Castrol Ponella atoka jela

Castrol Ponella atoka jela

kweli gereza sio kaburi,yeye mwenyewe anasema hakujua kwamba atatoka,vilevile amesema anatamani kufanya kazi na Fid Q akiwepo Darasa. Alivutiwa na Darasa ile track yake ya nishike mkono.
Castro ndo alitengeneza wimbo wa fid q. Com, mchizi mpaka leo angekuwa bonge la prodyuza
 
Duuh.. Ninaamini ilikuwa ni bahati mbaya na aliumia kutokana na kifo cha mshkaji wake.. na mbaya zaidi yeye kuwa ni sababu ya kifo hicho.. Amuweke Mungu mbele na kujaribu kuwafikia wote walioguswa na msiba huo..
Sometimes inabidi tupambane tu na hali zetu.. Hii dunia kuna roho mtakatifu na roho mtaka bifu... Marehemu ndo alimfuata castro gheto kwake akiwa na kisu bahati mbaya akafa yeye
 
Utabiri fake magavana wako fake, magavana wa USA wanatia wino kila kukicha wafungwa wanyongwe mbona hawafi wanaishi mpaka uzee.
Watu kibao wanaua tu na wanaishi tena sana
duh, toka 2004 niko primary!

nilisikiaga sana hiyo ishu japo sikuielewa vizuri aise!!
 
Back
Top Bottom