Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
sawa. nimewahi kuishi hayo maeneo kwa muda miaka ya 90.Ndio nawafahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa. nimewahi kuishi hayo maeneo kwa muda miaka ya 90.Ndio nawafahamu.
Eeeh dadake Kizzo. Sema Kizzo kaka Carol mdogo wake wa pili au wa tatu hivii. Team watoto wa kishua wenyewe [emoji3][emoji3]
Ndio wa kishua we apo. Shebby Robby wote wakishua nyie.Ngabu naye ni wa kishua?
Itapendeza zaidi utujuze kabisa...Hahahaaa. Mchanganyiko mkuu. Tukichukua banda nitawakaribisha kwenye banda letu
Sawa ngoja muda ufike.Itapendeza zaidi utujuze kabisa...
Kasmiri Mosha?Kama ni wa hapo kilala makumira, itakua unamfahamu cashmiri wa ndoro hunters, Urio na wengine, Carol.
Ndio; mzee mosha Yule alikuwa TBL ; miaka hiyo walikua wanaita bruariz. (breweries).Kasmiri Mosha?
hahaha U.S.A baby.....Ngabu naye ni wa kishua?
duu hiyo nyumba kama ya Da Mange alinionesha Salary Slip
da mange anaishi stoo naskiaduu hiyo nyumba kama ya Da Mange alinionesha Salary Slip
mimi nimeishi USA River nyuma ya Bar moja maarufu inaitwa Kwa Donii dah umenikumbusha mbali sanaNdio; mzee mosha Yule alikuwa TBL ; miaka hiyo walikua wanaita bruariz. (breweries).
Huyu KizzoGunz afahamiki apa. Umemtangaza yupo juuu kama Alikiba
Hahahahaaa. Wivuuu. Gunz mnyamwezi. Utakuta yeye hamjui ila demu wake anamjua kizzoWatoto wa waliozaliwa utawala wa Maghufuli na watu wazima mliojulia mitandao uzeeni ndio mtakua hamuwezi. Kumfahamu kizzo gunz
Carol ningependa kujua ulikuwa unafikiri nini au kuhisi nini kabla kuamua kufanya mjadala na wana Jf maana najua fika kuna macelebrity wengi wangependa kuwa na mijadala hapa nasi lakini wana hofia sana...