Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Unaleta propaganda ndugu yangu. Nimekuambia leta ushahidi kuhusu wakimbizi wayahudi unaleta taarifa ya habari. Leta ushahidi kuhusu wayahudi wakimbizi. Sio taarifa za habari. Unatetea kitu ambacho hakipo.Nimeshakuletea data za UNHCR. Toka mwaka 1948 Israel haijawahi kupigwa mpaka ikapata wakimbizi. Hizo link ulizotuma unaweza uka zi-cite ? Nimekuambia uje na data za wakimbizi unaleta taarifa za kujifariji. Acha kujidanganya AMKA ndugu yangu.
Young refugees from Israel listen to a rabbi in a Yashiva in a Jewish refugee camp in Balatonoszod, Hungary, Tuesday Nov. 7, 2023. The camp, which houses around 250 people, including 100 children, provides shelter for Jewish refugees, some of whom escaped war both in Ukraine and Israel. (AP Photo/Bela Szandelszky)

😂😂😂😂😂 unawekewa mpaka
Ushahidi wa picha na majina yao lakini hautaki unasema propaganda uzuri watu wanasoma huu uzi wanakuona unavyozama kwenye tope🤣
 

Attachments

  • IMG_1487.jpeg
    IMG_1487.jpeg
    297.3 KB · Views: 3
Wanapuuza elimu?
Uwezo mdogo wa darasani?
Hawataki elimu dunia ?

Sio kwamba waarabu hawapo kabisa hivyo vyuo lakini idadi yao ni ndogo

Mfano mdogo ni idadi ya mataifa yanayoongoza kwa wahitimu kwa mwaka jana 2022/23 chuo cha Havard, hii ni kutoka moja kwa moja kwenye tovuti ya Havard

Havard Alumni

View attachment 2929507
Waarabu wamewekeza Mbinguni kwa allah , waliobaki wanawekeza elimu duniya.!
 
Unachokisema hakina mantiki maana wayahudi wapo wengi sana huku. Na wameshikilia biashara na vyeo vingi vikubwa vya serikali. Ukikaa huku utajua nguvu yao ipo wapi. Watu wapo Israel toka mwaka 1948 waarabu wameshindwa kuwafukuza mpaka leo halafu unakuja kuwaita wajinga. Israel ni mpango uliosukwa kiakili. Kila mara waIsraeli wakichokozwa majibu ni mara mia ya wanachokifanya Wapalestina.

Sema vyovyote , uhuru Huo unao , lakini nimemwona Myahudi kwa macho yangu akitiwa jela ya wakimbizi na baadaye kurudishwa Israel . Hiyo kuwa na pesa na biashara watu wa mataifa yote kuna wengine wanazo hata hapa kwetu na kuna wengine wanaomba hifadhi huko Ulaya na Marekani
 
Coming here for me and for my wife is such unimaginable relief,” said Pletnyov, whose apartment building in Ashkelon was hit by a Hamas rocket as the attacks began. “It’s a comforting place to be.”
The 34-year-old and his family are now living in a state-owned resort, disused for nearly two decades, on the shores of the sprawling Lake Balaton in western Hungary.
First opened for Jewish Ukrainian refugees following Russia's invasion last year, it is now housing around 250 people including some 100 children, most of whom have arrived from Israel in the weeks since Hamas' Oct. 7 attack.
The camp is equipped with detached housing units and a central building where three kosher meals are served per day. The residents are provided with shelter and camaraderie, and can also engage in activities like sports and dancing, and may attend yeshiva for religious studies.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Hawa ni wakimbizi wa Israel wamepewa hifadhi huko Hungary wamekimbia makombora ya Hamas.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Kuja hapa kwa ajili yangu na kwa mke wangu ni ahueni isiyoweza kufikiria,” alisema Pletnyov, ambaye jengo lake la ghorofa huko Ashkelon lilipigwa na roketi ya Hamas wakati mashambulizi yalipoanza. "Ni mahali pa kufariji kuwa."

Mzee huyo mwenye umri wa miaka 34 na familia yake sasa wanaishi katika eneo la mapumziko linalomilikiwa na serikali, ambalo halitumiki kwa takriban miongo miwili, kwenye ufuo wa Ziwa Balaton magharibi mwa Hungary.

