Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

Wewe ni kichaa kabisa. Period.
 
Kwa Uzi wako huu, kama Katiba ingeruhusu unaenda TRA unalipia kumchapa mtu Kofi la kerb, ningelifanya hivyo kwako! Mimi mzazi mwenye Binti kama huyo nipo ready to burn the world for my daughter!!
Binti wako ni haramu kwako. Unajitoa ufahamu tuu. Huyo binti (kama huyo) yako alipokuwa anaenda huko wewe ulikuwa wapi usiweze kumzuia au kumuonya hadi yamemkuta hayo? Kama ww ni Baba nakushauri "Kaa mbali na binti yako" utakuja kufedheheka siku moja.
 
Petty? Really? Angekua ni mtoto wako ungeona petty pia?
Hebu kuwa mtulivu halafu fikiria ingetokea kwamba huyo afande ange-organise (kitu ambacho angeliweza) binti mwathirika "apotezwe jumla" au asingiziwe (aitwe) mwizi halafu mob justice imkabili ingekuwaje?
Huyo binti kapewa onyo kali lakini hawakumtoa uhai wake.
Kwani bro. tuseme ukweli, hapo alipokwenda kuiba, kaiba mara ngapi? Si ni zaidi ya mara 5+ au sio.. Sasa leo karudishiwa zote ila kwa kipindi kifupi(Masaa machache) imekuwa nongwa? Nimemuona ktk mahojiano anaongea vizuri tu hana shida. Shida iko kwetu tunaojadili na kukuza habari hii.
 
Hii ni mihemko ya kijinga tu kwasababu Kila siku kwenye vyombo vya habari tunaskia watoto wadogo wakilawitiwa ila huwezi sikia watu wakipush kukemea kama hili jambo la huyu mdangaji ambae nae ni mhalifu kama wahalifu wengine tu.
 
Hii ni mihemko ya kijinga tu kwasababu Kila siku kwenye vyombo vya habari tunaskia watoto wadogo wakilawitiwa ila huwezi sikia watu wakipush kukemea kama hili jambo la huyu mdangaji ambae nae ni mhalifu kama wahalifu wengine tu.
Yeah! Chujio la wabongo linachuja mbu lakini tembo wanapita.
1. Binti mdangaji katendwa kwa mujibu wa kazi yake ya Kudanga lakini watoto wadogo wasio na hatia na hawajui chochote wanaibwa, wanakatwa sehemu za miili yao na matangazo yanatolewa na wazazi wao; lakini wabongo kimyaaaaa.
2. Wapo mabinti wanalaghaiwa na kuuzwa kupelekwa Ughaibuni kutumikishwa utumwa wa kingono lakini wabongo kimyaaaa lakini kwa huyo binti mwizi wa ngono; wanarefusha mdomo.
 
Huna mtoto inaonyesh kwahivo ni sawa tu ukisema hakikuumi kuona ingelikuwa ni mtoto wako the pain ....the pain you .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…