Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,484
- Thread starter
- #41
Duuuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh
Mkuu mbona unacheka
Wacha weeeeeKuna wageni nlipata hapa home ikabidi walale apo nlienda kuwatafutia mimi
Na jina najiandika lolote tu lileSa zingine unaeka ata Arusha kwan sh ngapi
Ndio maana umesomea tambaza ila ungekuwa Tabora boys, Mzumbe, Ilboru n.k ungekuwa mmmmmhIpo Kingoluwira Morogoro
Mi naandikaga la kwangu kwani nadaiwa?Na jina najiandika lolote tu lile
Mkuu hapa mjini kila hotel, lodge na guest unaijua!Apo kariakoo ila vyumba vyake vimebanana sjui izo sarakasi mtapigia wapi
Umeenda nje kidogo na mawazo yangu, kuingia na kulala hotel sio lazima uwe umekwenda kufanywa na mtu, watu wanasafiri hawana wenyeji, pamoja na kuwa na wenyeji pia kuna umri na majukumu vinakubana kufikia kwa watuWajibu kuwa, kwani wewe si binti, cha ajabu ni nini maana binti lazima apigwe miti na Me apige miti
Sio kwa ubaya lakini 😛 😛Mkuu hapa mjini kila hotel, lodge na guest unaijua!
Sio kwa ubaya lakini [emoji14] 😛
Ni sawa ingawa nilikuwa nakutetea na watu waache kuuliza majibu! Ungalikuwa under 18 hapo swali lake lingalikuwa na mashikoUmeenda nje kidogo na mawazo yangu, kuingia na kulala hotel sio lazima uwe umekwenda kufanywa na mtu, watu wanasafiri hawana wenyeji, pamoja na kuwa na wenyeji pia kuna umri na majukumu vinakubana kufikia kwa watu
Halafu kuna jina moja unakuwa nalo kichwani kila mara unajaza hilo hilo
Sio kwa ubaya kabisa!Ni kweli kabisa mkuu lodge na hotelin tunaenda kwa mambo mazuri mambo mubashara na sio kwa ubaya si ndio
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu amenihukumu? Basi ubongo wake utakuwa na mushkeli kidogoNi sawa ingawa nilikuwa nakutetea na watu waache kuuliza majibu! Ungalikuwa under 18 hapo swali lake lingalikuwa na mashiko
Mi ni msichana, mwaka huu nimetimiza miaka 17 naanza wa 18Ni sawa ingawa nilikuwa nakutetea na watu waache kuuliza majibu! Ungalikuwa under 18 hapo swali lake lingalikuwa na mashiko
Ndio maana umesomea tambaza ila ungekuwa Tabora boys, Mzumbe, Ilboru n.k ungekuwa mmmmmh
Ngoja kesho niende Kazini Rita nikutengenezee birth certificate ya miaka 20Mi ni msichana, mwaka huu nimetimiza miaka 17 naanza wa 18
Hapo sawa