Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,484
Una uzoefu na maeneo hayo?Apo kariakoo ila vyumba vyake vimebanana sjui izo sarakasi mtapigia wapi
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 floor za chini na juu zote sa ingine lift inazingua, aaaghhhrrrUna uzoefu na maeneo hayo?
Ulishafika kutafuta huduma hapo mdau?😀Apo kariakoo ila vyumba vyake vimebanana sjui izo sarakasi mtapigia wapi
Ile hotel si ni wageni? Kwann namimi nsiwe mgeni kati ya wanaoingia na kutoka 🤣 🤣 🤣 🤣Ulishafika kutafuta huduma hapo mdau?😀
ha ha ha hii mipini inasumbua sana watu🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 floor za chini na juu zote sa ingine lift inazingua, aaaghhhrrr
Sa ukikamatia mpini si utakamatia........ha ha ha hii mipini inasumbua sana watu
ha ha ha nitaomba siku moja unipelekeSa ukikamatia mpini si utakamatia........
We nenda mwenyewe jengo la hotel si linaonekanaha ha ha nitaomba siku moja unipeleke
Sipajui nitapoteaWe nenda mwenyewe jengo la hotel si linaonekana
Sipajui nitapotea
Fuataneni PMWe nenda mwenyewe jengo la hotel si linaonekana
ha ha ha ha ha
Wadau habarini ya jioni, poleni na pilika za dar hii, mshamba nimeingia toka mkoani na nimeambiwa Hotel nzuri ya kiwango changu ni CATE HOTEL je hapa mjini iko upande upi maana nimeahidiwa kwenda kula tunda kimasihara!!
Apo kariakoo ila vyumba vyake vimebanana sjui izo sarakasi mtapigia wapi