Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Unasema Kenya wana njaa lakini kwa taarifa yako katika watu wanaopiga kazi na wamejazana huku nje wakenya wametuacha nyuma sana. Watanzania tumezoea kubebwa kubembelezwa kuitwa wanyonge. Mtanzania anaweza kuwa na maisha magumu lakini bado anachagua kazi. Mtanzania hata akiwa na kazi anafanya kama analazimishwa. Aisee sisi tuko nyuma sana. Naomba ujaribu kwenda hata hapo Nairobi halafu linganisha huduma utakayopata katika service yeyote na nyumbani. Hapo ndio utajua kuna mahala tunapwaya. Waliowahi kufanya biashara au kuishi Kenya wanajua.

Unachukua mtu mmoja mmoja nimekuambia waarabu hawajafikia influence ya wayahudi katika ramani ya dunia. Haya niambie hapo NASA kuna wayahudi wangapi na waarabu wangapi ?
Wewe una umri gani? Mimi nimetembea nchi nyingi Kenya hamna huduma zozote za maana nchi imejaa rusha askari wanaomba pesa kwa nguvu wakijua wewe mgeni. Wakenya wanashangaa mwendokasi Tqnzania waafrica walljazana Ulaya ni Wafrica Magharibi. Halafu wewe hiyo Ujerumani yako wewe siyo wa kwanza kwenda Ulaya, mnaishi kwa shida sana hapo Ulaya mnalala kwenye nyumba passport size. Tanzania watu wanapambana wanaishi maisha mazuri wewe hauna uwezo wa kununua hata kiwanja cha milioni 80, sana sana ukija Tanzania utaishia kujenga nyumba Chanikia au kwenu Bukoba Kashai.
 
Naomba uniambia kuna mameya wangapi Marekani wana asili ya Uarabu na wangapi wana asili ya uyahudi ?
Waaarbu ndiyo wanawapa ajira wazungu. Hao Wayahudi wanaishi kwa misaada ya Marekani na Ulaya lakini Waraabu kama Saudia. Qatar, Kuwait, wamewapa ajira wazungu za kuwalinda. Ulishawahi kusikia Saudia, Qatar, Dubai, Kuwait. Wanaomba misaada? Wao kazi yao kutoa misaada utajipa ugonjwa wa moyo bure kuwachukia Waarabu Mungu kaishawapa neema. Wewe soma ukimaliza kusoma rudi Tanzania uwasidie ndugu zako pakulala.
 
Waaarbu ndiyo wanawapa ajira wazungu. Hao Wayahudi wanaishi kwa misaada ya Marekani lakini Waraabu kama Saudia. Qatar, Kuwait, wamewapa ajira wazungu za kuwalinda.
Hizo hela za mafuta wanazipaza kwa kumuuzia nani hayo mafuta ? Kama wana uwezo wa kujilinda kwa ni i waruhusu Marekani iweke kambi zao zajeshi katika nchi zao ?
 
nafikiri hujui unachoelezea waarabu wanasomeshwa bure na serikali zao katika vyuo vikubwa ulimwenguni weww umeenda vyuo sogea tujambe
 
Hizo hela za mafuta wanazipaza kwa kumuuzia nani hayo mafuta ? Kama wana uwezo wa kujilinda kwa ni i waruhusu Marekani iweke kambi zao zajeshi katika nchi zao ?
Mafuta wanauza dunia nzima hizo kambi za Marekani ni walinzi wameitwa kulinda wanalipwa pesa. Hivi hapo Ujurumani unasoma ujinga?

Saudia ni jangwa lakini kutokana pesa zake kawalipa wazungu kwenye kilimo sasa hivi Saudia Arabia kwenye 10 dunia wanaolima ngqno wamo.
 
