Carrymastory kuwashambulia watu mtandaoni bila kuwa na ulinzi unahatarisha usalama wako

Umbea ndio unaomweka huyo binti mjini anaingiza zaidi ya 1.5 Mil kupitia Instagram kwaiyo ameshajiajiri kupitia A/c yake ya Inst hawezi kuacha umbea ndio ajira yake

Na alisema malengo yake ni kuingiza 5Mil kwa mwezi kupitia Inst anapata sana Matangazo Dm kutoka kwa wadau mbalimbali
 
Mjini njoo na akili tu
 
Mjini njoo na akili tu
Kasoma akili ya wabongo akaona wanapenda sana Umbea ndiyo maana watu wenye biashara zao wanamtumia kama sehemu ya kujitangaza kibiashara

Wadada waache kupenda umbeya watu hawa watakosa soko
 
Kasoma akili ya wabongo akaona wanapenda sana Umbea ndiyo maana watu wenye biashara zao wanamtumia kama sehemu ya kujitangaza kibiashara

Wadada waache kupenda umbeya watu hawa watakosa soko
Umbeya unapunguza stress wacha waburudishwe.
 
Siwezi kuthubutu hata kwa dawa kumpa huyo binti mbo.o yangu anyonye, dental formula hiyo ilivyo mbaya itaharibu mashine yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…