Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!

Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka. Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu.

Hivi hilo tukio n la kwanza ? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hivi kumtetea ? Mbona yule Mbunge Gekul wa kule Manyara hamkuungana kama hivi? au kisa alifanyiwa mwanaume?

Wagoni wangapi wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafiki?

Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?

Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikamana kama mlivyokazania hiko kiissue?

Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyingi sana na hivyo kuzidisha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kwenye Lindi la umasikini mbona hapa amshikamani kuihoji Serikali?

Mpaka Sasa bado mnaongozwa na Katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh! na wala haliwaumizi ila la huyo' mwizi wa mapenzi na hao wagoni wenzake mnaona la maana sana. Je n lamaana kuliko katiba mpya ?

Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !

Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni.

Na ndio maana Kwa akili Hizi mambo ya hovyo yatazidi kutendwa na Viongoz wa juu. Kwa kuwa wanajua ni kwanamna gani akil zenu zlivyo.

Mpaka naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule? kama na yeye ameanza kudandia Vitu vya wagoni?.inafikrisha mno .

Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu, ufisadi, Umasikini, ujinga ,Maradhi na Upumbavu uliyowajaa?

Nitarudi niwasalimie!
Wewe ni kichaa kabisa. Period.
 
Kwa Uzi wako huu, kama Katiba ingeruhusu unaenda TRA unalipia kumchapa mtu Kofi la kerb, ningelifanya hivyo kwako! Mimi mzazi mwenye Binti kama huyo nipo ready to burn the world for my daughter!!
Binti wako ni haramu kwako. Unajitoa ufahamu tuu. Huyo binti (kama huyo) yako alipokuwa anaenda huko wewe ulikuwa wapi usiweze kumzuia au kumuonya hadi yamemkuta hayo? Kama ww ni Baba nakushauri "Kaa mbali na binti yako" utakuja kufedheheka siku moja.
 
Petty? Really? Angekua ni mtoto wako ungeona petty pia?
Hebu kuwa mtulivu halafu fikiria ingetokea kwamba huyo afande ange-organise (kitu ambacho angeliweza) binti mwathirika "apotezwe jumla" au asingiziwe (aitwe) mwizi halafu mob justice imkabili ingekuwaje?
Huyo binti kapewa onyo kali lakini hawakumtoa uhai wake.
Kwani bro. tuseme ukweli, hapo alipokwenda kuiba, kaiba mara ngapi? Si ni zaidi ya mara 5+ au sio.. Sasa leo karudishiwa zote ila kwa kipindi kifupi(Masaa machache) imekuwa nongwa? Nimemuona ktk mahojiano anaongea vizuri tu hana shida. Shida iko kwetu tunaojadili na kukuza habari hii.
 
Hii ni mihemko ya kijinga tu kwasababu Kila siku kwenye vyombo vya habari tunaskia watoto wadogo wakilawitiwa ila huwezi sikia watu wakipush kukemea kama hili jambo la huyu mdangaji ambae nae ni mhalifu kama wahalifu wengine tu.
 
Hii ni mihemko ya kijinga tu kwasababu Kila siku kwenye vyombo vya habari tunaskia watoto wadogo wakilawitiwa ila huwezi sikia watu wakipush kukemea kama hili jambo la huyu mdangaji ambae nae ni mhalifu kama wahalifu wengine tu.
Yeah! Chujio la wabongo linachuja mbu lakini tembo wanapita.
1. Binti mdangaji katendwa kwa mujibu wa kazi yake ya Kudanga lakini watoto wadogo wasio na hatia na hawajui chochote wanaibwa, wanakatwa sehemu za miili yao na matangazo yanatolewa na wazazi wao; lakini wabongo kimyaaaaa.
2. Wapo mabinti wanalaghaiwa na kuuzwa kupelekwa Ughaibuni kutumikishwa utumwa wa kingono lakini wabongo kimyaaaa lakini kwa huyo binti mwizi wa ngono; wanarefusha mdomo.
 
Huna mtoto inaonyesh kwahivo ni sawa tu ukisema hakikuumi kuona ingelikuwa ni mtoto wako the pain ....the pain you .....
 
Back
Top Bottom