TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

Taarifa zisizothibitishwa zinasisitiza kuwa ni kweli kafariki.
 
Kama hajafa kweli nitaamini maneno ya Mwl Nyerere alieliita jiji la Dar kama rumours' ville..
 
Wakuu nimepata taarifa kupiti Uhuru Fm kuwa John Komba, hawahaeleza kuwa chanzo cha kifo chake ninini.

Mwenye taafika zaidi tunaomba msaada,nilikuwa nje ya mtandao kwa mda mrefu kidogo sijui kinachoendelea duniani.
 
duuh, Komba? a.k.a mzee wa msituni? umekufa mapema sana mzee, ulitakiwa ubaki hai ushuhudie katiba yako ikipingwa na wananchi lakini pia ukiona mabadiliko makubwa kabisa yakitokea mwaka huu.. pole sana, Mungu akulaze unakostahili..
 
Kama kweli apumzike kwa amani nasi safari ni moja njia moja
 
hii habari imenishtua sana...kifo hakizoeleki jamani..kila nafsi itaionja mauti....vijana wenzangu tuupokee msiba huu kwa utulivu mkubwa
 
Kwa misukosuko ile anatakiwa awe na roho ngumu sana kuweza kuishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…