Kona ni mpira wa kutengwa, hata Yikpe anaweza kuupigaKona kali kabisa iliyopigwa kutoka kwake ndio kona pekee iliyopelekea ushindi kwa yanga,
Dakika chache tu nilizomtazama kwenye hii game ya yanga Vs Mbeya city leo naishia kusema huyu mwamba Yanga wamelamba dume ukitoa usharobaro wake lakini yuko vizuri aswaa,
Kila pasi inafika kwa muhusika na kila krosi anayopiga lazima iwe ya hatari.
Kona kali kabisa iliyopigwa kutoka kwake ndio kona pekee iliyopelekea ushindi kwa yanga,
Kongole kwake CARHINHO Sharobaro wa Yanga SC
Long live Young African, long live all fans wa young African
kaonesha anakitu kizuri kwa Yanga lakini Kocha inabidi angalie namna ya kumpanga katika nafasi sahihi kwake. Ni mchezaji asiyekuwa na nguvu hivyo hawezi kukaba hivyo anatakiwa free akilanda landa.Pale watani wamelamba dume.
Maneno yamfa maji ,,hamuishi kutapatapa,mbona mnatesekaaaa!Kona ni mpira wa kutengwa, hata Yikpe anaweza kuupiga
Unataka justification tu kwamba kule kumbeba airport kulikuwa na uhalaliManeno yamfa maji ,,hamuishi kutapatapa,mbona mnatesekaaaa!
Binafsi siwez kukulazimisha uamini kama ninavyoamin mm ila mpaka sahv alchokionyesha he deserve mapokez kama yaleUnataka justification tu kwamba kule kumbeba airport kulikuwa na uhalali
Carhinho ni mzuri mtamu wa krosi dakika chache tu alizoingia zimeonyesha ubora wake lakini pale kati palikuwa pamepwaya coz fei toto alitoka Ila tatizo la uyu mrembo shida yake kubwa hawezi kukabwa anataka mipira atengewe mezani alafu ndio ale na ndio mana kocha hawezi kumwingiza kipindi cha kwanza coz watu wanakuwa kanye mashambulizi ya hatari that's y uyo mrembo ngumu kuingizwa kipindi cha kwnzaDakika chache tu nilizomtazama kwenye hii game ya yanga Vs Mbeya city leo naishia kusema huyu mwamba Yanga wamelamba dume ukitoa usharobaro wake lakini yuko vizuri aswaa,
Kila pasi inafika kwa muhusika na kila krosi anayopiga lazima iwe ya hatari.
Kona kali kabisa iliyopigwa kutoka kwake ndio kona pekee iliyopelekea ushindi kwa yanga,
Kongole kwake CARHINHO Sharobaro wa Yanga SC
Long live Young African, long live all fans wa young African
Kama Dar tu unastruggle huko mkoa itakuwaje?Hongera sana chama kubwa Young African, mwaka huu watajinyonga asubuhi mapema na kombe tunachukua asubuhi mapemaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kwani ndemla na huyo mrembo wanazidiana nn
kwa hiyo huko mkoani yanga watacheza pungufu, ? we ndio mbumbumbu kweliKama Dar tu unastruggle huko mkoa itakuwaje?
Hesabu za ubingwa msahau.