Habari wadau,
Nimekuwa natafuta watu ambao wanaweza kufanya car tuning Dar es salaam. Nina lexus is200 yangu nimekuwa nawaza kufanya upgrade, nibadili machine niweke nyengine kisha nifunge turbo. kama kuna mtu anawajua anaielekeze anipe info, na links za social page zao au kama wana website ili nifanye research zaid.
Ahsanteni
Nimekuwa natafuta watu ambao wanaweza kufanya car tuning Dar es salaam. Nina lexus is200 yangu nimekuwa nawaza kufanya upgrade, nibadili machine niweke nyengine kisha nifunge turbo. kama kuna mtu anawajua anaielekeze anipe info, na links za social page zao au kama wana website ili nifanye research zaid.
Ahsanteni