Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Mdolidoli

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2020
Posts
221
Reaction score
242
Nimeona picha za Tunda insta baada ya Bilionea Laizer kutangazwa akijipa jina la Tunda Laiser

Picha zake zimeshtusha mashabiki kutokana na muonekano wake akiwa kakonda na mabaka meusi yamemjaa miguuni.

Wamehoji pia ukimya wa mwanadada huyu ambaye kwake Social Media ilikuwa kama kifungua kinywa kila siku lazima apost na drama kibao.

Kipi kimemsibu?
1593358772773.png

Screenshot_2020-06-25-21-48-22-1.png
 
Kimbilia kwenye lile jukwaa lako pendwa, unahitajika kule ukatoe technical advise!
Kule nimechoka kutoa advise ndio maana nachungulia huku kwa vijana Cappucino Tunda maana nimeGoogle.

Kaja mLatino mara wameniambia ni kahawa, mara kabinti sasa hawajaniwekea wasifu.

Ndio maana nikawaomba techinical advise au haturuhusiwi kuingilia mautamu yenu wakuu?
 
Nimeona picha za Tunda insta baada ya Bilionea Laizer kutangazwa akijipa jina la Tunda Laiser

Picha zake zimeshtusha mashabiki kutoka na na muonekano wake akiwa kakonda na mabaka meusi yamemjaa miguuni.

Wamehoji pia ukimya wa mwanadada huyu ambaye kwake Social Media ilikuwa kama kifungua kinywa kila siku lazima apost na drama kibao.

Kipi kimemsibu?
Fuata maisha yako.

Maisha ya Tunda hayakuhusu.
 
Back
Top Bottom