Ilifunguliwa kwa mara ya kwanza kwa wakimbizi wa Kiyahudi wa Ukraine kufuatia uvamizi wa Urusi mwaka jana, sasa inahifadhi takriban watu 250 wakiwemo watoto 100, ambao wengi wao wamewasili kutoka Israel wiki chache tangu shambulio la Hamas Oktoba 7.

Kambi hiyo ina vitengo vya makazi vilivyotengwa na jengo kuu ambapo milo mitatu ya kosher hutolewa kwa siku. Wakaazi hupewa makazi na urafiki, na pia wanaweza kushiriki katika shughuli kama vile michezo na dansi, na wanaweza kuhudhuria yeshiva kwa masomo ya kidini.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Hiii habari biofya kusoma👇🏽

 
Young refugees from Israel listen to a rabbi in a Yashiva in a Jewish refugee camp in Balatonoszod, Hungary, Tuesday Nov. 7, 2023. The camp, which houses around 250 people, including 100 children, provides shelter for Jewish refugees, some of whom escaped war both in Ukraine and Israel. (AP Photo/Bela Szandelszky)

😂😂😂😂😂 unawekewa mpaka
Ushahidi wa picha na majina yao lakini hautaki unasema propaganda uzuri watu wanasoma huu uzi wanakuona unavyozama kwenye tope🤣
Unaleta vitu ambavyo havipo ndugu yangu. Hakuna wakimbizi wayahudi na hakuna nchi ambayo imejitokeza kusaidia wakimbizi wayahudi. Yaani unachotakiwa kusema kuna wakimbizi nchi imejitolea kuwasadia. Unaleta data ambazo hazina backing. UNHCR haina report ya wakimbizi wayahudi toka Israel iweke himaya Palestina mwaka 1948.
 
Sema vyovyote , uhuru Huo unao , lakini nimemwona Myahudi kwa macho yangu akitiwa jela ya wakimbizi na baadaye kurudishwa Israel . Hiyo kuwa na pesa na biashara watu wa mataifa yote kuna wengine wanazo hata hapa kwetu na kuna wengine wanaomba hifadhi huko Ulaya na Marekani
Ndio naomba hizo data za UNHCR kuwa kuna wayahudi wakimbizi. Hauwezi kuchukua data kutoka katika website na kuweka hapa. UNHCR haina report ya Jewish refugees toka Israel iweke himaya Palestina 1948.

Ulichoshuhudia wewe ni tofauti na ninachoshuhudia mimi. Mimi nilikuwa nadhani wayahudi ni wavivu na wabaguzi. Ila baada ya kuishi nao nimekuja kugundua ni watu makini sana. Nimeshaenda mpaka kwenye Masynagogue yao. Israel hawana haki lakini kuwapiga mpaka watu wakimbie hicho kitu hakijawahi kutokea toka 1948.
 
Hii

Hii list ya kubagua bagua utajiri umepatikanaje??
Mngefanya vigezo jumuishi kama msingeona hapo juu waarabu wamekaa kwa list.
Nakushauri DUNIANI BARA MASIKINI NI BARA LA AFRIKA IKIWEMO NCHI YA TANZANIA.
KHERI UNGETIZAMA KIPI KIFANYIKE NA UKATOA USHAURI AFRIKA TUNATATUAJE SHIDA ZETU KULIKO KUHANGAIKA NA WAARABU.
Unaohangaika nao mwaka juzi Qatar imefanya recruitment ya wanasayansi wa China kuja Qatar kuwaelekeza uundaji silaha sambamba na UAE imeunda coalition na kampuni ya South Africa iwafundishe wahandisi wa UAE kuunda silaha.
Wewe nchi yako iko nyuma kwa kila kitu.
Qatar inaalika maprofessa toka China kila leo na Ulaya kuambukiza ujuzi wa kiteknolojia raia wa Qatar.
Taifa lako linafanya nini??
Waislam baadhi mna mahaba yasiyomithilika kwa Mwarabu. Kwa uhalisia tu Waarabu ni race ambayo ni least intelligent na uncivilized. Wana bahati tu nchi zao zina mafuta.

Hao jamaa ni weupe sana kichwani ndio maana hawajawahi fanya ugunduzi wowote wa maana hapa duniani zaidi ya kula tende tu na fancy and flashy life hasa familia na koo za Kifalme.

