duuh, Komba? a.k.a mzee wa msituni? umekufa mapema sana mzee, ulitakiwa ubaki hai ushuhudie katiba yako ikipingwa na wananchi lakini pia ukiona mabadiliko makubwa kabisa yakitokea mwaka huu.. pole sana, Mungu akulaze unakostahili..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.