TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

Kama alikuwa ovyo lazima isemwe..... Kila mtu atakufa huna haja ya kuogopa kifo tunatembea nacho.... Aende zake......

Ukishasema inasaidia nini?he is gone?!...ulikuwa huoni alivyokuwa ovyo ukamfuata unasubiri mpk amekufa ndio uropoke....huo ujasiri wako uko wapi?
 
Hivi mnaoandika kashfa mnajua kuwa na nyie pia nimarehem watarajiwa???
 
SIO kila nafsi,Kiama kitakapofika kuna watakaokutwa hai,japo pia wataadhibiwa kulingana na matendo yao. Kama unaamini ktk dini rejea kwny maandiko mkuu.

Nakuunga mkono. Atakuja tena kwa hukumu kuwahukumu WAZIMA na WAFU
 
mwenzenu sijui nikoje... nikisikia msiba huwa nasikitika sana hata kwa nisie mjua. but kwa komba sijui kwa nini sisikii kuguswa kabisa na huu msiba.. yaani naona kawaida tu! dah tufanye yaliyo mema wakati wa uhai wetu bandugu ili tuache positive legacy tutakapo pumzika.

RIP Komba... but haitoki moyoni WHY!!??

Haijatoka moyoni ila imetoka kwenye simu yako, asingekugusa usingetuandikia gazeti mkuu.
 
Sijui mimi na wengine tujifunze nini kutokana na yaliyoandikwa humu kumhusu Marehemu John Komba.
 
rip komba. najua jimbo atapewa mtoto wako alieko ccm kama majimbo mengine ya kalenga nk
au wewe hukuandika mirathi ya jimbo
 
Wakuu nimepata taarifa kupiti Uhuru Fm kuwa John Komba, hawahaeleza kuwa chanzo cha kifo chake ninini.

Mwenye taafika zaidi tunaomba msaada,nilikuwa nje ya mtandao kwa mda mrefu kidogo sijui kinachoendelea duniani.

Jina lako linafanana na uandishi wako
 
Eeh imenibidi nishtuke khaa marehemu uso umemvimba kama wamemuweka amira

Ila eti nasikia kafa kwa presha alikuwa anadaiwa mil 700 wakataka kuuza nyumba yake ya Mbezi ndio bwana yule presha sijui BP au kisukari atajua mwenyewe Aliko Uko , ndo chanzo cha kifo chake nasikia..ila swali je komba alikuwa MTU Wa kukosa mil 600? Mimi na wewe hatuyajui ebu ngoja niingie misitu ya mabopande nikachukue umbea zaidi

Haya muandishi wangu mahiri ninayekuaminia nasubiri ripoti kamili.
Au ni ule mkopo aliokopaga CRDB nasikia walikua wanamdai ml.600 alizoenda kujengea ile shule yake.
 
Mithali 17:5 Naye aufurahiaye msiba hatokosa adhabu.
 
Back
Top Bottom