Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

Mataifa ya Ulaya na Amerika yanaendelea kutoa onyo kwa Gaidi Benyamini Netanyahu zitamtia mbaroni na kumpiga tanganyika jeki atakapo gusa ardhi zao

BREAKING:

Canada announced its support for International Criminal Court’s arrest warrant for Netanyahu.

Netanyahu will be arrested if he sets foot in Canada.
Sssshyee! Kwani hapo alipo hapamtoshi mpaka aende huko kwao? Mm nilidhani wanamsaka kumtia mbaroni kama Polisi wetu wanavyowasaka vibaka na wapinzani.
 
Wazungu ua watu wote lakini sio watoto kitendo cha yeye kupiga ile hospital ya kujifungulia kiliwakera sana Wazungu ndio maana Rais wa Ufaransa alimwambia wazi wazi hawezi kupeleka siraha akawapige watoto GAZA,Netanyahu hii kauli ilimkera sana hiyo mahakama ataruka ruka ila watamtia kwenye nyavu tu.
labda wamkamate Netanyahu wa mchongo si wa hii Israel. Mjue yule mwamba si slobodan
 
Putin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Putin huenda ikawa kweli akikamatwa dunia itakuwa kwenye mtanzuko mkubwa lakini Netanyahu akikamatwa hakuna chochote kitakachopelekea dunia kuingia kwenye vita.

Putin ni tishio la kweli la ulimwengu ndiyo maana anapigana na mataifa yote ya NATO na Marekani lakini Israel hana uwezo wa kusimama vitani peke yake na Hamas achilia mbali Lebanon ama Iran.
 
Hakuna mwenye ubavu wa kumkamata,
Ili kumaliza ubishi ajichanganye kutembelea mataifa hayo yaliyoweka wazi nia yao ya kumkamata.

Netanyahu yupo kwenye msongo wa mawazo kuliko kiumbe chochote kilichopo ulimwengu huu kwasasa maana haelewi hata pakushika amekuwa kama mwehu.
 
Losers clutching at straws.

Habari kama hizi ndo zinawapa afueni ya muda mfupi halafu baada ya hapo ni back to reality.

And the reality is, Israel is crushing Hamas to smithereens.

Na Netanyahu kamwe hatokamatwa na mtu yeyote yule.

Kama kweli wana ujasiri wa kumkamata, basi waende alipo na wakamkamate.

Kusema sijui akikanyaga wapi ndo atakamatwa, ni admission kuwa hakuna mwenye ubavu wa kumkamata.

Wewe mwenye ‘mamlaka’ ya kisheria ukijua mhalifu yupo sehemu flani, utaenda kumkamata.

Siyo kusubiri eti atoke ndo ujaribu kumkamata.
 
Wanaukumbi.

Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.

Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"

Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

==============

8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.

@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”

View attachment 3158681
Wafia dini mnachekesha nani mwenye mabavu ya kumkamata Netanyahuu kiongozi wa taifa la nuklia Israel labda nikuulize kiongozi gani alishakamatwa baada ya kudhuru taifa lolote mwanachama wa icc mfano Putin alienda falme za kiarabu mbona hawakumshika
 
Wafia dini mnachekesha nani mwenye mabavu ya kumkamata Netanyahuu kiongozi wa taifa la nuklia Israel labda nikuulize kiongozi gani alishakamatwa baada ya kudhuru taifa lolote mwanachama wa icc mfano Putin alienda falme za kiarabu mbona hawakumshika
Wapumbavu tu hao.

Kwao hiyo ndo habari njema kwa sababu, nje ya hapo, hawana jingine lolote lililo jema au lililo la ushindi.

Kila wakigeuka na kuangalia huku na huko, wanachoona ni kichapo kinachotolewa na Israel.

Hivyo wakipata hata vijihabari vya uongo na kweli vinavyoweza kutafsirika kuwa ni chanya, wanachekelea.

Deep down nadhani hata wao wanajua Netanyahu hatoguswa na mtu.

Netanyahu yupo Tel Aviv. Kama kweli ICC wana ubavu, si waende tu wakamkamate?

Kwa nini wasubiri mpaka atoke nje ya Israel?
 
Putin huenda ikawa kweli akikamatwa dunia itakuwa kwenye mtanzuko mkubwa lakini Netanyahu akikamatwa hakuna chochote kitakachopelekea dunia kuingia kwenye vita.

Putin ni tishio la kweli la ulimwengu ndiyo maana anapigana na mataifa yote ya NATO na Marekani lakini Israel hana uwezo wa kusimama vitani peke yake na Hamas achilia mbali Lebanon ama Iran.
hakuna haja ya kuandikia mate,
wajitokeze kumkamata, hivi karibuni atakua Hungary 🐒
 
Back
Top Bottom