Huko nchi za Kiarabu km Saudia, Bahrain, UAE, Qatar, Brunei n.k sio ajabu kusikia Mfalme ana fleets magari zaidi ya 1000, private jets 10, saa za dhahabu 500, nguo designers 100k, n.k ambazo hazitumii ni upuuzi mtupu
 
Waislam baadhi mna mahaba yasiyomithilika kwa Mwarabu. Kwa uhalisia tu Waarabu ni race ambayo ni least intelligent na uncivilized. Wana bahati tu nchi zao zina mafuta.

Hao jamaa ni weupe sana kichwani ndio maana hawajawahi fanya ugunduzi wowote wa maana hapa duniani zaidi ya kula tende tu na fancy and flashy life hasa familia na koo za Kifalme.

Huko nchi za Kiarabu km Saudia, Bahrain, UAE, Qatar, Brunei n.k sio ajabu kusikia Mfalme ana fleets magari zaidi ya 1000, private jets 10, saa za dhahabu 500, nguo designers 100k, n.k ambazo hazitumii ni upuuzi mtupu
Wewe sasa ndo umekaa kidini dini, paragraph ya kwanza na ya pili emu fatilia zaidi mkuu
 
Unaleta vitu ambavyo havipo ndugu yangu. Hakuna wakimbizi wayahudi na hakuna nchi ambayo imejitokeza kusaidia wakimbizi wayahudi. Yaani unachotakiwa kusema kuna wakimbizi nchi imejitolea kuwasadia. Unaleta data ambazo hazina backing. UNHCR haina report ya wakimbizi wayahudi toka Israel iweke himaya Palestina mwaka 1948.
Wewe na Waisrael wenyewe tumuanini nani? Jarida maarufu la Israel Time of Israel wameandika wanawakimbizi wewe Muisrael mweusi wa Kamachumu Bukoba unapinga🤣

 
UNHCR ndio shirika la wakimbizi duniani nilikuambia uje na data za wakimbizi ambao ni wayahudi kutoka UNHCR. NImekuletea Data za UNHCR unakuja kuuliza kuhusu maana ya ukimbizi are you serious ? Unachokitetea hakipo unalazimisha unachokitaka kiwe ukweli lakini unajua kubwa sio ukweli. Hakuna kitu kibaya kama kujidanganya.
Ww kila saa kujiita msomi lakini ni umejaa makamasi kichwani na hauna elimu yoyote.

Ili uweze kujibu swali ni razima uelewe kwanza maana ya hilo swali.
Na ndio maana kidato cha kwanza ulifundishwa naana ya vitu mbali mbali.
Mm nimekuuliza swali ulitakiwa ulijibu kwanza nn maana ya mkimbizi, ukisha tafsiri maana ya neno mkimbizi ndo ndo tunge pata jibu iwapo hao wayahudi walio kimbia Israel baada ya vita kuzuka hawana hizo sifa za ukimbizi.
Ndio maana kwenye hesabu ili upatie jibu ni lazima upitie fomula ya swari husika.

Yaani mtu hujui hata nn maana ya mkimbizi alafu unajiita msomi hali yakuwa elimu ya ukimbizi ni elimu ya darasa la 5?
Kwa hiyo ww unadhani kila mkimbizi ni razima awe chini ya NUHCR?alafu unajiita eti umesoma.
Mbona wakimbizi wa kipalestina hawako chini ya NUHCR , kwa hiyo wao sio wakimbizi ?
Wakimbizi wa kiukraine walio kimbilia Urusi hawako chini ya NUHCR.

Wakimbizi wa kiafghanisitan walioko Iran hawako chini ya NUHCR.

Ngoja nikupe elimu: tafsiri ya neno mkimbizi ni mtu anaye hama kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kwa kuhofia usalama wa maisha yake kwa sababu ya vita , kiuchumi ,na kisiasa.
Na ndio maana kuna wakimbizi aina tatu yaani kuna wakimbizi kivita, wakimbizi wa kiuchumi na wakimbizi wa kivita.
Ww ukisha kimbia sehemu kwa kuhofia usalama wako na kukimbilia sehemu nyingine ambayo ni salama ww ni mkimbizi tiyari bila kujali huko ulipo kimbilia umepokelewaje.

Hata ww hapo ulipo ni mkimbizi wa kiuchumi.
 
Ww kila saa kujiita msomi lakini ni umejaa makamasi kichwani na hauna elimu yoyote.

Ili uweze kujibu swali ni razima uelewe kwanza maana ya hilo swali.
Na ndio maana kidato cha kwanza ulifundishwa naana ya vitu mbali mbali.
Mm nimekuuliza swali ulitakiwa ulijibu kwanza nn maana ya mkimbizi, ukisha tafsiri maana ya neno mkimbizi ndo ndo tunge pata jibu iwapo hao wayahudi walio kimbia Israel baada ya vita kuzuka hawana hizo sifa za ukimbizi.
Ndio maana kwenye hesabu ili upatie jibu ni lazima upitie fomula ya swari husika.

Yaani mtu hujui hata nn maana ya mkimbizi alafu unajiita msomi hali yakuwa elimu ya ukimbizi ni elimu ya darasa la 5?
Kwa hiyo ww unadhani kila mkimbizi ni razima awe chini ya NUHCR?alafu unajiita eti umesoma.
Mbona wakimbizi wa kipalestina hawako chini ya NUHCR , kwa hiyo wao sio wakimbizi ?
Wakimbizi wa kiukraine walio kimbilia Urusi hawako chini ya NUHCR.

Wakimbizi wa kiafghanisitan walioko Iran hawako chini ya NUHCR.

Ngoja nikupe elimu: tafsiri ya neno mkimbizi ni mtu anaye hama kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kwa kuhofia usalama wa maisha yake kwa sababu ya vita , kiuchumi ,na kisiasa.
Na ndio maana kuna wakimbizi aina tatu yaani kuna wakimbizi kivita, wakimbizi wa kiuchumi na wakimbizi wa kivita.
Ww ukisha kimbia sehemu kwa kuhofia usalama wako na kukimbilia sehemu nyingine ambayo ni salama ww ni mkimbizi tiyari bila kujali huko ulipo kimbilia umepokelewaje.

Hata ww hapo ulipo ni mkimbizi wa kiuchumi.
Nashukuru sana kwa kuniambia imejaa makamasi kichwani. Naomba data UNHCR kama kuna wakimbizi wowote wa kiyahudi toka Israel ilipoweka kambi Palestina 1948. Nasubiri jibu.

Unatetea kitu ambacho hakipo ndugu yangu. Unahangaika na kuelezea maana ya Ukimbizi. Mimi sina ushabiki na mtu na siwashabikii wayahudi. Mimi naongea ukweli. Ukweli hauwezi kubadilishwa hata siku moja. Huwezi kumwomba Mungu na kupata mafanikio bila kupambana.
 
Wewe na Waisrael wenyewe tumuanini nani? Jarida maarufu la Israel Time of Israel wameandika wanawakimbizi wewe Muisrael mweusi wa Kamachumu Bukoba unapinga🤣

Unajua kuna propaganda kibao katika vita ? Data zenye ukweli ni kutoka UNHCR. Hizo taarifa kutolewa na habari ya Israel haizifanyi kuwa za ukweli. Kuna propaganda wayahudi wanasambaza kubwa wanateswa kila siku ili wapata sababu ya kuwaua Wapalestina. Hizo taarifa sio za kweli ukiangalia nguvu ya Passport ya Israel na Chimbuko la myahudi utajua. Myahudi sio omba omba hata siku moja ndugu yangu.

Naomba Data kutoka UNHCR za wayahudi wakimbizi. Sio lazima ziwe za mwaka jana. Toka mwaka 1948
 
Nashukuru sana kwa kuniambia imejaa makamasi kichwani. Nimeona data UNHCR kama kuna wakimbizi wowote wa kiyahudi toka Israel ilipoweka kambi Palestina 1948. Nasubiri jibu.
Yaani pamoja na kutoa maelezo yote ili uelewe lakini bado umekaza kichwa.
Soma maana ya neno mkimbizi ili tuone kama hao walio kimbia baada ya shambulio la October 7 iwapo hawana hizo sifa za kuitwa wakimbizi

Ukimbizi ni sifa na siyo kuwa kwenye data za taasisi au mtu fulani.
Ndo maana nikakuwekea orodha ya wakimbizi ambao hawako chini ya NUHCR lakini bado wao ni wakimbizi kwa sababu ya sifa zao.

Kwa hiyo kuitwa mchezaji wa mpira ni razima uwe kwenye data za fifa, si hata wanao chezea timu za vijiji na shule nao wanaitwa wachezaji?
Ww jamaa buana 😃😃😃😃
 
Ndio naomba hizo data za UNHCR kuwa kuna wayahudi wakimbizi. Hauwezi kuchukua data kutoka katika website na kuweka hapa. UNHCR haina report ya Jewish refugees toka Israel iweke himaya Palestina 1948.

Ulichoshuhudia wewe ni tofauti na ninachoshuhudia mimi. Mimi nilikuwa nadhani wayahudi ni wavivu na wabaguzi. Ila baada ya kuishi nao nimekuja kugundua ni watu makini sana. Nimeshaenda mpaka kwenye Masynagogue yao. Israel hawana haki lakini kuwapiga mpaka watu wakimbie hicho kitu hakijawahi kutokea toka 1948.

Na wala hawatokuwekea kwani kuna mchezo unachezwa. Hivi kwa nini Wapalestina wakaundiwa UNRWA na si UNHCR ??

Yaani wewe unawashinda hao wayahudi wenyewe na kauli zao kuhusu ubaguzi ??
 
Na wala hawatokuwekea kwani kuna mchezo unachezwa. Hivi kwa nini Wapalestina wakaundiwa UNRWA na si UNHCR ??

Yaani wewe unawashinda hao wayahudi wenyewe na kauli zao kuhusu ubaguzi ??
Mimi sio mbaguzi, unamsaidiaje mtu anaepewa hifadhi Ulaya hataki shule ? Kuhusu wakimbizi mimi siongelei Wapalestina naongelea Wayahudi. Israel ipo toka mwaka 1948 walijikusanya waarabu wakapigwa wote ndani ya siku sita(yaani vita haukifika wiki). Unakuja kusema leo Israel walipigwa hadi kukawa na wakimbizi Are you serious ?

Naomba utafute mtoto wa miaka sita umpe historia kuhusu Israel halafu umpe nafasi ya kukuuliza swali. Unajua atakuuliza swali gani ? Lazima atakuuliza kwa nini mpaka leo wa-Israel wapo hapo ?
 
Yaani pamoja na kutoa maelezo yote ili uelewe lakini bado umekaza kichwa.
Soma maana ya neno mkimbizi ili tuone kama hao walio kimbia baada ya shambulio la October 7 iwapo hawana hizo sifa za kuitwa wakimbizi

Ukimbizi ni sifa na siyo kuwa kwenye data za taasisi au mtu fulani.
Ndo maana nikakuwekea orodha ya wakimbizi ambao hawako chini ya NUHCR lakini bado wao ni wakimbizi kwa sababu ya sifa zao.

Kwa hiyo kuitwa mchezaji wa mpira ni razima uwe kwenye data za fifa, si hata wanao chezea timu za vijiji na shule nao wanaitwa wachezaji?
Ww jamaa buana 😃😃😃😃
Endelea kukwepa swali mimi sijakaza kichwa hivi vitu unahadithiwa na kusoma mitandaoni. Haujakaa na wayahudi na kuwajua mimi nimefanya kazi na wote waarabu na wayahudi. Marekani ina kambi tano za kijeshi katika nchi ambayo Waarabu wanaenda kuhiji(Saudia Arabia). Halafu unakuja kutetea kitu ambacho hakipo.
 
Endelea kukwepa swali mimi sijakaza kichwa hivi vitu unahadithiwa na kusoma mitandaoni. Haujakaa na wayahudi na kuwajua mimi nimefanya kazi na wote waarabu na wayahudi. Marekani ina kambi tano za kijeshi katika nchi ambayo Waarabu wanaenda kuhiji(Saudia Arabia). Halafu unakuja kutetea kitu ambacho hakipo.
Hivi ww jamaa una akili kweli kwa hiyo wao kufanya kazi na ww kuna wafanya wasiwe wakimbizi?
Hapa tunaongelea sifa za ukimbizi hatuongelei kambi za Marekani na Saudia wala hapa hatukadili mambo ya kuhiji hapa, ebu kuwa na akili hata kidogo basi.
Kati yangu na ww anaye kwepa swari ni nani ?
Ww umesema hapa duniani hakuna myahudi mkimbizi na sisi tukakuuliza ni nn sifa ya mtu kuitwa mkimbizi ili tuone kama hakuna myahudi mwenye hizo sifa lakini cha ajabu unaruka ruka tu?
Wapalestina hawako chini ya NUHCR je hao sio wakimbizi?
Waukiraine walio kimbilia Urusi hawako chini ya NUHCR je wao sio wakimbizi?
Wakimbizi kutoka Afghanistan nchi walioko Iran hawako chini ya NUHCR je wao sio wakimbizi?
Hata ww ni mkimbizi wa kiuchumi japo hauko chini ya UNHCR
 
