Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Yaani ww ni kilaza kila ukibanwa mbavu unakimbia kwenye kona nyingine kujificha sasa hivi naona umekimbilia kwenye kona ya dini utadhani hapa tupo tunajadili dinI
Sijataja dini nimesema tu kuna vijana wanalilipiwa mahari na taasisi ili waoe. Sasa Dini nimetaja wapi ? Najiuliza je na watoto watalipiwa ada ? Je na hela ya kula watapewa ? Bora wafundishwe taaluma au walipiwe Mahari ? Malengo Malengo Malengo narudia mara tatu. Ukiwa na malengo ya muda mfupi kutoboa kazi sana. Kila kitu kina sababu kuna msemo wa kiingereza unasema "if everywhere you go smells like shit, maybe it's time to check your shoes". Ukiona unaonewa sana nenda sehemu kaa ujifikirie ikiwezekana kunywa bia mbili tu ujitafute maana utakuwa na tatizo.
 
Dunia haina huruma haupewi unachukua. Hili video wenye akili za kijamaa watakubaliana na huyo jamaa. Lakini mabepari na wapambanaji walioangushwa mara nyingi na wakasimama wanajua kuwa goli lazima lipambaniwe. Anasema wayahudi ni wakomunisti, wakomunisti wanakuwaje tajiri wa dunia ? Ili uwe Tajiri inabidi uwe mkomunisti au mbepari ?
Itakuwa umesikiliza na kusoma kwa jaziba . Soma tena au lugha inakupiga chenga
 
Sio ulimbukeni ndugu yangu na wala sina majivuno. Ukiona mtu anaona anabaguliwa juwa hajitumi. Lazima ujitume ndio usaidiwe. Mtu akiona una potential atakusaidia, wapalestina ni rahisi kuwa raia wa EU wanaishia kuendesha taksi na mabasi. Hebu fikiria kama kila mtanzania angepewa nafasi ya kuwa raia katika ncho za U.S.A, Canada na E.U naomba nikuulize wangekataa shule kweli ? Na mimi siongelei leo maana walianza kuwa wakimbizi zaidi ya miaka 60 iliyopita.

Usiseme kila mtu mwenye akiili anatakiwa kutoa msaada . Maisha ni kitendawili kuitengeneza jamii bora anza na familia yako na nyumbani kwako. Kumsaidia mtu yeyote duniani ni pesa na sio kitu kingine. Hauwezi kusaidiwa kama hauna kitu unaweza kutoa kwa Jamii. Ninatoka nje ya mada kidogo lakini unajua kwa nini Kagame anajipambania na minerals za Eastern DRC ?

Kama unaamini duniani ni kusaidiana naomba ufanye kazi bure na usilipwe mshahara. Mtu una akili kama Raia wa uswisi ambaye hata kama hana kazi analipwa na serikali. Misaada ya Marekani inatolewa strategically na sio kwa faida yenu kwa asilimia mia moja. Dunia ndio ilivyo mimi ninapofanya kazi najua boss sio rafiki yangu wala HR sio ndugu yangu ndio maana kila siku saa kumi na moja alfajiri nishatupa shuka. Huku Ujerumani sikuja kwa scholarship wala kwa kuomba omba. Hakuna mtu anejua aibu ya kuomba kama mimi. Niliacha kuomba mwaka 98, ndio maana huko juu nilikuambia ukatembelee Kenya uone nini maana na kupambana. Watu wanapambana aisee. Huku ujerumani vijana wadogo chini ya miaka 26 wana P.H.D.Sisi tumekazana kuruhusu Taasisi zitulipie mahari.
Mm na ww hatujuani lakini waweza kuta ww ulioko Ujerumani hunifikii hata robo ya mafanikio yangu ya kimaisha, mm ambaye sina hata mpango wa kwenda huko Ujerumani.

Jadili mada iliyoko mezani mambo ya ww kuwa Ujerumani sisi haya tuhusu na wala hayana faida kwetu.
Na inaoneka ww unatoka kwenye ukoo masikini sana na ndio maana unaona kwenda Ujerumani ni mafanikio kwenye maisha yako.
 
Mm na ww hatujuani lakini waweza kuta ww ulioko Ujerumani hunifikii hata robo ya mafanikio yangu ya kimaisha, mm ambaye sina hata mpango wa kwenda huko Ujerumani.

Jadili mada iliyoko mezani mambo ya ww kuwa Ujerumani sisi haya tuhusu na wala hayana faida kwetu.
Na inaoneka ww unatoka kwenye ukoo masikini sana na ndio maana unaona kwenda Ujerumani ni mafanikio kwenye maisha yako.
Haya turudi kwenye Mada kwa nini Waarabu wanashindwa kumdhibiti Israel ?
 
Mm na ww hatujuani lakini waweza kuta ww ulioko Ujerumani hunifikii hata robo ya mafanikio yangu ya kimaisha, mm ambaye sina hata mpango wa kwenda huko Ujerumani.

Jadili mada iliyoko mezani mambo ya ww kuwa Ujerumani sisi haya tuhusu na wala hayana faida kwetu.
Na inaoneka ww unatoka kwenye ukoo masikini sana na ndio maana unaona kwenda Ujerumani ni mafanikio kwenye maisha yako.
Inaniuma sana kuona mtu mzima kama wewe bado unaamini kuna kusaidiwa au kusaidiana. Sikupondi lakini kila mtu katika maisha alikuwa katika stage kama yako. Nakuombea kwa Mungu uivuke hio stage ? Maisha unajitoa ili ujipate, hakuna tu anajitoa bure bure ndugu yangu.
 
Itakuwa umesikiliza na kusoma kwa jaziba . Soma tena au lugha inakupiga chenga
Hapana wamesema kuwa wayahudi ni wakomunisti sio ? Sasa wakomunisti wanashikaje uchumi wa dunia ? Hilo ndioswali langu. Wanajeshi wa SS walitakuwa ku-prove wao kuwa ni Aryan Race kusema kuwa kuna wanajeshi wa SS ambao walikuwa wayahudi huoni uongo. Sijui kuhusu Urusi mimi naongelea kuhusu Ujerumani. Baadhi ya wayahudi walifanikiwa kuwa wanajeshi wa kawaida lakini sio kufikia ngazi za juu za NSDAP(NAZI PARTY).
 
Sijataja dini nimesema tu kuna vijana wanalilipiwa mahari na taasisi ili waoe. Sasa Dini nimetaja wapi ? Najiuliza je na watoto watalipiwa ada ? Je na hela ya kula watapewa ? Bora wafundishwe taaluma au walipiwe Mahari ? Malengo Malengo Malengo narudia mara tatu. Ukiwa na malengo ya muda mfupi kutoboa kazi sana. Kila kitu kina sababu kuna msemo wa kiingereza unasema "if everywhere you go smells like shit, maybe it's time to check your shoes". Ukiona unaonewa sana nenda sehemu kaa ujifikirie ikiwezekana kunywa bia mbili tu ujitafute maana utakuwa na tatizo.
Ili maisha ya mwanadamu yakamilike yanahitaji muunganiko wa mambo kadhaa ikiwemo na la kuoa.
Kwa mila za kiafrika kijana akitaka kuoa baba yake ndo anatakiwa kumlipia mahari kwa hiyo huyo baba atakuwa na jukumu la kutunza familia ya kijana wake kisa alimlipia mahari?

Unasema walipiwe ada wapate taaruma kwani ni wangapi wamelipiwa ada tena na wazazi wao na wakapata hizo taaruma lakini ni choka mbaya na sasa hivi ni wauza sumu za panya na dawa za nguvu za kiume?
Au ni mabinti wangapi walio tafutiwa taaruma kwa gharama kubwa na wazazi wao na sasa hivi hawana cha kufanya zaidi ya kuwa Malaya wa bei rahisi mitaani.
 
Mimi nilikuwa najibu kwanini mega structures hizo za Qatar walipewa tenda hao wakorea na USA. Qatar wasiwengeweza kujenga kwa ubora huo wa hizo nchi kwa maana hawana kiwango hicho cha competence.
Anhaa hapo nimekuelewa.
 
Ili maisha ya mwanadamu yakamilike yanahitaji muunganiko wa mambo kadhaa ikiwemo na la kuoa.
Kwa mila za kiafrika kijana akitaka kuoa baba yake ndo anatakiwa kumlipia mahari kwa hiyo huyo baba atakuwa na jukumu la kutunza familia ya kijana wake kisa alimlipia mahari?

Unasema walipiwe ada wapate taaruma kwani ni wangapi wamelipiwa ada tena na wazazi wao na wakapata hizo taaruma lakini ni choka mbaya na sasa hivi ni wauza sumu za panya na dawa za nguvu za kiume?
Au ni mabinti wangapi walio tafutiwa taaruma kwa gharama kubwa na wazazi wao na sasa hivi hawana cha kufanya zaidi ya kuwa Malaya wa bei rahisi mitaani.
Kuoa sio kipaumbele, kama hauwezi kujisimamia wewe mwenyewe utaweza kukaa na mke. Mimi kuna watu nilivunja urafiki nao kwa sababu waliwahi kuoa na wake zao wananisumbua. Usioe kama hauna kipato cha uhakika na hauna clique ya watu makini katika utafutaji. Katika ukoo wetu ukitangaza unaoa unaulizwa una sh ngapi ? na ndugu wanaongezea hapo ulipo. Unaoa hauna hata rafiki ambaye anaweza kukukopesha 100k chap kama ukipata dharura .Yaani watu kulipiwa mahari nilishangaa sana. Yaani ingekuwa ni hivyo mimi nisingehangaika na maisha.

Kuhusu taaluma kuna kusoma na kukigeuza ulichosomea kuwa hela. Ukiona fulani hajafanikiwa kwa kupitia elimu basi itafutwe njia nyingine. Mimi nashangaa sana watanzania hawathamini elimu. Kuna watu wameomba kazi nzuri nje ya nchi wakiwa Tanzania na Kenya na wamepata. Na kusoma inategemea unasomea nini unasoma PSPA ili uwe nani ? kuna degree ni course katika degree nyingine. Na kuna degree hazina soko katika ajira za dunia. Tusijadili watu, matukio au nchi inabidi tutenge muda angalau mata moja kila wiki na tujifikiria na tujihoji tulipotoka, tulipo na tunapokwenda. Ukiishi bila mipango unaweza ukashangaa unajitoa kwenye reli wewe mwenyewe halafu unakuja kulalamikia watu. Kuna mipangi najiwekea nakuja kushangaa baada ya miezi mitatu nakuja kuangalia plan zangu nakuta nilisahau kutekeleza hicho kitu. Ni rahisi kuteleza katika maisha.
 
Inaniuma sana kuona mtu mzima kama wewe bado unaamini kuna kusaidiwa au kusaidiana. Sikupondi lakini kila mtu katika maisha alikuwa katika stage kama yako. Nakuombea kwa Mungu uivuke hio stage ? Maisha unajitoa ili ujipate, hakuna tu anajitoa bure bure ndugu yangu.
Huna akili binadamu wanaishi kwa kutegemeana hakuna binadamu anaye weza kujitosheleza kwa lolote.

Na ndio maana nakuambia kuwa iwapo maisha yanaenda kwa hiyo tafsiri yako sasa hivi hukutakiwa kuwa Ujerumani bali ulitakiwa uende chumbani kwako usinzie na uiote hiyo elimu uliyo enda kuifuata Ujerumani.
 
Excuses excuses wewe si ulisema pesa ni zaidi ya influence ? Naomba unipe sababu ya kifasaha kwa nini Waarabu wameshindwa kuikomboa Palestine ? Tunarudi kule kule inabidi wakazane na shule na wajitegemee. Iran haina wataalamu vijana kibao wanakimbia nchi kwenda Ulaya na Marekani. Unasema Iran ataisaidia palestine. Hivi unajua silaha zinazotumiwa na Ukraine ? Unadhani vita siku hizi inapiganwa na bunduki ? Vita vya Ukraine na Urusi vimeruhusu majaribio ya silaha mpya ambazo zilikuwa hazijajaribiwa katika uwanja wa vita. Unataka kusolve mgogoro wa Israel kidiplomasia wakati watu wanauwana since 1947. Watu wanakaa mezani baada ya miaka michache kinanuka. Kupigana Israel na Palestina ni ON and OFF. Hivi unajua kuna apartment na nyumba zinauzwa katika masynagogue ya wayahudi dunia nzima ambazo zitajengwa katika ardhi walionyang'anywa wapalestina ? Halafu unadhani hali itarudi kawaida kwa kukaa mezani aisee.
We jamaa unatakiwa uitwe zuzu.
ITabidi nikuelekeze geopolitics inavyofanya kazi.
KAtika geopolitics kuna cold war and hot war nenda kafuatilie hata Russia na USA wametumia hizo mbinu baina yao.
NATAKA UNITAJIE SEHEMU NILOSEMA PESA NDIO INFLUENCE YA KILA KITU.
Mzozo wa Palestina na Israel ni mzozo mkubwa sio wa kuamuliwa utakavyo wewe.
Njia ya kwanza waarabu waliotumia ni kupunguza maswahiba wa Israel duniani na hilo wamefanikiwa maana mataifa asilimia 80 ya South America hayana mahusiano mazuri ya kidiplomasia na Israel.
Huwezi ukalazimisha mataifa ya kiarabu yaingie vitani kupurukupuru yaje yaishie kuteketea kama ilivyoteketea Iraq ilhali sasa hivi waarabu wanakuja juu kiuchumi japo hilo jambo walitakiwa walifanye muda mrefu.
NILISHASEMA WEWE MWEUPE KWENYE GEOPOLITICS NA IRAN HUIJUI.
IRAN INA MFUMO WAKE WA MAKOMBORA NA IRAN CIA YENYEWE ILITOA RIPOTI IKISEMA NDIO NCHI PEKEE MIDDLE EAST YENYE MISSILE POWER AMBAYO YANAWEZA TOKA IRAN MPAKA TEL AVIV NA YAKAFANYA MAANGAMIZI.
SILAHA HIZO HIZO ndizo zilizotumika na Hizbollah vita ya 2006 dhidi ya Israel na kuwatwanga Israel.
Silaha hizo hizo zimetumika NA RUSSIA MWAKA JANA DHIDI YA NATO NA UKRAINE NA MPAKA SASA ZINATUMIKA NA KULETA MAAFA.
HUJAJIULIZA KWANINI USA ALISHINIKIZA IRAN IWEKEWE VIKWAZO VYA UUNDAJI NA UUZAJI SILAHA???
NA SASA HIVI AMERUTUBISHA URANIUM KWA KIWANGO CHA 28% IKIFIKA 38% INAGEUKA KUWA NUKE WEAPON NUCLEAR WATCHDOG WANAPIGA KELELE HUKO.
Iran imeifadhili Houthi silaha na wanajeshi kupigana dhidi ya Saudi Arabia inayosaidiwa na USA kuisimamisha serikali ya Mansour ilokataliwa na Yemeni toka 2014.
Hiyo Iran unayosemea wewe ishaanza kuuza silaha nje ya nchi baada ya vikwazo vyake kuisha mwaka jana.
Na hiyo hiyo Iran ndio iliyoizuia USA isimuondoe madarakani Bashar Al Assad pale Syria.
Usiidharau Iran.
HAta hiyo Israel inalia kila leo US iishambulie Iran isiwe threat pale middle east.
 
Kuoa sio kipaumbele kama hauwezi kujisimamia wewe mwenyewe utaweza kukaa na mke. Mimi kuna watu nilivunja urafiki nao kwa sababu waliwahi kuoa na wake zao wananisumbua. Usioe kama hauna kipato cha uhakika na hauna clique ya watu makini katika utafutaji. Katika ukoo wetu ukitangaza unaoa unaulizwa una sh ngapi ? na ndugu wanaongezea hapo ulipo. Unaoa hauna hata rafiki ambaye anaweza kukukopesha 100k chap kama ukipata dharura .Yaani watu kulipiwa mahari nilishangaa sana. Yaani ingekuwa ni hivyo mimi nisingehangaika na maisha.
Wapo walio owa wakiwa hawana kipato cha uhakika lakini mke aliye muoa akaja akawa chachu ya mafanikio yake na familia yake.
Na kuna walio oa wakiwa na vipato vya uhakika lakini mke wake aliye muowa akawa sababu ya kufirisika kwake na kuwa mlala hoi.
Maisha hayana fomula halisi usiya chukilie poa hata kidogo.
 
Excuses excuses wewe si ulisema pesa ni zaidi ya influence ? Naomba unipe sababu ya kifasaha kwa nini Waarabu wameshindwa kuikomboa Palestine ? Tunarudi kule kule inabidi wakazane na shule na wajitegemee. Iran haina wataalamu vijana kibao wanakimbia nchi kwenda Ulaya na Marekani. Unasema Iran ataisaidia palestine. Hivi unajua silaha zinazotumiwa na Ukraine ? Unadhani vita siku hizi inapiganwa na bunduki ? Vita vya Ukraine na Urusi vimeruhusu majaribio ya silaha mpya ambazo zilikuwa hazijajaribiwa katika uwanja wa vita. Unataka kusolve mgogoro wa Israel kidiplomasia wakati watu wanauwana since 1947. Watu wanakaa mezani baada ya miaka michache kinanuka. Kupigana Israel na Palestina ni ON and OFF. Hivi unajua kuna apartment na nyumba zinauzwa katika masynagogue ya wayahudi dunia nzima ambazo zitajengwa katika ardhi walionyang'anywa wapalestina ? Halafu unadhani hali itarudi kawaida kwa kukaa mezani aisee.
Kwa mantiki ya kiuchumi utaelewa kwanini China siku hizi haijihusishi na vita za watu mzee.
USA imekua ikipata anguko la kifedha mdogo mdogo kwa kujihusisha na vita.
VIta haiendeshwi na silaha tu bali na pesa ila pia.
KWa dunia ya sasa hakuna taifa linalopenda vita za kiwepesi.
Iran ina uchumi na ina teknolojia ya silaha pia.
Jiulize kwanini US aliweza tuma drone katika anga la Iraq zikapita ila kwa Iran anashindwa???
Kuna mfumo wa anga unaitwa Khordak airdefence system iliangusha stealth drone ya USA mwaka 2018 katika anga la Iran.
Makundi yote ya resistance middle east yanafadhiliwa na Iran.
Kamsome Qassem Soleimani utajua Iran ina nguvu gani na kwanini toka 1980 US ilihangaika kuiwekea economic sanctions.
QAtar,Saudia na mataifa mengine ya kiarabu yameanza kuungana na Iran juu ya teknolojia ya silaha maana yashajiona hayana usalama fuatilia utajua.
 
We jamaa unatakiwa uitwe zuzu.
ITabidi nikuelekeze geopolitics inavyofanya kazi.
KAtika geopolitics kuna cold war and hot war nenda kafuatilie hata Russia na USA wametumia hizo mbinu baina yao.
NATAKA UNITAJIE SEHEMU NILOSEMA PESA NDIO INFLUENCE YA KILA KITU.
Mzozo wa Palestina na Israel ni mzozo mkubwa sio wa kuamuliwa utakavyo wewe.
Njia ya kwanza waarabu waliotumia ni kupunguza maswahiba wa Israel duniani na hilo wamefanikiwa maana mataifa asilimia 80 ya South America hayana mahusiano mazuri ya kidiplomasia na Israel.
Huwezi ukalazimisha mataifa ya kiarabu yaingie vitani kupurukupuru yaje yaishie kuteketea kama ilivyoteketea Iraq ilhali sasa hivi waarabu wanakuja juu kiuchumi japo hilo jambo walitakiwa walifanye muda mrefu.
NILISHASEMA WEWE MWEUPE KWENYE GEOPOLITICS NA IRAN HUIJUI.
IRAN INA MFUMO WAKE WA MAKOMBORA NA IRAN CIA YENYEWE ILITOA RIPOTI IKISEMA NDIO NCHI PEKEE MIDDLE EAST YENYE MISSILE POWER AMBAYO YANAWEZA TOKA IRAN MPAKA TEL AVIV NA YAKAFANYA MAANGAMIZI.
SILAHA HIZO HIZO ndizo zilizotumika na Hizbollah vita ya 2006 dhidi ya Israel na kuwatwanga Israel.
Silaha hizo hizo zimetumika NA RUSSIA MWAKA JANA DHIDI YA NATO NA UKRAINE NA MPAKA SASA ZINATUMIKA NA KULETA MAAFA.
HUJAJIULIZA KWANINI USA ALISHINIKIZA IRAN IWEKEWE VIKWAZO VYA UUNDAJI NA UUZAJI SILAHA???
NA SASA HIVI AMERUTUBISHA URANIUM KWA KIWANGO CHA 28% IKIFIKA 38% INAGEUKA KUWA NUKE WEAPON NUCLEAR WATCHDOG WANAPIGA KELELE HUKO.
Iran imeifadhili Houthi silaha na wanajeshi kupigana dhidi ya Saudi Arabia inayosaidiwa na USA kuisimamisha serikali ya Mansour ilokataliwa na Yemeni toka 2014.
Hiyo Iran unayosemea wewe ishaanza kuuza silaha nje ya nchi baada ya vikwazo vyake kuisha mwaka jana.
Na hiyo hiyo Iran ndio iliyoizuia USA isimuondoe madarakani Bashar Al Assad pale Syria.
Usiidharau Iran.
HAta hiyo Israel inalia kila leo US iishambulie Iran isiwe threat pale middle east.
Nafurahi unavyoniita Zuzu. Hapo mwanzoni ulisema mwarabu ana hela na matukio makubwa ya kimichezo yanafanyika huko na wana inluence kubwa kwa dunia. Amerika kusini nchi kuna wayahudi wengi kutoka ujerumani wameweka makazi huko. Kuhusu Iran naijua kwa sababu nimekaa na Wa-Iran na ninachokiongelea hapa nimeshakiongelea na wayahudi na waarabu toka mwaka jana Okt 7. Unasema Iran ndio imempa Urusi silaha za kutumika katika vita yake na Ukraine. Naomba unifuatilie vita ya ukraine vizuri ujue kati ya Urusi na Ukraine nani ana silaha za kisasa zaidi ? Umesema Iran ilimzuia Bashar Assad asiondolewe Syria naomba nikuulize Damascus ipo kama zamani au sasa hivi imejaa magofu wasyria tupo nao huku pia . Nimecheka sana maana umemalizia kwa kusema kuwa Iran ndio threat pekee kwa Israel. Vijana wa hukokutwa kukicha wanakimbilia ulaya na Marekani.

Sihitaji lawama(excuses)naomba uniletee sababu kwanini Israel ina nguvu ya Palestina huku Wayahudi wakiwa wachache sana kuliko waarabu ?
 
