Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
- Thread starter
-
- #41
Tatizo wabongo hawapendi kufanya kazi, wenye kazi wapo tu kuskizia deal na michongo, hawafanyi kazi kwa moyo😂
Wanasaisa ni madili kwenda mbele, hawafanyi kazi wanafanyia party matumbo yao.
Myahudi Jr II , nakumbuka ulianza kitambo hizi harakati , vipi ulifanikiwa kwa kiasi gani mkuu tupate mwanga...Kama Passport ya 150,000 ni ngumu kupata hata kwa miezi 6 ndugu yangu basi usiombe, hivi wengine wanawezaje, kuna nchi in awatu masikini kama India? mbona wanaweza
Degree za vyuo vyenu vya kata,vitanatumia syllabus ya mwaka 1970, ndio maana ni mapoyoyoNdio Tanzania yetu, siku kikinuka mtaona wanaisasa na watoto wao wanavokimizana JK Nyerere, kila mwanasiasa anahakikisha mwanawe ana uraia wa nchi zenye maisha mazuri, mtu una degree unakuaje poyoyo
Habari wana Jamii Forum….
Leo napenda kushare na ndugu zangu nyinyi mambo kadha wa kadha juu ya uhamiaji,
Najua Tanzania tuna watu wengi sana wanapenda kufanya kazi nje, pia ukosefu wa ajira ni tatizo kubwa sana kwa nchi yetu, na pia hata walioajiriwa bado hawana tofauti na wasio na ajira(wao pia hulalamika Maisha magumu) afadhali yao na wasio ajiriwa ni moja tu WAMERIDHIKA.
Tanzania ukitaka uenjoy Maisha na ajira hakikisha unakua “single”, usiwe na mtoto, wala usiwe na wanaokutegemea yaani pesa yako ni wewe tu, HAKIKA utafurahia kidogo ulambishwacho.
Ndugu zangu tuchangamkieni fursa za uhamiaji (INFORMATION IS A POWER) ninayoandika hapa jitahidi ufanye mwenyewe kama utaweza.
- Daktari analia hana ajira na mshara hautoshi
- Engineer nao wanalia
- Manesi na wakunga wanalia
- Wachumi nao wanalia etc etc
CANADA wameongeza “list” ya kuhitaji nguvu kazi katika nchi yao, ni kweli wanahitaji, Watanzania tuchangamke ndugu zanguni, Wahindi wanatumia hizi fursa sana sasa hivi wnaruhusiwa kujiunga na Jeshi kwa walio na Ukazi wa kudumu na hata kingereza ni tatizo ila wanatoboa
View attachment 2419005
View attachment 2419006
Ukifika hapa NAKUHAKIKISHIA baada ya miaka 4 toka umefika tu wewe sio huyo, yaani nyumbani utarudi kutalii tu, mfn ($ in CAD)
Hapa kuna child support ni
- mshahara wa Dotka kwa mwaka (general doctor) ni $260,000.00
- Mfamasia $90,000 per year.
- Nurse $75,000 per year.
- Engineer $109,000 CAD
- Teacher $70,000
- Truck driver $45,000 per year
- Carpenter $43,100 CAD per year.
- Mmwaga zege $45,187
- Mpiga rangi $38,400
- Kibarua wa ujenzi $38,026
- IT $100,000
Hapo huduma za kijamii zote ni uhakika kwa 100%, kwa hapa swala la afya ni changamoto kidogo, Madaktari ni wachache kuliko watu, kwa afya 60%, unaweza Kwenda kumuona daktari saa 3 asubuhi ukatoka saa 10 jioni, hadi umeenda kwa daktari wewe unaumwa kweli, wengi naona huwa wanaenda kutibiwa kwao au wengi wanaenda DUBAI.
- $6,997 per year ($583.08 per month) for each eligible child under the age of 6
- $5,903 per year ($491.91 per month) for each eligible child aged 6 to 17
Hivi mtu una GPA ya 3.5+ unalia Tanzania,wakati wewe ni lulu kwa Jirani.
Unatakiwa vitu wiwili 2 tu, 1. Nenda British counsil pale kafanye IELTS score band 7+ hakikisha unajiandaa kweli, usiende kupoteza 700,000 yako, Pili unatakiwa uwe na “Educational credential assessment (ECA)” hii ni kama TZS 550,000 ndani ya miezi 5 unakua tayari kwa kuomba “Ukazi wa kudumu”
Watakuja wazee wanaochaji watu TZS 10,000,000 kuwaombea kusema nimekurupuka, bado kuna vitu vingi, hivo vitu vingi kikubwa ni Pesa ya kuonyesha unaweza kuishi mwaka mmoja ambacho wanataka CAD 12,000 sawa na TSH 17,000,000.00 uonyeshe bank (kwa mfanya kazi wa serikali unakopa unaweka bank, kuna wazazi wana pesa wanaweza kuwapa Watoto wao), wengineo anzeni na hivyo vya juu kwanza kuna njia za wahindi wanatumia, nitawaeleza wakati mwingine.
