Carlo Ancelotti ndio kocha bora katika historia ya mpira wa miguu

Hii nilikuwa sijui aisee.
Well now u know.
Mtoto wake alitaka kuwa mchezaji mpira ila ilifika mahali ac milan wakasema kijana u aint gona make it. Basi baba yake akamwambia ingia usomee mambo ya sport science. So kapiga degree yake kachanganya na leseni zake za uefa baba kampa maulaji. Hapo carlo anajua kabisa hamna mtu wakunihujumu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…