Wapo walio owa wakiwa hawana kipato cha uhakika lakini mke aliye muoa akaja akawa chachu ya mafanikio yake na familia yake.
Na kuna walio oa wakiwa na vipato vya uhakika lakini mke wake aliye muowa akawa sababu ya kufirisika kwake na kuwa mlala hoi.
Maisha hayana fomula halisi usiya chukilie poa hata kidogo.
Safi sana naona unakariri maisha maisha ya sasa sio kama zamani. Wewe oa halafu huna uwezo hata wa kula milo mitatu uje ututolee huo mfano na uje utufundishe maisha. Maisha hayana formula lakini maisha ni kujipanga. Nilichokisema kuhusu kuoa ni ukweli mchungu. Kumbuka pia wapo walioowa wakiwa hawana hela baada ya kufanikiwa wakajua kuwa walikosea kuchagua mke. Nimejifunza mengi sana katika muda mfupi nilioishi hapa duniani.
 
Kwa mantiki ya kiuchumi utaelewa kwanini China siku hizi haijihusishi na vita za watu mzee.
USA imekua ikipata anguko la kifedha mdogo mdogo kwa kujihusisha na vita.
VIta haiendeshwi na silaha tu bali na pesa ila pia.
KWa dunia ya sasa hakuna taifa linalopenda vita za kiwepesi.
Iran ina uchumi na ina teknolojia ya silaha pia.
Jiulize kwanini US aliweza tuma drone katika anga la Iraq zikapita ila kwa Iran anashindwa???
Kuna mfumo wa anga unaitwa Khordak airdefence system iliangusha stealth drone ya USA mwaka 2018 katika anga la Iran.
Makundi yote ya resistance middle east yanafadhiliwa na Iran.
Kamsome Qassem Soleimani utajua Iran ina nguvu gani na kwanini toka 1980 US ilihangaika kuiwekea economic sanctions.
QAtar,Saudia na mataifa mengine ya kiarabu yameanza kuungana na Iran juu ya teknolojia ya silaha maana yashajiona hayana usalama fuatilia utajua.
Naomba nikuulize kuwa katika hii post yako unasema Iran ina nguvu kuliko U.S.A ? Naomba unijibu ndio au hapana ?
 
Nafurahi unavyoniita Zuzu. Hapo mwanzoni ulisema mwarabu ana hela na matukio makubwa ya kimichezo yanafanyika huko na wana inluence kubwa kwa dunia. Amerika kusini nchi kuna wayahudi wengi kutoka ujerumani wameweka makazi huko. Kuhusu Iran naijua kwa sababu nimekaa na Wa-Iran na ninachokiongelea hapa nimeshakiongelea na wayahudi na waarabu toka mwaka jana Okt 7. Unasema Iran ndio imempa Urusi silaha za kutumika katika vita yake na Ukraine. Naomba unifuatilie vita ya ukraine vizuri ujue kati ya Urusi na Ukraine nani ana silaha za kisasa zaidi ? Umesema Iran ilimzuia Bashar Assad asiondolewe Syria naomba nikuulize Damascus ipo kama zamani au sasa hivi imejaa magofu wasyria tupo nao huku pia . Nimecheka sana maana umemalizia kwa kusema kuwa Iran ndio threat pekee kwa Israel. Vijana wa hukokutwa kukicha wanakimbilia ulaya na Marekani.

Sihitaji lawama(excuses)naomba uniletee sababu kwanini Israel ina nguvu ya Palestina huku Wayahudi wakiwa wachache sana kuliko waarabu ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Unazidi kujidhihirisha uzuzu wako.
Wa Iran kukimbilia US haiondoi kuwa Iran ni threat kwa Israel.
We jamaa acha ujinga.
Hata hiyo Yemeni ni threat kwa Israel kijeshi hata Lebanon ni threat kwa Israel kijeshi kupitia hizbollah.
Suala la Israel kuwa na nguvu si tulishalieleza kuwa ni mutual relation na US na EU???
Pia si nilishakwambia kafuatilie mzozo toka 1946??
Waarabu kuwa na influence duniani inatokana na uchumi walionao sasa.
KAMA WAKIINGIA VITANI UCHUMI UTADORORA EMBU KUWA NA AKILI WE PUNGUANI.
WAARABU BADO HAWAJAWA NA TEKNOLOJIA YA SILAHA YA KUJILINDA WE JAMAA.
UNapewa facts unasema ni excuses
USA mpango wao ilikua kufanya regime change ili kumweka kiongozi wanaomtaka kama walivyofanya Misri AbdulFatah Elsisi na Libya.
Ila wakashindwa usitizame mji wa Damascus ukoje tizama je Al Assad ameondoka madarakani kama USA walivyotaka???
Ulishajiuliza kwanini Usa anaiandama Iran toka 1980??
Aliwahi kuifadhili Iraq kuipiga Iran kwa muda wa miaka 8 toka 1980 mpaka 1988 Iraq ikashindwa na US kuitisha kikao kwa meza.
Jiulize kwanini Usa anaiandama sana Iran.
 