Watakuja tena watu ukiwa na hiyo pesa si bora ubaki bongo, utatoboa, BONGO KUTOBOA MPAKA UIBE na RUSHWA
Siku ukiwa na IELTS 7band nitakuelekeza jinsi ya kuomba LCA, ambayo ni wewe, chuo na Ubalozi wa Canada, malipo unalipoa kwa kadi wala USIJE HANGAIKA LIPA MAMILIONI KUFANYIWA wakati ni vitu rahisi.
Naunga mkono hoja. Asante kwa maarifa yako mkuu.kwa namna fulani ni kweli ulichoandika ila si rahisi, siwakatishi tamaa watu kwa hiki nitakachoandika ila nia yangu nikuwapa tu angalizo.. Kuingia canada unahitaji mambo mawili tu 1. PESA AU 2. CONNECTION ili uingie kwenye hii nchi lazima uwe na kimojawapo kati ya hivyo au vyote kwa pamoja na nikuhakikishie tu kwamba kuna mambo ya kuzingatia ili usinyimwe visa wakati upo kwenye mchakato wa kuingia canada 1. hakikisha huna historia ya makosa ya jinai katika nchi unayotoka, 2. hakikisha huna magonjwa magonjwa yaani afya yako iwe safi 3. Uwe na walau kiwanja au nyumba kama assets canada hawataki watu mizigo 4. Walau uwe umeoa/umeolewa (uwe na cheti cha ndoa kuthibitisha) na muwe na mtoto walau mmoja au wawili mimi nakuhakikishia kuwa ukizingatia mambo hayo 100% wanakuona ni mtu unaejielewa na utakuwa umejithibitisha kuwa wewe ni mtu potential katika kukuza uchumi wa nchi yao wanakupa visa chap.
Mbali na hayo tafuta hela za kutosha ingia kwa njia ya kusoma hapo utafanikiwa ukishindwa hiyo tafuta connection ya watu wanaokaa canada tengeneza urafiki then muombe mtu mmoja akusaidie kukualika canada then ukifika yeye ndiye atakuwa anaku-backup japo mnaweza kuelewana namna utakavyokuwa unamtoatoa ili awe anakusaidia kukuhifadhi na kukupa michoro kwa hii utafanikiwa 100%.. nje ya hapo hakuna njia nyingine rahisi njia zote ngumu sana maana zinahitaji uwe na pesa na kutapeliwa ni kwa kiwango cha juu sana. kifupi canada ni nchi nzuri sana, fursa ni nyingi sana na kutoboa ni jambo la siku 365 tu, Uwe na siku njema.
Umeandika huu Uzi Ukiwa CANADA ? au uko wapi
Degree za vyuo vyenu vya kata,vitanatumia syllabus ya mwaka 1970, ndio maana ni mapoyoyo
Hayo mkaratasi yako ya mzumbe na udsm mwisho airport,ukifika Canada hawayatambui lazima urudi darasani,kwenye elimu wacanada wako strictly sana Kuna mdada ailingia na degree ya nursing ya muhimbili university,aliambiwa hana sifa za kuwa nurse kaishia kufanya kazi za care sikukatishi tamaaSiyo sahihi, Elimu za nchi hizi ni nyepesi sana, ndio maana mTO wanakjja degree huku nje wanakimbiza sana.
Nakuhakikishia, ukichukua wanafunzi pale KIBAHA/ILBORU ukawaleta hapa kwa degree wote watapata first class GPA,
Hayo mkaratasi yako ya mzumbe na udsm mwisho airport,ukifika Canada hawayatambui lazima urudi darasani,kwenye elimu wacanada wako strictly sana Kuna mdada ailingia na degree ya nursing ya muhimbili university,aliambiwa hana sifa za kuwa nurse kaishia kufanya kazi za care sikukatishi tamaa
alingiq na degree ya nursing
kazi za care sikukatishi tamaa
YouTube na ukiwa kwa ground ni tofauti kabisaAcha sisi wenye taaluma zetu na usongo wa maisha twende zetu Canada [emoji1063] kutafuna maisha na mbususu za kizungu [emoji6]
Nyerere si alikuwa mshamba tu kama mshamba mwenzie wa chatoSasa kila mtu akitumia akili ya we have one life ina maana Nyerere angeamua si angekula zake bata akawaachia mashimo tu.
Acheni ubinafsi jamaa, hichi kirusi kinakula taifa na kitatumaliza.
Watu kama wewe mie huwaita qumah! Excuse my frenchNyerere si alikuwa mshamba tu kama mshamba mwenzie wa chato
WaziiMalipo ya care anapata pesa zaidi ya unesi wake wa muhimbili