana comments zake full upotoshaji kisa tu haipendi US na israel
 
Soko la Marekani ni lucrative sana. Ndiyo maana China anahangaika hata kupitia Mexico ili kulifikia. Hapo tu utaona nani anamhitaji mwenzake zaidi.
Vita ya biashara mwisho wa siku hakuna upande mshindi,ni vyema Trump asikurupuke na tishio lake la kuongeza tariff na kufukuza wahamiaji haramu. Akiongeza tariff na upande mwingine utaongeza tariff,bidhaa zitapanda bei sana na maisha yatakuwa magumu hasa kwa Marekani ambayo inaagiza zaidi.
Swala la wahamiaji haramu ndio wanaofanya dirty jobs kule Marekani nayo itakuwa na athari. Mind you wako zaidi ya million kumi.
 
Unaangalia mambo kinyumenyume. Mwenye trade surplus ndiye anayemhitaji mwenye deficit. China ambaye anauza sana Marekani kuliko anavyonunua ndiye anamhitaji zaidi Marekani.
Achana na huyo mwenye digrii feki ya madrassat, hakuna anachokijua tofauti na kuleta tu porojo za masjid ubwabwa.
 
Achana na huyo mwenye digrii feki ya madrassat, hakuna anachokijua tofauti na kuleta tu porojo za masjid ubwabwa.
Wewe huwa mpumbavu sana una ugonjwa wa udini udini unapenda kuharibu nyuzi za watu fala wewe
 
Hii international trade mmesomea wapi.

Hakuna namna mmarakani atamkimbia Mchina. Hana import substitution ya bidhaa anazotegrmea kutoka China sana sana atainunua kupitia third country.

Pili Mchina tayari ameshaliona Hilo na anampango wa devalue sarafu yake by 15% atakuwa ameondoa ongezeko Hilo Trump.

Hakuna nchi duniani Kwa Sasa yenye production ecosystems walionayo china na hata Russia.

EU wamekimbia kununua Kwa Urusi wameishia kununua Kwa kupitia nchi za Asia na Uturuki Kwa bei kubwa zaidi na wengije wananunua kimya kimya. Mwisho wa siku uchumi wa nchi za ulaya unapumulia mashine.
 
Back
Top Bottom