Castrol Ponella atoka jela

ukiua hata utoke jela maisha yako sio marefu haijarish ulikusudia au bahati mbaya ,mifano ipo mingi sana kwa walio ua kufa mapema

Wanajeshi wanaotoka vitani wanakuwa excluded kwenye kundi hili?
 
Guarantee(life span) yao inakuwa ni miaka mingapi kaka? Mbona naona wengi wanaishi na wanawazika wale wanaosemekana ni wema?

Mbona hujibu,au wewe ndiye yule anayejiita nabii Kairuki aliyesema alitabiri kifo cha Marehemu Kanumba na kupata ulaji kwa njia za cd za wajenzi huru? Eleweka basi. Wanaishi miaka mingapi?
 
Wanajeshi wanaotoka vitani wanakuwa excluded kwenye kundi hili?

yap coz hata mungu aliwatuma waue acording to bible. ikiwa wanatetea nchi ila kama ujambazi wanakufa ndio maana hata majambaz hawatak kuua
 
Guarantee(life span) yao inakuwa ni miaka mingapi kaka? Mbona naona wengi wanaishi na wanawazika wale wanaosemekana ni wema?

3-7 yeas. fatilia ndio maana hata marais huogopa kusain hukumu ya kifo.nitaweka link
 
Jay moe siyo punda ila Uholanzi kuna ndugu zake huko na pia labda kaenda kwao na P Funk though sina uhakika ila si mara yake ya kwanza kwenda holland.

J Moe Uholanzi kenda lini? Huyu bro nae Punda nini?
 
kifo cha jamaa kilitisha sana kama headline za habari ilikua hatari tupu. RIP STEVE, SIR GOD AMSAMEE MADHAMBI YAKE CASTRO amen.

duh, toka 2004 niko primary!

nilisikiaga sana hiyo ishu japo sikuielewa vizuri aise!!
 
kifo cha jamaa kilitisha sana kama headline za habari ilikua hatari tupu. RIP STEVE, SIR GOD AMSAMEE MADHAMBI YAKE CASTRO amen.

wote walikuwa hawana akili tu!!! how dare they fight for a woman?

now who was a real lover of that woman by the way?

and what action was taken against that woman ?

for sure love is a crime, let me be 'not wanted'!
 

........Free Nguza and papii kocha.......
 
wote walikuwa hawana akili tu!!! how dare they fight for a woman?

now who was a real lover of that woman by the way?

and what action was taken against that woman ?

for sure love is a crime, let me be 'not wanted'!
tulia mtoto wa juzi,tanguliza heshima kwanza.,na acha hiyo maswali yako...la msingi mshkaji yupo kitaa!,yaliyopita si ndwele
 
Jamaa aliuua kwa bahati mbaya au alikusuduia?
Inasemekana Baba yake ni kiongozi wa jeshi hadhi ya Bregdia(Hii ni nimesikia sina hakika lkn)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…