Sasa Hungary ni miongoni mwa mataifa yaliyotangaza wazi kumkamata?hakuna haja ya kuandikia mate,
wajitokeze kumkamata, hivi karibuni atakua Hungary 🐒
Sikia wewe punguani upo Uyole hujui lolote mabasha zako Marekani na Ulaya wamepambana ICC wasitoe hati ya mashataka imeshindikana ni ushindi Netenyahu kuwa kundi moja na kinaWafia dini mnachekesha nani mwenye mabavu ya kumkamata Netanyahuu kiongozi wa taifa la nuklia Israel labda nikuulize kiongozi gani alishakamatwa baada ya kudhuru taifa lolote mwanachama wa icc mfano Putin alienda falme za kiarabu mbona hawakumshika
Unahaha sana kuokoteza vijihabari kwenye mitandao.
Inachekesha viahabari vya kuokoteza na wewe unavisoma 😂Unahaha sana kuokoteza vijihabari kwenye mitandao.
Unapata afueni ukivisoma eh?
🤣
akafanye nini kwenye taifa lililodhaifu na lilioshindwa kama uingereza 🐒Sasa Hungary ni miongoni mwa mataifa yaliyotangaza wazi kumkamata?
Mbona hueleweki hata unachozungumza mkuu?
Nimesema ajichanganye akanyage mataifa yaliyotangaza kumkamata kama kweli yeye kidume.
unazungumzia makundi?Inachekesha viahabari vya kuokoteza na wewe unavisoma 😂
Kinachofuraisha Netanyahu sasa hivi yupo kundi moja na wenzake.
Bosco Ntaganda
Germain Katanga, Jean-Pierre Bemba
Laurent Gbagbo.
Huu ni ushindi tosha.
Trump povu linamtoka huko anataka kuiwekea vikwazo Mahakama😂
Wewe ndiyo unaogopa kufa kuuliwa muasisi wa Hamas ndiyo kwanza mapambano yanaendelea nyie walolole ndiyo mnaogoa kufa🤣unazungumzia makundi?
Sinwar, Haniyeh, Nasrallah, na Deif wanafaidi vibinti 72x4 huko waliko 🤣.
Halafu yule aliyefumuliwa komwe sijui itakuwaje sasa…
Kwa huu mvurugano wa uingereza na usa kuhusu Netanyahu na mahakama ya Icc naona tunaelekea pazuriHivi hata unaelewa nacho ongea? Mpaa uwe na akili ndio utafahamu wenye akili wakiongea. We umesema akikamatwa nyau kutakuwa na vita vya WW3 kivipi? Sababu ipi hujatueleza. Pili kama unategemea US atakuwa against UK basi unaota US yuko tayari kuwapinga Israel lakini asimpinge UK hio weka akilini UK wameisha sema Nyau watamtia ndani akigusa UK hilo ni pigo kubwa sana kwa USA kabla ya Israel. Usifananishe Putin na Nyau hata siku moja.
Hivi sisi hatuwezi kumkamata akija kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa?Wanaukumbi.
Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.
Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"
Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu
==============
8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.
@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”
View attachment 3158681
Nguvu aliyokuwa nayo isreli ni hapo gaza kwa kuwa wameizunguka na kuidhoofisha vya kutoshaMuerevu sasa mbona tena unaleta muhemko 🤣
Israel hawatakubali kiongozi wao kukamatwa popote Duniani, na ikitokea hivyo watatumia nguvu ikiwa ni pamoja na jeshi kuhakisha kiongozi wao hakai sero nchi yoyote ile?
Je,
Marekani na uingerea watakua upande gani Israel akilianzisha kwasabb hiyo?
Sio vita ya tatu hiyo ndugu muerevu ngmwenye muhemko kwenye masula muhimu?🐒
Unahaha sana kuokoteza vijihabari kwenye mitandao.
Unapata afueni ukivisoma eh?
Sasa kama kweli yeye mwanaume aingie nchi moja wapo hapo.
Umeona sasa nchi za makafiri zilivyo na akili?Wanaukumbi.
Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.
Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"
Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu
==============
8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.
@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”
View attachment 3158681