Carol Ndosi ni nani haswa?

Carol Ndosi ni nani haswa?

Status
Not open for further replies.
Aaamen!
Hallelujah..
God Bless You Sister!

And keep up the good work!

Nadhani yako makubwa ya kujifunza hapa.. Sio lazima tuwe kwenye vyeo vikubwa chamani kuwatumikia watanzania.

Asante sana
 
Naamini tunatakiwa kuhofia zaidi watu kuwa na misinformation. Mimi sio celebrity, shughuli zangu ndio zinanifanya nijulikane. Na hata wale wanaonifahamu kupitia shughuli zangu hawanijui zaidi ya kuniona kwenye shughuli na events. Ninapopata nafasi, haswa kwa wale wasio na taarifa sahihi naona ni bora na vyema kujibu.
I'm proud of you CarolNdosi, nakumbuka ulikuwa Dada Mkuu Makongo High School enzi za Mwl.Kipingu
 
ni mwanamke wa shoka kwani tz ya bombadier na standard gage hata kama haitaki kusemwa lakini mwenyewe hajaisema kwa mabaya
 
Kwa jinsi ninavyosoma anachoandika huyu dada Carol, to be honest kwa mtazamo wang namuona ana akili nyingi sana, ctaki kuingia kwenye personal issue ya life yake, lkn inakuwaje hayupo kwenye ndoa, maana nahic ange perform zaidi au beyond her expectations.

Sasa wanaume inabidi tuanze kuji train to another level ku handle wanawake wenye akili kubwa kama ya huyu bi shost Carol, otherwise tutaendelea kusema sema tu ooh wanawake hivi, wanawake vile, they need us but we need to change for the future of our families and society
 
Duuu trust me sikuwa nimesoma hii pamoja na majadiliano leo...aiseee wewe ni chuma hakika mabinti na wanawake wana chakujifunza sana kwenye hili bandiko lako.
Duu Pole sana samehe waliokukwaza na kukuangusha na usiache kushirikiana nao kwa njia unayo ona inafaa....naamini mko poa nao.
Duu kwa hivi vikwazo naamini ushindi kwako unakaribia...na hakuna kinacho kosa vikwazo.
Hongera sana sana usikate tamaa kabisa...
 
Duuu trust me sikuwa nimesoma hii pamoja na majadiliano leo...aiseee wewe ni chuma hakika mabinti na wanawake wana chakujifunza sana kwenye hili bandiko lako.
Duu Pole sana samehe waliokukwaza na kukuangusha na usiache kushirikiana nao kwa njia unayo ona inafaa....naamini mko poa nao.
Duu kwa hivi vikwazo naamini ushindi kwako unakaribia...na hakuna kinacho kosa vikwazo.
Hongera sana sana usikate tamaa kabisa...

The way is always forward na dhumuni na Imani ni kila kitu. Ubarikiwe.
 
Nimefarijika sana kwa ujumbe wako Carol, umenipa hamasa ya kuendelea kupambana na maisha mpaka nitimize malengo yangu.

Kwenye kila mafanikio hapakosi changamoto lkn umesisitiza jambo moja muhimu la increase value to reach more customers. Wengi wetu tumekuwa tukirudi nyuma na kukatat tamaa.

Mafanikio mema Carol, ujasiri wako uzidi kukuinua kwenye mafanikio ya kweli.
 
Hivi huyu Kijo yuko wapi aisee kipindi kile kilikuwa kizuri sana jamaa ana akili sana yule
Jamaa yupo naona ana cross boda sana,ana mke 0.5
DKJO.jpg

DKJO1.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom