MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Apo kariakoo ila vyumba vyake vimebanana sjui izo sarakasi mtapigia wapi
Mkuu mbona ujamalizia. Tufundishe sasa "ushamba" maana yake ni nini? ili tusikosee tena.watz ndo binadam wajinga zaidi dunian, wanaamin ukitoka mkoani kwenda dar tayar we mshamba or ukiwa hujui kitu fulan tayar unakua mshamba dah bado tupo nyuma sana
Nlilala tu peke angu skuwa na mtu,
Alikupeleka nani huko enh?Apo kariakoo ila vyumba vyake vimebanana sjui izo sarakasi mtapigia wapi
Sawa wangu, so vibaya kumwungisha Bwana Ngallo kimradi chake😀Ile hotel si ni wageni? Kwann namimi nsiwe mgeni kati ya wanaoingia na kutoka 🤣 🤣 🤣 🤣
Hupendi kubanwa!Nlilala tu peke angu skuwa na mtu,
Wewe noumer mpka size ya rum pale unajuaApo kariakoo ila vyumba vyake vimebanana sjui izo sarakasi mtapigia wapi
Wewe wasemawatz ndo binadam wajinga zaidi dunian, wanaamin ukitoka mkoani kwenda dar tayar we mshamba or ukiwa hujui kitu fulan tayar unakua mshamba dah bado tupo nyuma sana
Ile hotel si ni wageni? Kwann namimi nsiwe mgeni kati ya wanaoingia na kutoka 🤣 🤣 🤣 🤣
Ipo mlangoni mwa manispaa ya morogoroWadau habarini ya jioni, poleni na pilika za dar hii, mshamba nimeingia toka mkoani na nimeambiwa Hotel nzuri ya kiwango changu ni CATE HOTEL je hapa mjini iko upande upi maana nimeahidiwa kwenda kula tunda kimasihara!!
Unafahamu maana ya mshamba ?watz ndo binadam wajinga zaidi dunian, wanaamin ukitoka mkoani kwenda dar tayar we mshamba or ukiwa hujui kitu fulan tayar unakua mshamba dah bado tupo nyuma sana
Kuna wageni nlipata hapa home ikabidi walale apo nlienda kuwatafutia mimiAlikupeleka nani huko enh?
Alikupeleka nani huko enh?
Sa zingine unaeka ata Arusha kwan sh ngapiHahaha, wazee wa natoka Dar naenda Dar.
Achana na kujua size ya room....nkifika tu pale reception kama room nayotumiaga ina mtu utaskia leo kule kwako kuna mgeni tayari ngoja tukuangalizie kingine
Sa zingine unaeka ata Arusha kwan sh ngapi
Ahsanten wana jfIpo Kariakoo. Kama unatokea fire kulekea msimbazi mkono wa kushoto.
Tsh. 55,000/= single....karibu
Mkuu nitafanya hivyoMsukuma Original Amejibu Vema
Kariakoo Hapo Ukajilie Vitu Vizuri Taratibu Kumbuka Kamfuko Uvae (Condom)
Ahsante sanaTsh. 55,000/= single....karibu
Wajibu kuwa, kwani wewe si binti, cha ajabu ni nini maana binti lazima apigwe miti na Me apige mitiIle hotel si ni wageni? Kwann namimi nsiwe mgeni kati ya wanaoingia na kutoka 🤣 🤣 🤣 🤣