Castrol Ponella atoka jela

Castrol Ponella atoka jela

Huyu jamaa nilisoma kwenye gazeti la udaku kwamba waligombana kwa ajili ya dem,,Steve akamfuata getoni kwake akiwa na kisu,katika purukushani za steve kutaka kumchoma jamaa,jamaa akabahatika kumpokonya kisu na kumchoma steve.
Marehemu au stive2K mmoja wao alikuwa anaamulia ugomvi wa wengine, kama kifo cha faza nelly wa x plastaz
 
ukiua hata utoke jela maisha yako sio marefu haijarish ulikusudia au bahati mbaya ,mifano ipo mingi sana kwa walio ua kufa mapema
Mbona yeye bado yupo chief na hii ni 2021 tunaingia 2022 au maisha mafupi ukitoka jela yanaanzia miaka mingap mpaka mingap?
 
Marehemu au stive2K mmoja wao alikuwa anaamulia ugomvi wa wengine, kama kifo cha faza nelly wa x plastaz
Faza nelly ilikuaje na alifariki mwaka gan
 
Faza nelly ilikuaje na alifariki mwaka gan
Mwaka sina hakika sana ila nahisi 2005, washkaji walikuwa wanagombana kwenda kuamulia bahati mbaya kisu kikampata yeye akadedi
 
Back
Top Bottom