Kama kaacha hela yake kwa nini hayo yasifanyike? Miye nisha waambia watu wangu kuwa siku si nyingi ntalitengeneza langu likae tayari kwani nategemea kuzikwa na kitanda changu. Rambi rambi wanunulie kingine atakaye bakia.
achana na fikra potofu
Lowassa ni mtu mwema sana.... Mungu amlinde....
Wema kwawachumia tumbo kama wewe mwenzako ameshatangulia mstuni sasa hivi yupo MsalaniUmeandika maneno machache lakini ni mazito mno. Mungu aendelee kukulinda.
EL ni fisadi tu....anaetumipa pesa kuhonga wajinga wasiojielewa....! Mnataka kuitia laana nchi, bora nchi tumpe Bambo...sio lijizi!
Lowassa ni mtu mwema sana.... Mungu amlinde....
EL ni fisadi tu....anaetumipa pesa kuhonga wajinga wasiojielewa....! Mnataka kuitia laana nchi, bora nchi tumpe Bambo...sio lijizi!
Kakupa shingapi?
Kawaulize UVCCM watakua na jibu
Jiandae kisaikolojia tu mkuu, ukiona ngumu kumeza hama nchi, EL ndo Rais wetu wa awamu ya tano.
Mungu anaanza kufanya kazi yake kwa watetea mafisadi kama wewe
Nyia ndio mjiandae kuua watu na kuiba kura!! Kulazimisha fisadi, mnunua kura za wajinga aingie ikulu!! Eti ye tajiri wa marafiki hata aibu halina fiswadi tu!