Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,518
- 10,839
Mimi nitaangalia movie categories zote ila category ya Science Fiction (Sci-Fi) inanipa tabu sana kuangalia movie zake. Nilianza kuangalia movie za Sci-Fi za Spider-Man, miaka hiyo Spider-Man ni movie ambayo lazima uitazame, hii ndio ilinifanya nikawa nafatilia Sci-Fi. Kwenye Spider-Man Marvel wametisha sana, ndio movie pekee ya Sci-Fi ninayoifuatilia kila ikitoka japokuwa sipendi Sci-Fi kwa 99%. Nimetazama zote 1, 2, 3, Spider-Man Homecoming, Spider-Man Far From Home, Spider-Man Into The Spider-Verse.
Movie za mwisho za Sci-Fi kucheki tofauti na Spider-Man ni Black Panther, Venom, Terminator: Dark Fate, tena hizi ni baada ya kuongelewa sana nikaona nisipitwe ila hakuna kitu nili-enjoy kuziangalia.
Kuna siku nlimkuta jamaa anacheki movie ya Sci-Fi nimeisahau jina, akaisifia sana niichukue nikaangalie. Nikakaa nae niangalie kidogo nikashangaa kwenye movie jamaa kapiga kengele kichwa alaf bado mzima hana hata jeraha, nilicheka sana nikajiuliza kwanini movie kama hizi wasiziweke tu kwenye category ya comedy. 😂😂😂 Maana jamaa alipiga diving header moja hatari kama Ronaldo.
Movie za mwisho za Sci-Fi kucheki tofauti na Spider-Man ni Black Panther, Venom, Terminator: Dark Fate, tena hizi ni baada ya kuongelewa sana nikaona nisipitwe ila hakuna kitu nili-enjoy kuziangalia.
Kuna siku nlimkuta jamaa anacheki movie ya Sci-Fi nimeisahau jina, akaisifia sana niichukue nikaangalie. Nikakaa nae niangalie kidogo nikashangaa kwenye movie jamaa kapiga kengele kichwa alaf bado mzima hana hata jeraha, nilicheka sana nikajiuliza kwanini movie kama hizi wasiziweke tu kwenye category ya comedy. 😂😂😂 Maana jamaa alipiga diving header moja hatari kama Ronaldo.