Hivi ww jamaa una akili kweli kwa hiyo wao kufanya kazi na ww kuna wafanya wasiwe wakimbizi?
Hapa tunaongelea sifa za ukimbizi hatuongelei kambi za Marekani na Saudia wala hapa hatukadili mambo ya kuhiji hapa, ebu kuwa na akili hata kidogo basi.
Kati yangu na ww anaye kwepa swari ni nani ?
Ww umesema hapa duniani hakuna myahudi mkimbizi na sisi tukakuuliza ni nn sifa ya mtu kuitwa mkimbizi ili tuone kama hakuna myahudi mwenye hizo sifa lakini cha ajabu unaruka ruka tu?
Wapalestina hawako chini ya NUHCR je hao sio wakimbizi?
Waukiraine walio kimbilia Urusi hawako chini ya NUHCR je wao sio wakimbizi?
Wakimbizi kutoka Afghanistan nchi walioko Iran hawako chini ya NUHCR je wao sio wakimbizi?
Hata ww ni mkimbizi wa kiuchumi japo hauko chini ya UNHCR
Naona unachangia kishabiki haya niletee ushahidi UNHCR hawatambui na kuwasaidia wakimbizi kutoka Iran,Afghanistan na Ukraine ? Maana hao wote data zao zipo. Umeleta ushahidi gani kuhusu wakimbizi wayahudi ? Unaleta taarifa za propaganda. Watu wameshikilia nchi toka 1948, halafu unaona wajinga.

Unajua Six day war ? Waarabu walijikusanya kuishambulia Israel wakafunga na kuswali swala tano. Na bado wakapigwa kipigo cha mbwa mwitu ndani ya siku sita. Mipaka ya Israel ilifika mpaka Misri. Halafu leo unakuja kusema Israel imepigwa mpaka wayahudi wamekuwa wakimbizi. Mimi nilikuwa kama wewe lakini baada ya kukaa na Wayahudi Waarabu bado sana.

Usilete Ushabiki wa kidini huko Uarabuni kuna nchI hazitaki wakimbizi wa ki-palestina. Halafu unakuja kusema waarabu wakuja ku-influence dunia ? Waarabu kutoka Syria,Iraq, Iran wanakuambia ni rahisi kutoboa Ulaya na Marekani kuliko kukimbilia nchi za waarabu wenzao. Hao wanaishi kimatabaka halafu unakuja kusema watampiga myahudi na kuinfluence dunia.
 
Naona unachangia kishabiki haya niletee ushahidi UNHCR hawatambui na kuwasaidia wakimbizi kutoka Iran,Afghanistan na Ukraine ? Maana hao wote data zao zipo. Umeleta ushahidi gani kuhusu wakimbizi wayahudi ? Unaleta taarifa za propaganda. Watu wameshikilia nchi toka 1948, halafu unaona wajinga.

Unajua Six day war ? Waarabu walijikusanya kuishambulia Israel wakafunga na kuswali swala tano. Na bado wakapigwa kipigo cha mbwa mwitu ndani ya siku sita. Mipaka ya Israel ilifika mpaka Misri. Halafu leo unakuja kusema Israel imepigwa mpaka wayahudi wamekuwa wakimbizi. Mimi nilikuwa kama wewe lakini baada ya kukaa na Wayahudi Waarabu bado sana.
Umeanza kudhihirisha uzuzu wako kwa kuanza kujibu kwa jaziba na kashifa.
Sasa kwenye suala la sifa za wakimbizi mambo ya suala tano yametoka wapi?
Hapa tunaongelea vita ya siku sita au tunaongelea sifa ya wakimbizi?

Wakimbizi wote wa Ukraine walioko nchini Urusi hawapati masaada wowote kutoka UNHCR bali wana hudumiwa na serikali ya Urusi labda walio kimbilia nchi nyingine.

Wakimbizi wa kipalestina wa hawapati masaada wowote kutoka UNHCR bali wana shirika lao linalo jitegemea.

Alafu kwanza hizo kazi unazo fanya huko Ujerumani unazifanya saa ngapi? maana kila dk uko humu unaandika pumba tu.
 
Back
Top Bottom