Subiria wakutupia makoko ili ujaze tumbo maisha yasongeNamuunga mkono Mheshimiwa Mbunge kuwa 2025 FOMU ya Urais ndani ya CCM Ni moja tu kwa ajili ya Mama Samia ambaye ndio chaguo letu wana CCM wote kwa umoja wetu.
Hata hivyo CCM Ni moja yenye umoja ,upendo na mshikamano mkubwa sana kuliko wakati mwingine wowote ule.
Mimi mkulima mdogo wangu. Silishwi kama wewe unayeshangaa hadi mtu kudaiwa unaona kama ajabu sana .ndio maana nikaona wewe bado mtoto sana kiakiliSubiria wakutupia makoko ili ujaze tumbo maisha yasonge
Nadhani ni Catheline MagigeMbunge viti maalum Arusha Catherine Ruge amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Huyu anajikomba tuNamuunga mkono Mheshimiwa Mbunge kuwa 2025 FOMU ya Urais ndani ya CCM Ni moja tu kwa ajili ya Mama Samia ambaye ndio chaguo letu wana CCM wote kwa umoja wetu.
Hata hivyo CCM Ni moja yenye umoja ,upendo na mshikamano mkubwa sana kuliko wakati mwingine wowote ule.
Huyu mama kama ali vaa uso wa paka kamuiba mume wa mtu sioni la ajabu akitumia lugha za matusi. Ndiyo silaha ya mwisho ya wana siasa wa CcmMbunge viti maalum Arusha Catherine Ruge amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Nmeishi naye mtaa mmoja wkt huoHuyu dada ndio yule aliyepora mume wa mtu ?
Catherine ni moja kati ya wabunge wa hovyo kabisa. Huenda yuko pale alipo kwa sababu ya kuki.........mbesha!Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Halafu sijui ujasiri wa kuwasema watu wazalendo kama Luhaga Mpina anautoa wapi?!Huyu dada ndio yule aliyepora mume wa mtu ?
Kweli wewe kichwani hazipo kabisa na wala hazisomiWakati nakuelewa kuwa unaishi kwa shemeji yako hapo?
Nyani haoni kundule, hata wewe Joyce mukya umepora mume wa mtu.Huyu dada ndio yule aliyepora mume wa mtu ?