TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

Kama kaacha hela yake kwa nini hayo yasifanyike? Miye nisha waambia watu wangu kuwa siku si nyingi ntalitengeneza langu likae tayari kwani nategemea kuzikwa na kitanda changu. Rambi rambi wanunulie kingine atakaye bakia.

Hivi nyie viumbe mnaopenda kuf unikwa kwa zege hivi siku ya mwisho kama siku ya mwisho unatakiwa utoke mwenyewe kwenye kaburi itakuwaje muwaambie kabisa wawazike na sururu na matindiu.
 
Pumzika kwa amani capt. Komba. Hongera sana kwa ubinadam uliouonesha mtarajiwa rais wa JMT mhe. ELowassa kwa kuhudhuria msiban, hakika n ufariji tosha kwa familia ya marehemu. Sisi wanadam daima hatuna uwezo au mamlaka yoyote juu ya kifo.. Hatuna maarifa hayo. Na mavumbin tutarejea. Amen.
 
Kuliko kumpa Lowasa urais wa Tanzania nibora tuwarudishe wakoloni Waingereza au Wajerumani
 
EL ni fisadi tu....anaetumipa pesa kuhonga wajinga wasiojielewa....! Mnataka kuitia laana nchi, bora nchi tumpe Bambo...sio lijizi!

Jiandae kisaikolojia tu mkuu, ukiona ngumu kumeza hama nchi, EL ndo Rais wetu wa awamu ya tano.
 
Jiandae kisaikolojia tu mkuu, ukiona ngumu kumeza hama nchi, EL ndo Rais wetu wa awamu ya tano.

Nyia ndio mjiandae kuua watu na kuiba kura!! Kulazimisha fisadi, mnunua kura za wajinga aingie ikulu!! Eti ye tajiri wa marafiki hata aibu halina fiswadi tu!
 
Naona TeamEL katika umoja wao, mtu wenu asipopitishwa huko magambani karibuni UKAWA mhesabiwe.
 
Lowassa anautumia msiba kufanya kampeni aisee.huyu mtu ni wa kumuogopa Kama ukoma.
 
Back
Top Bottom