Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
ndo ilivyokuwa,mapenzi yanaua
Can you kill in the name of LOVE???????????????//
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo ilivyokuwa,mapenzi yanaua
kwako big YESCan you kill in the name of LOVE???????????????//
kwako big YES
ukifurahi nakuwa na amanihahaaaaaaa you made me laugh.....
ukifurahi nakuwa na amani
utasikia zaidi ya hapo mpenzinafurahi kusikia hivo ujue
utasikia zaidi ya hapo mpenzi
Cant wait............
Figganigga kasafiri nini,mbona huna hofu? Yasije yakawa ya Ufoo Saro aisee!
Ditopile hakukaa jela wewe, tofautisha kati ya kifo na usingizi...Mfano mzuri ni ditopile!
Castro ndo produza aliyemtoa fid q kwenye ile ngoma ya fid q dotcomAmesema lazima afanye collabo ya Fid Q na Darasa,yeye atasimama kama producer. Anasema kashafanyafanya mazoezi kwenye studio area za Songea.
Acha kuishi kwa kukariri wewe, watu kibao wanapeta kitaaukiua hata utoke jela maisha yako sio marefu haijarish ulikusudia au bahati mbaya ,mifano ipo mingi sana kwa walio ua kufa mapema
Castro ndo alitengeneza wimbo wa fid q. Com, mchizi mpaka leo angekuwa bonge la prodyuzakweli gereza sio kaburi,yeye mwenyewe anasema hakujua kwamba atatoka,vilevile amesema anatamani kufanya kazi na Fid Q akiwepo Darasa. Alivutiwa na Darasa ile track yake ya nishike mkono.
Sometimes inabidi tupambane tu na hali zetu.. Hii dunia kuna roho mtakatifu na roho mtaka bifu... Marehemu ndo alimfuata castro gheto kwake akiwa na kisu bahati mbaya akafa yeyeDuuh.. Ninaamini ilikuwa ni bahati mbaya na aliumia kutokana na kifo cha mshkaji wake.. na mbaya zaidi yeye kuwa ni sababu ya kifo hicho.. Amuweke Mungu mbele na kujaribu kuwafikia wote walioguswa na msiba huo..
Naona umefufuaa uziiDitopile hakukaa jela wewe, tofautisha kati ya kifo na usingizi
Mkuu kinachowaondoa ni "Revenge" nje ya hapo utadunda tu hadi uzeeni.ukiua hata utoke jela maisha yako sio marefu haijarish ulikusudia au bahati mbaya ,mifano ipo mingi sana kwa walio ua kufa mapema
duh, toka 2004 niko primary!
nilisikiaga sana hiyo ishu japo sikuielewa vizuri aise!!