The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Ona hili choko,sijui hata limeandika nini hapa? Au Ili mradi tu ujipitishe kwenye comment yangu huku ukitingisha kalio sio?Labda allah mungu wa waarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona hili choko,sijui hata limeandika nini hapa? Au Ili mradi tu ujipitishe kwenye comment yangu huku ukitingisha kalio sio?Labda allah mungu wa waarabu
Anayeitetea Israel ni USA,UK na Germany and not otherwise.israel hata ibaki peke yake na dunia nzima iwe kinyume nayo itasimama imara
Netanyahu hana ubavu wa kuanzisha vita ya tatu ya dunia.Putin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Ametamgaza kuongeza mashambulizi mapyaa usiku huuu naombaaa utujuze keshoo asbh.....hahahaaaa shikamooo benkqnyiiiWanaukumbi.
Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.
Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"
Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu
==============
8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.
@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”
View attachment 3158681
Neta paka hata vita ya mido ist hawezi anzishaPutin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Unajiona umeongea la maana kumbe ndio ujue kua hujui kitu yaani ila tuna heshimu mawazo yakoHz nchi zinaona sw Kwa alochofanya HAMAS Kwa Israel , Hawa wanachukia kuona Israel anataka maliza vita Mashariki ya kati Kwa kumaliza magaidi , Bora Africa ya kati walivyowatimuq Hawa akina France , ilikuwa seleka wanazurura mtaani pale Bangui na ukiwaulzia wanasema wamekuja kuleta amani ,wakati wavunja aman wanazurura mtaani , soon hayo mataifa yatakubwa na ugaidi huu wanaushabikia
It is obvious US ni lazma amteteee bwabwa mwenzakeUSA kasema Thubutuu..!! Mtu amkamate Netanyahu.😆😆😁
UnazinguaHuoni aibu ..yaani kama Toto vile mbona unadeka ivooo kwa niaba ya netanyau
Netanyahu yuko busy kushugulika na magaidi. Hizo warranty uchwara haziwezi kumzuia mwamba kutetea nchi yake.Netanyahu anatakiwa anyongwe hadharani dunia nzima ishuhudie.
Hata South Africa walisemaga Putin akitia maguu bushi kwao wanaruka naye swali Je uwezo huo walikua nao ? Au ndio mambo ya binadamu mwenye kinywaSome of the countries that are signatories to the Rome Statute.
They'll have to arrest Netanyahu if he steps on their soil. He's also not allowed to use their Airspace.
🇦🇱 🇦🇩 🇦🇬 🇦🇷🇦🇲 🇦🇫 🇦🇺 🇦🇹 🇧🇩 🇧🇧 🇧🇪🇧🇿 🇧🇯 🇧🇴 🇧🇦 🇧🇼 🇧🇷 🇧🇬 🇧🇫 🇰🇭 🇨🇦 🇨🇫🇹🇩 🇨🇱 🇨🇴 🇰🇲 🇨🇩 🇨🇰 🇨🇷 🇨🇮 🇭🇷 🇨🇾🇩🇰 🇩🇯 🇩🇲 🇩🇴 🇪🇨 🇸🇻 🇪🇪 🇫🇯 🇫🇮 🇫🇷 🇬🇦 🇬🇲 🇬🇪🇩🇪 🇬🇭 🇬🇷 🇬🇩 🇬🇹 🇬🇳 🇬🇾 🇭🇳 🇭🇺 🇮🇸 🇮🇪 🇮🇹 🇯🇵 🇯🇴 🇰🇪 🇰🇮 🇱🇻 🇱🇸 🇱🇷 🇱🇮 🇱🇹 🇱🇺 🇲🇬 🇲🇼 🇲🇻 🇲🇱 🇲🇹 🇲🇭🇲🇺 🇲🇽 🇲🇳 🇲🇪🇳🇦 🇳🇷🇧🇶
🇳🇿 🇳🇪 🇳🇬 🇲🇰 🇳🇴 🇵🇦 🇵🇾 🇵🇪 🇵🇱🇵🇹 🇰🇷🇲🇩 🇷🇴 🇰🇳 🇱🇨 🇻🇨 🇼🇸 🇸🇲 🇸🇳 🇷🇸
🇸🇨🇸🇱 🇸🇰 🇸🇮 🇿🇦 🇪🇸 🇵🇸 🇸🇷 🇸🇪 🇨🇭 🇹🇿 🇹🇯🇹🇱🇹🇹🇹🇳 🇺🇬 🇬🇧🇺🇾 🇻🇺🇻🇪🇿🇲
Alisikika chizi mmoja hivi wa milembe akisema..Anatakiwa aka nyee ndoo
BREAKING
: Italy says would have to arrest Netanyahu after ICC warrant
Hati ishatolewa mkuu hutaki 😂Yaani kikundi cha kigaidi kishambulie Israel halafu Israel ikiadhibu kikundi hicho ndio iwe uhalifu wa kivita kiasi cha kupelekea Netanyahu akamatwe? Netanyahu sio Slobodan Millosevich wala Charles Taylor na kina Kony
Waliokua wanampa siraha wametoa hati mla mihogo ataki..Hati ishatolewa mkuu hutaki 😂
Halafu,cha ajabu mabwabwa wanawakung'unta kiroho mbaya walioupara makobazi.It is obvious US ni lazma amteteee bwabwa mwenzake
Juzi hukuwaona Waarabu wakiwapiga Wa Israel huko Ulaya? Uislam ni Janga, Siku wakiamka na Takbir Allah akbar wanajilipua, atamtafuta Neta nyau haraka aje amsaidie.Huu uongo unakusaidia nini!?
Hamas na Canada wapi na wapi!?
Hamas wao kiu yao ni uhuru wa Palestina,suala la huko Canada linaingiaje?
Mbona toka kipindi Cha kina Anwar Sadat wapalestina walikuwepo Canada na hawakufanya unachodai.
Acheni usambazaji maneno ya chuki.
Hahaha hiyo specie huwa hawana shukran, angalia Europe walivyosumbua. siku hizi wameanza kuelewa huwezi kudanganywa kujilipua, halafu anayekudanganya yeye anakula raha duniani, hataki kwenda kupata 72.Wanataka kuwafurahisha waarabu, watakuja kujuta na huo uhamiaji holela walioruhusu. Time Will Tell