Case Close: Aishi Manula ni Tanzania One, Case Starts: Namba moja Afrika

Case Close: Aishi Manula ni Tanzania One, Case Starts: Namba moja Afrika

Acha wenge soma ukiwa umetuliza msambwanda vizuri, mwenyewe umekiri Afrika kusini kuna timu imeizidi Simba ndio aende huko sasa, hapo nilisema .. hata apate timu Africa Kusini, nikiimanisha anaweza kwenda pengine palipo na mafanikio zaidi ya Bongo.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Msambwanda ndio kitu gani ?tuanze hapa ili nijue kukujibu kulingana na udogo wa akili yako.
 
Sio huyu aliyetunguliwa kizembe na Prison akataka kubondwa na mashabiki,sio huyu anayetunguliwa mita 40, lile ni pazia
Kuonyesha kwamba Manula ni bora, inabidi utafute kwa tochi ni goli gani alilofungwa. Huo ndio ubora wenyewe unaozungumzwa. Yanga hadi leo haijulikani kipa namba moja ni nani, maana kila anayekaa langoni ni wasiwasi tu kwa mashabiki wao
 
Binafsi miaka miwili iliyopita nilikuwa simkubali Aishi Manula kutokana na mapungufu yake ktk kulilinda lango,

Lakini kiukweli ameimprove sana hivi karibuni, amekuwa nguzo muhimu ktk idara ya goalkeeping kuanzia Simba mpaka Starz.
Yale mapungufu yake hasa katika udakaji mipira ya juu, kuzicheza krosi, kona na fouls yamepungua kwa kiasi kikubwa sana

Na katika michuano ya CAF-CL mpaka mzunguko wa mechi nne unaisha ni magolikipa wawili tu waliocheza dakika nyingi zenye clean sheet, Ahmed Reda Tagnaouti wa Wydad Casablanca ya Morroco alipo Msuva na Aishi Salum Manula.

Kongole sana AirManula

Mpeni credit kocha mpya wa makipa simba, amefanya kazi kubwa
 
Performance hii iwe na Consistently, isiwe performance ya muda mfupi baadae anarudi kule kule kwenye Errors zake.
 
Back
Top Bottom