Kitu ambacho hujaelewa asilimia kubwa ya hizo exports kwenda USA ni malighafi za viwanda sio finished products.Mkuu una tatizo kwenye kuangalia uchumi. 15% ya export yako unaona ni sehemu ndogo ya uchumi? 500bln USD unaona ni pesa ndogo kweli. Unafikiri ni mamilioni mangapi ya ajira ndani ya China yanategemea hiyo export ya 500bln usd? Kwenye biashara China anamtegemea US kuliko US anavyomtegemea China.
China akisema agome na yeye Kuna viwanda vingi USA vitasimama uendeshaji maana cheap quality raw materials zinatoka China.