Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,833
- 972
Marehemu kaondoka na PASSCODE ya bendi yetu ya kwaimba viongozi waliokufa. Sijui bendi itaendelea bila PASSCODE? Nawaza tu kwa sauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You rest in peace only if you worked to create the peace not only for your self but the entire human race, the rest will turn left right and centre in their graves!
Watakufa wote, those selfish ma ---- let them bite the dust just like the albino who died helpless and at huyo komba could gace done somethin significant as an mp.rest in peace all albinos, as for komba die away ......
Ndio shida yenu ccm akili kichwani hakuna.. Hiyo ya Mnyika ni mtu kaandika kwenye wall yake na wala si yeye aliyeandika.. Anyway hata akifa hakuna pengo aliloacha kwa watanzania zaidi ya kwenu maccm na team mamvi
Wake watatu mmoja yupo kawe mwingine alikuwa akiishi naye na mwingine yupo village,
Ndio shida yenu ccm akili kichwani hakuna.. Hiyo ya Mnyika ni mtu kaandika kwenye wall yake na wala si yeye aliyeandika.. Anyway hata akifa hakuna pengo aliloacha kwa watanzania zaidi ya kwenu maccm na team mamvi
Mkuu umechanganya kidogo hapo. Wapinzani wachanwechanwe na watupweDaaaa huyu ndio yule anaeipambaga ccm kwa nyimbo kama " wapinzani tuwalete tuwakumbatie tuwabusu?" jamani kama ni kweli dunia naichukia
Kama Watanzania Taifa la watu wenye UTU(humanity) tumefikia mahali hapa kufurahia kifo cha mtu na kushangilia basi ninasikitika sana KWELI ninasikitika sana, Marehemu Captain John Komba ni mwanadamu kama sisi na kama wanadamu wengine ana mazuri yake na mabaya yake ana mema na mapungufu siyo VEMA hata kidogo kumtukana Marehemu na kufurahia kifo chake! Hebu jiulize mwenyewe kama Captain Komba angekuwa mzazi wako au ndugu yako watu wakawa wanafurahia kifo chake ungejisikiaje? Kuingia msituni kupinga serikali tatu ni mtazamo wake maana anaona mapungufu ya serikali tatu na madhara yake na ninyi mnaopinga serikali mbili mna mitazamo yenu na mnaona mapungufu ya serikali mbili na madhara yake(hiyo ni mitazamo) na inatakiwa kupingana kwa hoja na tofauti zenu za mitazamo iwe ndiyo umoja wenu kama taifa la watu wenye utu na hoja siyo kutukana na kujengeana uadui, hakuna anayejua salio halisi la maisha yake! Komba amefariki but who's next? Labda mimi au wewe! Hivyo tuepuke kutoa majibu emotional maana si VEMA kwa kiongozi kuongozwa na hisia, wengi mmeonyesha hisia za chuki huku mkijinadi kama mbadala wa utawala uliopo I can tell you that the situation will worsen than now because you guys don't think like actual leaders! Act and live like a righteous leader even though you're not in the system, Nimesikitishwa sana na kifo cha ndugu yetu Captain John Komba alikuwa mwimbaji mzuri na mhamasishaji mzuri sana wa yale anayoyaamini, Mungu amrehemu na kumpumzisha, AMEN