Pre GE2025 Catherine Magige: Luhaga Mpina ni mtu wa ovyo ambaye haamini uongozi wa mwanamke

Pre GE2025 Catherine Magige: Luhaga Mpina ni mtu wa ovyo ambaye haamini uongozi wa mwanamke

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.

Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.

Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.

Hakuna amani tena.

Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.

View attachment 2877418
Haya mabumunda yanatuchelewsha kupata katiba mpya
 
Achana na hilo la kukurupuka na mibangi yake kichwani kama li Mdude Nyagali ambalo muda wote ni moshi wa Bangi tu kichwani kama lipo kwenye jiko la kuni[emoji3][emoji3][emoji3]
Nakuona upo tayari kwenda kazini
1519931150.jpg
 
Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.

Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.

Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.

Hakuna amani tena.

Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.

View attachment 2877418
Huyu kahaba anatafuta uteuzi
 
CCM hawawezi kukaa meza moja na watu waelewa na wenye akili kama Mpina,wao wanataka watu mambumbumbu,wajinga na wasiokuwa na akili ili wanapofanya mambo yao ya hovyo wawapigie makofi.
 
Hawajajifunza kitu kutoka kwa Magufuli hawa watu kwenye uongozi.

Katiba ya CCM ina kamati ya usalama na maadili kuanzia ngazi za tawi kwenda juu.

Inakuwaje mwanachama (tena prominent) kwa nafasi yake ya ubunge awe anaishambulia serikali kila siku bila ya kuitwa kamati ya maadili na kupewa onyo.

Mambo aliyokuwa akifanya Magufuli na Bashiru ndio njia ya kuwaweka wanachama kwenye mstari. Sasa kwanini katika ya CCM ikataka kuwe na kamati za maadili katika ngazi tofauti iwapo wanachama wanaruhusiwa kuwa na utovu wa nidhamu.

Shida ya Mpina chumvi nyingi sana kwenye malalamiko yake, mpaka anakuwa aeleweki anacholalamikia. Waanze kufanyiana ‘psychometric tests’ huko CCM kabla ya kuwapa watu nafasi.

Magufuli alikuwa anafanya mambo ambayo watanzania awajazoea, ila ni utaratibu wa kawaida kwengine duniani.
 
Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.

Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.

Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.

Hakuna amani tena.

Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.

View attachment 2877418
Malaya huyu anatetea teuzi za viti maalum 2025, Uchawa ni jambo baya sana
 
CCM hawawezi kukaa meza moja na watu waelewa na wenye akili kama Mpina,wao wanataka watu mambumbumbu,wajinga na wasiokuwa na akili ili wanapofanya mambo yao ya hovyo wawapigie makofi.
Nakuunga mkono kwa 100%
 
Hawajajifunza kitu kutoka kwa Magufuli hawa watu kwenye uongozi.

Katiba ya CCM ina kamati ya usalama na maadili kuanzia ngazi za tawi kwenda juu.

Inakuwaje mwanachama (tena prominent) kwa nafasi yake ya ubunge awe anaishambulia serikali kila siku bila ya kuitwa kamati ya maadili na kupewa onyo.

Mambo aliyokuwa akifanya Magufuli na Bashiru ndio njia ya kuwaweka wanachama kwenye mstari. Sasa kwanini katika ya CCM ikataka kuwe na kamati za maadili katika ngazi tofauti iwapo wanachama wanaruhusiwa kuwa na utovu wa nidhamu.

Shida ya Mpina chumvi nyingi sana kwenye malalamiko yake, mpaka anakuwa aeleweki anacholalamikia. Waanze kufanyiana ‘psychometric tests’ huko CCM kabla ya kuwapa watu nafasi.

Magufuli alikuwa anafanya mambo ambayo watanzania awajazoea, ila ni utaratibu wa kawaida kwengine duniani.
Wacha migambo waruke na kukanyagana
 
mimi mwenyewe sitaki kusikia mwanamke ananiongoza inawezekanaje january kuna mgao wa umeme wakalee watoto huko mama yenu ni dhaifu kweli kweli.
 
Back
Top Bottom