BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hizi zinalimwa maeneo yenye baridi na miinuko au tuseme mikoa au maeneo wanako lima ngano,Tajen mikoa yenye mvua za wastan! Na upatkanaj wa mbegu ni wap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi zinalimwa maeneo yenye baridi na miinuko au tuseme mikoa au maeneo wanako lima ngano,Tajen mikoa yenye mvua za wastan! Na upatkanaj wa mbegu ni wap
acha kudanganya watu kwamba Mara na Singida unaweza lima Canola mkuu,Canola is a cool climate crop suitable for high altitude areas (1800 to 2400m) above sea level receiving an annual rainfall of 700mm per annum. It does well in optimal temperatures between 15 to 20 degrees Celsius in areas like Manyara, Kilimanjaro, Arusha, Mara, Mwanza, and singida.
Kilimanjaro ni sehemu chache unaweza lima hilo zao hasa West Kilimanjaro, Arusha ni maeneo kama Karatu, sehemu, Monduli, sio Monduli nzima, Hanangi, sio yote. Mbeya sio Mbeya yote, IringaCanola is a cool climate crop suitable for high altitude areas (1800 to 2400m) above sea level receiving an annual rainfall of 700mm per annum. It does well in optimal temperatures between 15 to 20 degrees Celsius in areas like Manyara, Kilimanjaro, Arusha, Mara, Mwanza, and singida.
Kuna watu watapigwa muda si mrefu,Bilaa shakaa hapa c Tz
Hv hii canola ndio katamu au tofaut?Usha wahi kulima au ndo unaaza furusa? Watanzania tunependa Ujanja janja wa kupita kiasi, mtu hujawahi lima unataka watu wawasiliane na wewe.
Canola sio rahisi kama mnavyo taka kuaminisha watu,
Anataka awauzie mbegu wajanja tumesanukaHuyu anataka kupiga watu, sasa anataka watu we awasiliane naye ili iweje?
Tupe mawasiliano yakoKwa anayeitaji kulima hilo zao naomba tuwasiliane.
Zaidi ntaendelea kutoa elimu juu ya Canola.
Mleta mada MIMI NATAKA MBEGU tuu niambie inapatikana wapi na bei yakeCanola ni zao la aina ya mmea jamii ya kunde; liligunduliwa uko Canada, na hili zao la canola limekuwa likilimwa zaidi ya miaka mingi sana uko Canada kabla ya kusambaa ktk bara zima la American.
Hili zao limekuja kwetu Afrika mashariki zaidi limekuwa likilimwa Kenya hasa maeneo ya rift valley, Canola limekuwa zao mbadala wa zao la aina ya Alzeti, kwa kiasi kikubwa hili zao la canola limekuwa zao ambalo linatoa faida nyingi sana kwa wakilima, kwanza kabisa hili zao la canola linachukua muda wa siku 85-90 kuweza kuvunwa ni takriban miezi mitatu.
Hili zao limekuwa likitumika kama zao mbadala/ zao mzunguko(crops rotation) kwa maana baada ya kuvuna canola basi udongo wa shamba lako hupata rutuba nyingi sana pamoja na mbolea, kwa ufupi hutumika sana km crops rotation. Pia huvumila magonjwa.
Baada ya kuvunwa kwa canola huwezwa kukamuliwa mafuta mazuri na yasiyo na colestrol km mafuta mengine, baada ya kukamua mafuta kinachobaki ni kitu kinaitwa Canola cake, ambayo hutumika kulishia mifugo na kuwapa Afya wanyama.
Kwa anayeitaji kulima hilo zao naomba tuwasiliane.
Zaidi ntaendelea kutoa elimu juu ya Canola.
Hili forum ina wagizaji sana, juzi nilipoat humu kuhusu Mbegu, watu wakapiga kimya bahati nzuri kuna mdau kutoka Mbeya akawa amebeba zote zaidi ya kilo 25. Hakuna kwa sasa, na najua tangazo ulilionaMleta mada MIMI NATAKA MBEGU tuu niambie inapatikana wapi na bei yake
Znapatkana kwa magendo au vp maana Kam vle biashara kificho hiiHili forum ina wagizaji sana, juzi nilipoat humu kuhusu Mbegu, watu wakapiga kimya bahati nzuri kuna mdau kutoka Mbeya akawa amebeba zote zaidi ya kilo 25. Hakuna kwa sasa, na najua tangazo uliliona
Canola ni zao la aina ya mmea jamii ya kunde; liligunduliwa uko Canada, na hili zao la canola limekuwa likilimwa zaidi ya miaka mingi sana uko Canada kabla ya kusambaa ktk bara zima la American.
Hili zao limekuja kwetu Afrika mashariki zaidi limekuwa likilimwa Kenya hasa maeneo ya rift valley, Canola limekuwa zao mbadala wa zao la aina ya Alzeti, kwa kiasi kikubwa hili zao la canola limekuwa zao ambalo linatoa faida nyingi sana kwa wakilima, kwanza kabisa hili zao la canola linachukua muda wa siku 85-90 kuweza kuvunwa ni takriban miezi mitatu.
Hili zao limekuwa likitumika kama zao mbadala/ zao mzunguko(crops rotation) kwa maana baada ya kuvuna canola basi udongo wa shamba lako hupata rutuba nyingi sana pamoja na mbolea, kwa ufupi hutumika sana km crops rotation. Pia huvumila magonjwa.
Baada ya kuvunwa kwa canola huwezwa kukamuliwa mafuta mazuri na yasiyo na colestrol km mafuta mengine, baada ya kukamua mafuta kinachobaki ni kitu kinaitwa Canola cake, ambayo hutumika kulishia mifugo na kuwapa Afya wanyama.
Kwa anayeitaji kulima hilo zao naomba tuwasiliane.
Zaidi ntaendelea kutoa elimu juu ya Canola.
Hapana mkuu sikuliona kumbe ndo maana ukajibu kwa hasiraHili forum ina wagizaji sana, juzi nilipoat humu kuhusu Mbegu, watu wakapiga kimya bahati nzuri kuna mdau kutoka Mbeya akawa amebeba zote zaidi ya kilo 25. Hakuna kwa sasa, na najua tangazo uliliona