JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
-
- #61
View attachment 2009292
Toyota Allex yenye engine ya 1NZ-FE inaenda 6Km/L.
Haijawasha Check engine ila tulivopima imekuja P0100 na P0110. 90% hiyo P0100 inaweza kuwa sababu.
Japo zimetajwa sensor mbili hapo ila zote mbili zinakaa kwenye Housing moja.
Vipi mmefanikiwa kubadilisha mkaona utofauti..,?Na hauwezi kuzitenganisha.
Hii ni ya gari gani?Crank shaft position sensor...
Baada ya kuifungua nimeikuta ina hali hii...imeganda uchafu mwingi....
Nikaisafisha, baada ya kuirudishia ile hali ya gari kukoa nguvu ikasha na inarudi, inaisha kisha inarudi.....leo nataka nikaweke sensor nyingine...View attachment 1980680
Nissan Note mkuuHii ni ya gari gani?
Basi mkuu, nilikuwa nina wasiwasi inafanana na mbili hivi niko nazo za xtrail qr20, jamaa alikuwa nazo mpya akanipa gari yangu(xtrail yd22) haziingiliani.Nissan Note mkuu
Hii yangu ina pini tatu mkuu...haiingiliani na xtrail...tulishaangalia ya xtrailBasi mkuu, nilikuwa nina wasiwasi inafanana na mbili hivi niko nazo za xtrail qr20, jamaa alikuwa nazo mpya akanipa gari yangu(xtrail yd22) haziingiliani.
Nimeicheki haifanani, ila kwa mbaali inafanana na ya kwangu, ila yangu chini ina kibati..
Hii yako meno mangapi?
Mkuu vipi mtu anaweza kukucheki ukaenda kukagua gari ikiwa kwa mfano nainunua kutoka mikononi mwa mtu kujua ikiwa ipo sawa au ina tatizo lolote JituMirabaMinneView attachment 1833694
Hii nimeidiagnose week iliyopita. Ni Toyota IST ya mwaka 2002. Gari haikuwasha taa yoyote kwenye Dashboard ila ilikuwa na Dalili zifuatazo.
1. Kuwaka huku idle speed(sailensa) iko juu sana. Mshale unaweza kuwakia hata kwenye 3 au zaidi.
2. Kukosa nguvu.
3. Gari ilikuwa haivuki speed 80Km/h.
Tulipopima tu ikaja hiyo code P1656 - OCV circuit(Bank 1).
View attachment 1833697
OCV ni kufupisho cha Oil Control Valve, kwa majina mengine unaweza kuiita VVT solenoid (Haiitwi VVTi sensor kama watu wengi waljvyoibatiza.)
Straight forward hiyo code inamaanisha hiki kitu kimeharibika au nyaya zake zimekatika au kuna waya wake umegusa bodi. [emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1833696
So tulifungua hiyo solenoid, Tukaitest na ikaonekana haifanyi kazi tena. Pia sehemu yake ambayo ndio inaingia connector ya umeme palikuwa pameugwa na paliachia wakati bado tunaendelea kuhangaika nayo. Wire zilikuwa fresh hiyo ikawa inahitajika inunuliwe hiyo VVT solenoid nyingine.
So tulibadilisha ishu zote zikawa solved.
Mwenye hiyo gari ndio kwanza alikuwa ametoka kuinunua mkononi na hakuweza kujua kama taa ya check engine wameshaichezea.
Ingawa ilikuwa ukiweka Switch ON taa ya check engine inawaka lakini ukishawasha gari hata uchomoe sensor yoyote ile taa haiwaki. Hiyo hiyo taa walishaichezea na probably waliiungia kwenye taa ya Oil kama wengi wanavyofanya.
Anyway
Kama una tatizo na gari lako au unahitaji gari lako lifanyiwe Diagnosis au Check up kiujumla nicheck 0621 221 606. Nipo Dar Magomeni, Mwembechai.
Mkuu vipi mtu anaweza kukucheki ukaenda kukagua gari ikiwa kwa mfano nainunua kutoka mikononi mwa mtu kujua ikiwa ipo sawa au ina tatizo lolote JituMirabaMinne
Mkuu samahani,kwa kijana anaependa ufundi magari kwa wakati huu,unamshauri akajifunze kipi hasa kulingana na soko la kujiajiri kati ya umeme wa magari au mechanical?Ndio mkuu inawezekana.
Nicheck 0621 221 606
View attachment 2009292
Toyota Allex yenye engine ya 1NZ-FE inaenda 6Km/L.
Haijawasha Check engine ila tulivopima imekuja P0100 na P0110. 90% hiyo P0100 inaweza kuwa sababu.
Japo zimetajwa sensor mbili hapo ila zote mbili zinakaa kwenye Housing moja.
So mlibadilisha hizo sensor au
Alisema atabadili mwenyewe hajanipa majibu tu.
Ingawa nishakutana na gari zinabugia mafuta kwa sababu ya hiyo kitu tena zote zilikuwa IST.
Mkuu JituMirabaMinne ,
Kwenye ajari Gari ikablast airbags zote mbili (ya kwenye steering na ya upande wa abiria). Airbags huwa zina replacement? ama zinarudishwa airbags zile zile zilizokuwepo?
If ni replaceable, je kuna vifaa vingine zaidi vya kureplace sambamba na hizo airbags?
Kuhusu mikanda je, nayo pia inakuwa replaced? mikanda imekuwa loose.
Mkuu JituMirabaMinne ,
Kwenye ajari Gari ikablast airbags zote mbili (ya kwenye steering na ya upande wa abiria). Airbags huwa zina replacement? ama zinarudishwa airbags zile zile zilizokuwepo?
If ni replaceable, je kuna vifaa vingine zaidi vya kureplace sambamba na hizo airbags?
Kuhusu mikanda je, nayo pia inakuwa replaced? mikanda imekuwa loose.
JituMirabaMinne mjibu huyu mdau utatupa mwanga wengiMkuu samahani,kwa kijana anaependa ufundi magari kwa wakati huu,unamshauri akajifunze kipi hasa kulingana na soko la kujiajiri kati ya umeme wa magari au mechanical?
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app