JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Hii thread ni maalumu kwa ajili ya results zote ambazo nitakuwa nazipata baada ya kufanya diagnosis kwenye magari. Nitakuwa napost screenshots za hizo codes pamoja na hatua mbalimbali nilizozipitia katika kutatua natatizo hayo.
MUHIMU: Kama tatizo limetatuliwa kwa njia fulani, haimaanishi kwamba kila siku litatatuliwa kwa njia hiyo. Unaweza ukakutana na matatizo matano ya aina tofauti na ukayatatua kwa njia 5 tofauti. Tumia akili.
Kama utakuwa Impressed na njia ambazo tunatumia kudiagnose na kurekebisha matatizo, basi tuwasiliane 0621 221 606 Nipo Dar Magomeni, Mwembechai.
MUHIMU: Kama tatizo limetatuliwa kwa njia fulani, haimaanishi kwamba kila siku litatatuliwa kwa njia hiyo. Unaweza ukakutana na matatizo matano ya aina tofauti na ukayatatua kwa njia 5 tofauti. Tumia akili.
Kama utakuwa Impressed na njia ambazo tunatumia kudiagnose na kurekebisha matatizo, basi tuwasiliane 0621 221 606 Nipo Dar Magomeni, Mwembechai.