...acha kulia, wachezaji mastaa wote kwenye timu hua wanapewa unahodha,haijalishi kapewa lini huo unahodha,muhimu apewe yeye ili kumfanya ajitume zaidi kwa ajili ya timu.
Hata kufahamika,ni rahisi zaidi marefa wa nje kumsikiliza Samatta kwenye mechi zaidi ya huyo canavaro anaefahamika jangwani.