TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

R.I.P Rafiki Yangu komba Mimi ni mpinzani wako kisiasa ila katika hili tuko pamoja na family yako kuifariji tuko nyuma yako ulale na upumzike kwa amani.
 
Itabidi akaijiandae kuingia msituni akifika huko aendako ili kuipinga katiba ya Warioba.
 
Well,sikubaliani na Captain Komba kwa mwenendo wake kisiasa miaka ya hivi karibuni,lakini nakumbuka jinsi mfalme Daudi alivyoomboleza kifo cha mfalme Sauli(aliyetaka kumwua) na kumzika kwa heshima zote.Kuna somo la kimaadili natoa hapa Jf.Tulimkosoa sana Komba humu alipokuwa hai.This time hatusikii tena.Nitaufundisha mabaya moyo wangu mwenyewe iwapo nitatumia nafasi hii ya kutoa pole kwa kumtusi marehemu.Mtu akiwa hai tunaweza ku-attack personality pia,lakini akishakufa,ni vema kukosoa yale aliyoyafanya tena kwa wakati mwingine,katika mijadala mingine,sio hapa pa kutolea pole.Tuwe na uungwana wadau.JF is so big!Baada ya kusema hayo,kofia yangu nikiivua,nasema,I SALUTE YOU CAPTAIN!Thank you for your service.Goodbye.

Huo utakuwa ni UNAFIKI,na unafiki ni dhambi mbaya,yaani mtu siku zote unampinga na kupinga anayoyafanya hlf leo ujilazimishe kuonesha upendo.Haifai.
 
Wale wote walioshiriki kudhihaki maoni ya watanzania, waliomtemea mate baba yetu Warioba, sasa wakajipime, waone kama walichomfanyia Warioba ni sawa sawa.


Makonda, kifo cha Komba iwe changamoto kwako, maana neno la mungu linatuambia wote wenye hila mtapukutika taratibu.... Una nafasi ya kuomba msamaha kwa kumpiga na kumdhihaki mzee wa watu

biblia gani
 
R.I.P captain komba ,kila nafsi itaonja umauti

SIO kila nafsi,Kiama kitakapofika kuna watakaokutwa hai,japo pia wataadhibiwa kulingana na matendo yao. Kama unaamini ktk dini rejea kwny maandiko mkuu.
 
Mungu ilaze roho ya mwenzetu captain john Damian Komba mahali pema pepo.
 
habar ya majonzi sana, apumzike kwa amani mpiganaji.
 
Habari wadau,ni masaa machache yamepita tangu tumpoteze mbunge wa mbinga mheshimiwa komba,ni hoja ipi iliyojengwa bungeni na mheshimiwa itakayokufanya usimsahau?
 
Mwenyezi mungu iweke roho ya marehemu mahala pema peponi

Mwenyezi Mungu anaiweka roho ya marehemu pale panapostahili...kama alikufa katika haki atawekwa mahala pema
Na kama alikufa katika hali ya dhambi atawekwa panapomstahili
-Hatuwezi kupangua ya Mungu.
 
Ohhhh!!! Jamani RIP Komba japokuwa ulikuwa unaniudhi na kauli zako mbofu mbofu.
 
Kimekuwa kifo cha ghafla sana. Ile bendi sijui kama itaendelea kuwepo.
 
Back
Top Bottom