Kimbilia kwenye lile jukwaa lako pendwa, unahitajika kule ukatoe technical advise mkuu!BILA PICHA hawa watu bora nipite maana hata siwajui
labda Laizer
Mkuu umeziona hizo picha zake?daaaaahh inasikitisha sana
Kule nimechoka kutoa advise ndio maana nachungulia huku kwa vijana Cappucino Tunda maana nimeGoogle.Kimbilia kwenye lile jukwaa lako pendwa, unahitajika kule ukatoe technical advise!
BILA PICHA hawa watu bora nipite maana hata siwajui
labda Laizer
BILA PICHA hawa watu bora nipite maana hata siwajui
labda Laizer
Fuata maisha yako.Nimeona picha za Tunda insta baada ya Bilionea Laizer kutangazwa akijipa jina la Tunda Laiser
Picha zake zimeshtusha mashabiki kutoka na na muonekano wake akiwa kakonda na mabaka meusi yamemjaa miguuni.
Wamehoji pia ukimya wa mwanadada huyu ambaye kwake Social Media ilikuwa kama kifungua kinywa kila siku lazima apost na drama kibao.
Kipi kimemsibu?
Hadi Misago? Mwa-chair pia? Noma sana!Unataka nikupe chain au
Ok..tunda.wema.muna.uwoya ndo vipo kama 1bill..nandy.bill nas.misago.mwasit.ray c..rommy jons...wengne washadanja..chain ni ndef kwa leo iishie hapo
We utakuwa whozu bila shakaFuata maisha yako.
Maisha ya Tunda hayakuhusu.