Wewe una umri gani? Mimi nimetembea nchi nyingi Kenya hamna huduma zozote za maana nchi imejaa rusha askari wanaomba pesa kwa nguvu wakijua wewe mgeni. Wakenya wanashangaa mwendokasi Tqnzania waafrica walljazana Ulaya ni Wafrica Magharibi. Halafu wewe hiyo Ujerumani yako wewe siyo wa kwanza kwenda Ulaya, mnaishi kwa shida sana hapo Ulaya mnalala kwenye nyumba passport size. Tanzania watu wanapambana wanaishi maisha mazuri wewe hauna uwezo wa kununua hata kiwanja cha milioni 80, sana sana ukija Tanzania utaishia kujenga nyumba Chanikia au kwenu Bukoba Kashai.
Asante sana nimetoka Tanzania sio kwa kusaidiwa na sio kwa scholarship bali kwa pesa yangu mwenyewe. Sina mpango wa kuzamia Ulaya nikimaliza kilichonileta huku nakuja kuwakamua watanzania mliolala mpaka mifupa. Ninachowaza usiku na mchana ni hela haijalishi wewe ni dini, kabila au nchi gani kama tuna malengo sawa tunaoppambana pamoja. Mimi nilipambana Tanzania mpaka nikafanikiwa kibiashara. Kuna project nilitaka kufanya nikakwama ndio nimekuja kuchukua ujuzi huku ile nikirudi nijidhibiti vizuri.

Umeiponda kenya nadhani ulienda Kenya na hela ya mboga. Ukitenga hela yako nzuri ukasema utembelee Nairobi wiki tu utajifunza mengi sana. Siongei mambo ya mitandaoni au nadharia naongea mambo ambayo nimeyashuhudia mwenyewe. Hakuna nchi ambayo mteja ni mfalme kama kenya yaani mipango yako ya kiabashara inafanyika kwa spidi ya ajabu sana. Kama wewe sio mfanyabiashara hauwezi kuelewa ninachokiandika hapa kuhusu Kenya.
 
waarabu waakisha soma vyuo vikubwa wameisha ahidia kazi kampuni ipi anafanya sio wewe una soma chuo ukirudi nyumbani unaambiwa kajiajiri, mwaarabu mungu kawapa neema zote hawana shida na maisha ukiwachukia utajiumiza bure weww hata mwarabu wa tanzania tu huwezi kushindana nae
 
Mafuta wanauza dunia nzima hizo kambi za Marekani ni walinzi wameitwa kulinda wanalipwa pesa. Hivi hapo Ujurumani unasoma ujinga?

Saudia ni jangwa lakini kutokana pesa zake kawalipa wazungu kwenye kilimo sasa hivi Saudia Arabia kwenye 10 dunia wanaolima ngqno wamo.
Hivi Kabisa waarabu wanaowasupport wapalestina kwa nini wawaajiri MMarekani ambaye ndiye anayempa kiburi Muisraeli kuweka kambi za kijeshi katika nchi zao ?
 
Asante sana nimetoka Tanzania sio kwa kusaidiwa na sio kwa scholarship bali kwa pesa yangu mwenyewe. Sina mpango wa kuzamia Ulaya nikimaliza kilichonileta huku nakuja kuwakamua watanzania mliolala mpaka mifupa. Ninachowaza usiku na mchana ni hela haijalishi wewe ni dini, kabila au nchi gani kama tuna malengo sawa tunaoppambana pamoja. Mimi nilipambana Tanzania mpaka nikafanikiwa kibiashara. Kuna project nilitaka kufanya nikakwama ndio nimekuja kuchukua ujuzi huku ile nikirudi nijidhibiti vizuri.

Umeiponda kenya nadhani ulienda Kenya na hela ya mboga. Ukitenga hela yako nzuri ukasema utembelee Nairobi wiki tu utajifunza mengi sana. Siongei mambo ya mitandaoni au nadharia naongea mambo ambayo nimeyashuhudia mwenyewe. Hakuna nchi ambayo mteja ni mfalme kama kenya yaani mipango yako ya kiabashara inafanyika kwa spidi ya ajabu sana.
Siku zote vitendo ndiyo vinaongea wewe porojo nyingi sisi Ulaya tunakwenda kutembea na kurudi Africa, mfano wako tu wa Kenya nimejua uwezo wako ni mdogo sana Kenya wana hali tete wanakuja Kariakoo kununua bidhaa kisha wanaenda kuuza Kenya kisha unaniambia nikatembee Nairabi mji hauna bahari kelele muda wate matatuu, nimecheka eti uneenda kusoma kisha uje kuwakamua mifupa watanzania wewe ukirudi Tanzania utatumwa tu na utaishi kwa mshahara.
 
