Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Inakosa nguvu kabisaa kwenye kilima......pia highway inaweza ikachanganya kawaida kwa haraka..kuna muda inakuwa nzito sana .inakosa nguvu...haswa nikiwasha AC au kama nimebeba watuGari ina tatizo gani?
Crankshaft position sensorInakosa nguvu kabisaa kwenye kilima......pia highway inaweza ikachanganya kawaida kwa haraka..kuna muda inakuwa nzito sana .inakosa nguvu...haswa nikiwasha AC au kama nimebeba watu
Nitakifuatilia kwa ukaribu...kwa upandw wa engine haikuonyesha fault yoyote....Crankshaft position sensor
Nitakifuatilia kwa ukaribu...kwa upandw wa engine haikuonyesha fault yoyote....
Ila kwenye transmission ndiyo ilionyesha code P0725 na maelezo yakadai speed sensor...
Binafai nilipojaribu kugoogle hiyo code ilileta maelezo yanayohusiana na speed sensor
Nitakifuatilia kwa ukaribu...kwa upandw wa engine haikuonyesha fault yoyote....
Ila kwenye transmission ndiyo ilionyesha code P0725 na maelezo yakadai speed sensor...
Binafai nilipojaribu kugoogle hiyo code ilileta maelezo yanayohusiana na speed sensor
Nitakifuatilia kwa ukaribu...kwa upandw wa engine haikuonyesha fault yoyote....
Ila kwenye transmission ndiyo ilionyesha code P0725 na maelezo yakadai speed sensor...
Binafai nilipojaribu kugoogle hiyo code ilileta maelezo yanayohusiana na speed sensor
Mshale wa rpm unapanda kama kawaida ila leo asubuhi imetokea hali ya tofauti....nimefika kwenye kilima gari likaishiwa nguvu.. nikakanyaga pedo ya mafuta mpaka kwenye floor..rpm haikuvuka 2...na gari likaindoka kwa shida sana ila baada ya sekunde chache rpm ijakubali kuoanda mpaka 3 na kuendeleaBut kwa nissan hiyo code ni Crankshaft position sensor....
Labda useme unapoendesha gari inapokosa nguvu, mshale wa rpm unapanda kama kawaida?
Ndiyo gear box ina control box yake na engine ina control box yakePia hiyo Nissan inatumia control box mbili tofauti kwa engine na gearbox?
Basi hiyo ni engine....Mshale wa rpm unapanda kama kawaida ila leo asubuhi imetokea hali ya tofauti....nimefika kwenye kilima gari likaishiwa nguvu.. nikakanyaga pedo ya mafuta mpaka kwenye floor..rpm haikuvuka 2...na gari likaindoka kwa shida sana ila baada ya sekunde chache rpm ijakubali kuoanda mpaka 3 na kuendelea
Kesho nitafuatilia kwa ukaribu zaidi...maelezo ya mtandaoni naona yanasema hivi..Basi hiyo ni engine....
Kesho nitafuatilia kwa ukaribu zaidi...maelezo ya mtandaoni naona yanasema hivi..
P0725 Nissan: Code Meaning, Causes, Symptoms, & Tech Notes (With Video)
The Engine Control Module (ECM) monitors the engine speed through the Crankshaft Position (CKP) sensor with the engine running, and send a signal to thewww.engine-codes.com
Ila kilichonishangaza wakati wa kufanya diagnosis, hiyo code ilionekana upande wa transmission,...sijui kwa nini..Yes nao naona wanaitaja hiyo CKP
Okay ni sawa piaIla kilichonishangaza wakati wa kufanya diagnosis, hiyo code ilionekana upande wa transmission,...sijui kwa nini..
Nadhani nitaaza na zoezi rahisi la kusafisha connectors za sensor husika endapo zina caborn....zikigoma basi nitaweka sensor nyingine..
Nissan gani chief?Nissan mkuu
Note boss ya 2005Nissan gani chief?
Crank shaft position sensor...Basi hiyo ni engine....
Baada ya kuisafisha.......nimeona uafadhali kidogo ila bado napata rough idling.....Crank shaft position sensor...
Baada ya kuifungua nimeikuta ina hali hii...imeganda uchafu mwingi....
Nikaisafisha, baada ya kuirudishia ile hali ya gari kukoa nguvu ikasha na inarudi, inaisha kisha inarudi.....leo nataka nikaweke sensor nyingine...View attachment 1980680
Okay japo ni very rarely hii sensor ukaisafisha na tatizo likaisha...Baada ya kuisafisha.......nimeona uafadhali kidogo ila bado napata rough idling.....
I need to replace this sensorView attachment 1980684