TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

kutoka clouds radio jioni hii mbunge, na mwimbaji wa ccm john komba amefariki dunia,leo hii jijini dar es salaam.
 
Friends Of Hon.Membe kwa niaba ya watanzania wote wanatuma salamu za pole kwa familia ya aliyekuwa mbunge wa bunge la Jamhuri ya Tanzania na kiongozi wa bendi TOT Plus Kapt.John Damian Komba kwa msiba mkubwa uliowakuta kwa kuondokewa na baba yao kipenzi.Kapt.Komba alikuwa mtu makini na muaminifu kwa chama tawala.Wapigakura wake watamkumbuka kwa utendaji kazi uliotukuka.Amekuwa mbunge na mpiga kampeni mzuri kwa Ccm tangu uhai wake hadi mauti yalipomfika.Mungu amlaze mahali pema peponi.Amina!
 
Mkuu kweli tunatembea tukiwa wafu...!!!!

Huyu mzee juzi hapa alidai ati kama katiba mpya itatumbua uwepo wa serikali tatu "Yupo tayari kuingia msituni kupigania serikali mbili"..

Tena juzi pale Songea akawaimbia ccm wimbo wa "kuwaaga" huku Kikwete akimsifu ati haishishiwi nyimbo...!!!!! Leo ndo hivyo tena..!!!

Nadhani mstuko wa kupigwa mnada nyumba na shule alizokuwa akimiliki zimechangia mzee kuondoka mapema... Aaaaah alale anapostahili....!!!!!!!!

BACK TANGANYIKA

Inawezekana ndugu yangu....dah maisha ni safari
 
RIP John Damian Komba.Nitakukumbuka sana wakati wa msiba wa Mwl.JK Nyerere.................ulitufariji waTZ kwani uliandaliwa hata kabla ya kifo cha Mwl.Kutangazwa............:A S-alert1:
 
Kisukari , pressure ni magonjwa ya kuchunga hasa kipindi hiki siasa zipo za vyama vingi kiukweli RIP
 
Alijiita wa MUYAYA , akasahau kwamba wa muyaya ni Mungu. na JK alipofika songea naye akawaambia wananchi kwamba komba wa muyaya .
 
Back
Top Bottom