Hizo hela za mafuta wanazipaza kwa kumuuzia nani hayo mafuta ? Kama wana uwezo wa kujilinda kwa ni i waruhusu Marekani iweke kambi zao zajeshi katika nchi zao ?
Mafuta Dunia nzima wananunua, wasiponunua wazungu watanunua wachina, waturuki, wa Brazil, watanzania etc. Hakuna Nchi dunia hii ambayo haina shida ya mafuta.

Na si kweli kwamba pesa zote za waarabu ni mafuta, Dubai hawana mafuta ila ni kimbilio la wengi duniani, Egpty haina mafuta ila ina multinational companies kibao, Tajiri wao mkubwa ndio pia mmiliki mkubwa wa Adidas, hao kina Carlos slim, Safra, Al fayed na wengineo pia utajiri wao sio wa mafuta, Waarabu wametengeneza Hadi Apple na sio Mafuta.
 
Hivi Kabisa waarabu wanaowasupport wapalestina kwa nini wawaajiri MMarekani ambaye ndiye anayempa kiburi Muisraeli kuweka kambi za kijeshi katika nchi zao ?
Hivi shule huko unasoma ujinga unadhani Saudia miaka 30 ya nyuma alikuwa hivi?

Saudia Arabia anaangalia mipango yake ya mbele, analipa Marekani pia anawapa misaada Palestina na yeye kaishasema yupo tayari kuijenga upya Gaza wanagombania wao na Qatar na Israel na Marekani wamekaa kimya unaona kazi ya pesa.

Wewe ukija Tanzania sana sana utaishia kufunga Ng’ombe wawili wa maziwa au kuuza mayai ya kwale maprofesa wengi wameishia huko.
 
Siku zote vitendo ndiyo vinaongea wewe porojo nyingi sisi Ulaya tunakwenda kutembea na kurudi Africa, mfano wako tu wa Kenya nimejua uwezo wako ni mdogo sana Kenya wana hali tete wanakuja Kariakoo kununua bidhaa kisha wanaenda kuuza Kenya kisha unaniambia nikatembee Nairabi mji hauna bahari kelele muda wate matatuu, nimecheka eti uneenda kusoma kisha uje kuwakamua mifupa watanzania wewe ukirudi Tanzania utatumwa tu na utaishi kwa mshahara.
Mimi sifanyi biashara ya import and export nafanya uzalishaji na construction nimejifunza mengi sana kutoka kenya . Na kuna vitu vingi nilichukua Kenya vikanipa faida maradufu Tanzania. Mtu ambaye yupo katika biashara kama yangu ataelewa naongelea nini. Pia biashara ya kuuza na kununua imeshapitwa na wakati na ina washindani wengi. Wataalamu wa vipuri na installation za mitambo na training nawatoa Kenya. Mimi naikubali Tanzania kwa sababu ni nchi yangu. Lazima nisema ukweli waKenya ndio walionifungua akili nikaweza kutengeneza hela nzuri Tanzania. Wakenya wanajua kupambana kuliko watanzania na wanajua thamani ya hela.
 
Hivi shule huko unasoma ujinga unadhani Saudia miaka 30 ya nyuma alikuwa hivi?

Saudia Arabia anaangalia mipango yake ya mbele, analipa Marekani pia anawapa misaada Palestina na yeye kaishasema yupo tayari kuijenga upya Gaza wanagombania wao na Qatar na Israel na Marekani wamekaa kimya unaona kazi ya pesa.

