SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,052
- 2,842
Wanabodi salama?
Najua ni BLUE MONDAY..lakini sio issue sana mradi jamvi lipo naamini hakuna kinachoharibika... Kumekuwepo na 'myth' kwamba LOVE IS BLIND...ikimaanisha kuwa mara nyingi mapenzi ni UPOFU..na unapokuwa unampenda mtu huwezi kuona hata yale yanayoonekana kwa wenzio (kwa wale waabudu limbwata mtanisamehe..hapa naongelea mapenzi yasiyo na catalyst yeyote....)
Gwiji wa miondoko laini (blues) Michael Bolton katika wimbo wake wa 'WHEN A MAN LOVES A WOMAN anasema hivi..na hapa namquote
Sasa hapa ndio najiuliza hivi ni kweli 'loving eyes can never see'?....hebu EMT, Mtambuzi , snowhite , gfsonwin , King'asti , BADILI TABIA , AshaDii , Dark City , saudari , lara 1 , nivea , Mr Rocky Eiyer na wengineo wote nisaidieni hapa..Nataka nione at the same time nipende....
Karibuni..........
Najua ni BLUE MONDAY..lakini sio issue sana mradi jamvi lipo naamini hakuna kinachoharibika... Kumekuwepo na 'myth' kwamba LOVE IS BLIND...ikimaanisha kuwa mara nyingi mapenzi ni UPOFU..na unapokuwa unampenda mtu huwezi kuona hata yale yanayoonekana kwa wenzio (kwa wale waabudu limbwata mtanisamehe..hapa naongelea mapenzi yasiyo na catalyst yeyote....)
Gwiji wa miondoko laini (blues) Michael Bolton katika wimbo wake wa 'WHEN A MAN LOVES A WOMAN anasema hivi..na hapa namquote
..when a man loves a woman deep down his soul she can bring him such misery...
If she's playing him for a fool, he's the last one to know..LOVING EYES CAN NEVER SEE
Sasa hapa ndio najiuliza hivi ni kweli 'loving eyes can never see'?....hebu EMT, Mtambuzi , snowhite , gfsonwin , King'asti , BADILI TABIA , AshaDii , Dark City , saudari , lara 1 , nivea , Mr Rocky Eiyer na wengineo wote nisaidieni hapa..Nataka nione at the same time nipende....
Karibuni..........
Last edited by a moderator: