Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
- #21
Jamaa kachukua Madrid pale baada ya benitez kutolewa halafu miezi michache akabeba ucl 2014.. tena karudishwa this time timu haisomeki lakini kabeba tena laliga na ucl.Carlo Ancelotti amezaliwa kubeba mataji..Ni Kocha wa Mataji
Jamaa anayo mentality ya ushindi.