Wewe ukija Tanzania sana sana utaishia kufunga Ng’ombe wawili wa maziwa au kuuza mayai ya kwale maprofesa wengi wameishia huko.
Mimi ukinitukana nafurahi sana, siwezi kukutukana kwa sababu napingana na Hoja yako. Hao ngombe nimewaacha nyumbani nimeshafuga na naendelea kufuga kuna vijana wanasimamia. Mimi sio Profesa na sijaja kusoma huku ili niajiriwe nimekuja kusoma ili nijue jinsi ya kutimiza ninachokitaka. Mawazo ya kuitegemea serikali au kuajiriwa hayapo kichwani mwangu kabisa.
 
Mimi ukinitukana nafurahi sana, siwezi kukutukana kwa sababu napingana na Hoja yako. Hao ngombe nimewaacha nyumbani nimeshafuga na naendelea kufuga kuna vijana wanasimamia. Mimi sio Profesa na sijaja kusoma huku ili niajiriwe nimekuja kusoma ili nijue jinsi ya kutimiza ninachokitaka. Mawazo ya kuitegemea serikali au kuajiriwa hayapo kichwani mwangu kabisa.
Hamna tusi nimekutukana onyesha hilo tusi?
 
Hamna tusi nimekutukana onyesha hilo tusi?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 unampangia mtu fate yake ya Maisha ambaye hujui kuwa hayo maisha ameshayapitia na kuna watu wanamshangaa kwa nini bado haachi asili . Umesema hikirudi nitaishia kufuga Ng'ombe nikakwambia ngome nilianza kufuga zamani na bado nafuga.
 
Mimi sifanyi biashara ya import and export nafanya uzalishaji na construction nimejifunza mengi sana kutoka kenya . Na kuna vitu vingi nilichukua Kenya vikanipa faida maradufu Tanzania. Mtu ambaye yupo katika biashara kama yangu ataelewa naongelea nini. Pia biashara ya kuuza na kununua imeshapitwa na wakati na ina washindani wengi. Wataalamu wa vipuri na installation za mitambo na training nawatoa Kenya. Mimi naikubali Tanzania kwa sababu ni nchi yangu. Lazima nisema ukweli waKenya ndio walionifungua akili nikaweza kutengeneza hela nzuri Tanzania. Wakenya wanajua kupambana kuliko watanzania na wanajua thamani ya hela.
Unasema biashara ya kuuza na kununua imeshapitwa na wakati na ina washindani wengi🤣🤣🤣

Hawa ndiyo wasomi wetu hafahamu biashara ya washindani wengi ndiyo yenye pesa.

Malls zote duniani zinafanya hizo bishara kila siku watu wanafanya mauzo.
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 unampangia mtu fate yake ya Maisha ambaye hujui kuwa hayo maisha ameshayapitia na kuna watu wanamshangaa kwa nini bado haachi asili . Umesema hikirudi nitaishia kufuga Ng'ombe nikakwambia ngome nilianza kufuga zamani na bado nafuga.
Kufunga Ng’ombe ni tusi? Mimi mbona nafuga pia.

Wewe mboba unawapangia Saudia Arabia maisha.
 
Kufunga Ng’ombe ni tusi? Mimi mbona nafuga pia.

Wewe mboba unawapangia Saudia Arabia maisha.
Siwapangii maisha Waarabu ninasema ukweli kuwa wapalestina hawana Nguvu mbele ya Israel kwa sasa. Inabidi warudi mezani wajipange na wasiwachokoze waisrael maana wakiswachokoza ndio wanawapa saabu ya kuwauwa.
 
Siwapangii maisha Waarabu ninasema ukweli kuwa wapalestina hawana Nguvu mbele ya Israel kwa sasa. Inabidi warudi mezani wajipange na wasiwachokoze waisrael maana wakiswachokoza ndio wanawapa saabu ya kuwauwa.
Umewapangia maisha Saudia unahoji kwa nini walindwe na Marekani au siyo wewe?
 
Back
Top Bottom