Pre GE2025 Catherine Magige: Luhaga Mpina ni mtu wa ovyo ambaye haamini uongozi wa mwanamke

Pre GE2025 Catherine Magige: Luhaga Mpina ni mtu wa ovyo ambaye haamini uongozi wa mwanamke

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.

Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.

Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.

Hakuna amani tena.

Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.

View attachment 2877418
Kimsingi sijasikia matusi lakini nilichokiona ni kijana mmoja aliyekosa akili akipayuka bila kutafakari kuwa anavunja sheria za uchaguzi....

Kampeni za urais ndani ya CCM zitaondoka na roho za watu
 
Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.

Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.

Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.

Hakuna amani tena.

Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.

View attachment 2877418
Habari njema sana kwa sisi tunao iombea njaa ccm.
 
e7b59ec1-e20a-46e7-b233-c0bfb12cd777.jpg
 
Kimsingi sijasikia matusi lakini nilichokiona ni kijana mmoja aliyekosa akili akipayuka bila kutafakari kuwa anavunja sheria za uchaguzi....

Kampeni za urais ndani ya CCM zitaondoka na roho za watu
Mkuu nimekuelewa ila ujue matusi au siyo matusi ni jinsi gani ulivyo chukulia binafsi.
 
Wamegombana dagaa ambao hawana impact yoyote kwenye chama then unasema chama kinawaka moto 😂 hao ni sawa na akina mdude huko ufipani yani ni wale wasindikizaji na wapiga kelele wa chama
 
Najua na shemeji yako yaani diwani ni rafiki yangu
Ndio maana nasema akili yako haipo sawa.maana aliye sawa kichwani na anayejitambua hawezi akakaa na kuanza kutunga vihabari vya uongo na uzushi .wewe bado ni mtoto na mwenye akili ya kitoto sana.
 
Back
Top Bottom