Canola ni zao la mafuta linaloweza kuleta unafuu wa tatizo la uhaba wa mafuta Tanzania

Canola ni zao la mafuta linaloweza kuleta unafuu wa tatizo la uhaba wa mafuta Tanzania

Canola is a cool climate crop suitable for high altitude areas (1800 to 2400m) above sea level receiving an annual rainfall of 700mm per annum. It does well in optimal temperatures between 15 to 20 degrees Celsius in areas like Manyara, Kilimanjaro, Arusha, Mara, Mwanza, and singida.
acha kudanganya watu kwamba Mara na Singida unaweza lima Canola mkuu,
 
Canola is a cool climate crop suitable for high altitude areas (1800 to 2400m) above sea level receiving an annual rainfall of 700mm per annum. It does well in optimal temperatures between 15 to 20 degrees Celsius in areas like Manyara, Kilimanjaro, Arusha, Mara, Mwanza, and singida.
Kilimanjaro ni sehemu chache unaweza lima hilo zao hasa West Kilimanjaro, Arusha ni maeneo kama Karatu, sehemu, Monduli, sio Monduli nzima, Hanangi, sio yote. Mbeya sio Mbeya yote, Iringa
 
Usha wahi kulima au ndo unaaza furusa? Watanzania tunependa Ujanja janja wa kupita kiasi, mtu hujawahi lima unataka watu wawasiliane na wewe.

Canola sio rahisi kama mnavyo taka kuaminisha watu,
Hv hii canola ndio katamu au tofaut?
 
Mpaka Sasa nadhani chikichi ndiyo zao Bora la mafuta kwani lina 50%. Pia Shamba la michikichi unalima mazao mengine maisha yanaebdelea.
 
Canola ni zao la aina ya mmea jamii ya kunde; liligunduliwa uko Canada, na hili zao la canola limekuwa likilimwa zaidi ya miaka mingi sana uko Canada kabla ya kusambaa ktk bara zima la American.

Hili zao limekuja kwetu Afrika mashariki zaidi limekuwa likilimwa Kenya hasa maeneo ya rift valley, Canola limekuwa zao mbadala wa zao la aina ya Alzeti, kwa kiasi kikubwa hili zao la canola limekuwa zao ambalo linatoa faida nyingi sana kwa wakilima, kwanza kabisa hili zao la canola linachukua muda wa siku 85-90 kuweza kuvunwa ni takriban miezi mitatu.

Hili zao limekuwa likitumika kama zao mbadala/ zao mzunguko(crops rotation) kwa maana baada ya kuvuna canola basi udongo wa shamba lako hupata rutuba nyingi sana pamoja na mbolea, kwa ufupi hutumika sana km crops rotation. Pia huvumila magonjwa.

Baada ya kuvunwa kwa canola huwezwa kukamuliwa mafuta mazuri na yasiyo na colestrol km mafuta mengine, baada ya kukamua mafuta kinachobaki ni kitu kinaitwa Canola cake, ambayo hutumika kulishia mifugo na kuwapa Afya wanyama.

Kwa anayeitaji kulima hilo zao naomba tuwasiliane.

Zaidi ntaendelea kutoa elimu juu ya Canola.
Mleta mada MIMI NATAKA MBEGU tuu niambie inapatikana wapi na bei yake
 
Mleta mada MIMI NATAKA MBEGU tuu niambie inapatikana wapi na bei yake
Hili forum ina wagizaji sana, juzi nilipoat humu kuhusu Mbegu, watu wakapiga kimya bahati nzuri kuna mdau kutoka Mbeya akawa amebeba zote zaidi ya kilo 25. Hakuna kwa sasa, na najua tangazo uliliona
 
Hili forum ina wagizaji sana, juzi nilipoat humu kuhusu Mbegu, watu wakapiga kimya bahati nzuri kuna mdau kutoka Mbeya akawa amebeba zote zaidi ya kilo 25. Hakuna kwa sasa, na najua tangazo uliliona
Znapatkana kwa magendo au vp maana Kam vle biashara kificho hii
 
Canola ni zao la aina ya mmea jamii ya kunde; liligunduliwa uko Canada, na hili zao la canola limekuwa likilimwa zaidi ya miaka mingi sana uko Canada kabla ya kusambaa ktk bara zima la American.

Hili zao limekuja kwetu Afrika mashariki zaidi limekuwa likilimwa Kenya hasa maeneo ya rift valley, Canola limekuwa zao mbadala wa zao la aina ya Alzeti, kwa kiasi kikubwa hili zao la canola limekuwa zao ambalo linatoa faida nyingi sana kwa wakilima, kwanza kabisa hili zao la canola linachukua muda wa siku 85-90 kuweza kuvunwa ni takriban miezi mitatu.

Hili zao limekuwa likitumika kama zao mbadala/ zao mzunguko(crops rotation) kwa maana baada ya kuvuna canola basi udongo wa shamba lako hupata rutuba nyingi sana pamoja na mbolea, kwa ufupi hutumika sana km crops rotation. Pia huvumila magonjwa.

Baada ya kuvunwa kwa canola huwezwa kukamuliwa mafuta mazuri na yasiyo na colestrol km mafuta mengine, baada ya kukamua mafuta kinachobaki ni kitu kinaitwa Canola cake, ambayo hutumika kulishia mifugo na kuwapa Afya wanyama.

Kwa anayeitaji kulima hilo zao naomba tuwasiliane.

Zaidi ntaendelea kutoa elimu juu ya Canola.
  1. Picha ni muhimu
  2. Ungeeleza wapi linaweza kustawi Tanzania badala ya Kenya
  3. Ungezungumzia mechanism ya ukamuaji
  4. Ungetaja angalau ni kiasi gani cha zao hilo hutoa lita moja ya mafuta
  5. Ungeeleza kwa ufupi changamoto za kilimo hicho
  6. Upatikanaji wa mbegu
 
Hili forum ina wagizaji sana, juzi nilipoat humu kuhusu Mbegu, watu wakapiga kimya bahati nzuri kuna mdau kutoka Mbeya akawa amebeba zote zaidi ya kilo 25. Hakuna kwa sasa, na najua tangazo uliliona
Hapana mkuu sikuliona kumbe ndo maana ukajibu kwa hasira
 
Back
Top Bottom