Naomba nikuulize kuwa katika hii post yako unasema Iran ina nguvu kuliko U.S.A ? Naomba unijibu ndio au hapana ?
Acha kunilisha maneno we jamaa.
Sijasema kama Iran ina nguvu kuliko USA embu acha uongo.
Nilichokisema Iran ni threat kwa Israel pale middle East.
Iran hiyo ilishaonesha upinzani toka 1979 ilipopindua serikali rafiki kwa USA.
1980 ikawekewa vikwazo vya kiuchumi.
Kama Iran isingewekewa vikwazo vya kiuchumi ingekua zaidi ya hapa ilipo.
Iran ni tishio kwa maslahi ya USA middle east.
EMbu soma hayo maelezo uelewe silaha za Iran zinamfanya nini USA huko Russia na Ukraine.
Raia wa Iran kukimbilia Ulaya na Marekani kutafuta maisha haiondoi Iran kuwa tishio kwa Israel na jamaa zake.
Screenshot_2024-03-11-20-02-51-70_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-03-11-20-03-01-90_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Unazidi kujidhihirisha uzuzu wako.
Wa Iran kukimbilia US haiondoi kuwa Iran ni threat kwa Israel.
We jamaa acha ujinga.
Hata hiyo Yemeni ni threat kwa Israel kijeshi hata Lebanon ni threat kwa Israel kijeshi kupitia hizbollah.
Suala la Israel kuwa na nguvu si tulishalieleza kuwa ni mutual relation na US na EU???
Pia si nilishakwambia kafuatilie mzozo toka 2014??
Waarabu kuwa na influence duniani inatokana na uchumi walionao sasa.
KAMA WAKIINGIA VITANI UCHUMI UTADORORA EMBU KUWA NA AKILI WE PUNGUANI.
WAARABU BADO HAWAJAWA NA TEKNOLOJIA YA SILAHA YA KUJILINDA WE JAMAA.
UNapewa facts unasema ni excuses
USA mpango wao ilikua kufanya regime change ili kumweka kiongozi wanaomtaka kama walivyofanya Misri AbdulFatah Elsisi na Libya.
Ila wakashindwa usitizame mji wa Damascus ukoje tizama je Al Assad ameondoka madarakani kama USA walivyotaka???
Asante kwa kuniita Zuzu na Punguwani, Huo uchumi walionao waarabu kwa sasa ambao kwa madai yako ndio unawapa influence duniani kwa nini haujawasaidia katika kuwakomboa Wapalestina ? Mbona unajipinga unaposema waarabu wakiingia vitani uchumi wao utadorora ? Issue sio Assad kuondoka, ukipigwa mtama ukaanguuka ukashindwa kusimama bado umeumia hata kama hauna kidonda. Ungesema Assad kasaidiwa na Iran kuijenga upya Syria ningekuona wa maana. Syiria mpaka leo ni Gofu na wananchi wake wamejazana ulaya na Marekani ambako nguvu na juhudi za mtu katika upambanaji zinaheshimiwa bila kujali dini, rangi au Taifa.
 
Wakishatoka havard University wanakwenda kuajiriwa kuwa watumwa wa waarabu.

Pesa inaongea kuliko kalamu
 
Back
Top Bottom