Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwanini wanawake ukiwakosoa huwa wanatumia jinsia yao kusema ndio sababu ya kukosolewa. Yani hii ni jambo la kushangaza sana kwa kweli.Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Pole sana mkuu umesema kwa kuguswa sana na hali ilivyo ndani ya chama.Kwanza kabisa, nianze kwa kusema, tunavyosema Wanyamwezi, "I don't have a dog in this fight". Huu si ugomvi ambao nina upande wowote maalum kwa maana ya Mpina au Magige.
Inawezekana Mpina ana makosa yake, personally naona hata Mpina akiwa na point, presentation yake ni ya kukurupuka zaidi, kwa hivyo siko hapa kumtetea Mpina.
Lakini pia, kuna kitu nakiona kinajirudiarudia CCM, hususan kwa baadhi - msisitizo ni kwenye baadhi, si wote - baadhi ya wanawake wa CCM.
Hivi, kwanini mtu anayemsema Rais, kama Rais, si kama mwanamke, anachukuliwa kwamba anamsema Rais kwa kuwa ni mwanamke?
Kuna inferiority complex miongoni mwa wanawake hawa wa CCM inayowafanya waone kuwa, Rais anapokosolewa tu, basi ni lazima anakosolewa kwa sababu ni mwanamke, na si kwa sababu ni rais?
Watanzania tunataka Rais anayeweza kukosolewa, hatutaki Rais aliyevishwa bullet proof ya kutoweza kukosoleka kwa sababu ni mwanamke.
Ikiwa hivyo tutasema wanawake hawafai kuongoza, kwa sababu wakipata uongozi tunakatazwa kuwakosoa, tukiwakosoa tunaambiwa kwa nini tunakosoa wanawake?
Hawa wanawake wanaweza kumuangalia Rais Samia kama Rais kamili, kama Rais, na si kama Rais Mwanamke au Mwanamke?
Mlio nyumbani labda mtanisaidia vizuri, sijamfuatilia Mpina muda, I don't put anything past him either. So labda mimi ndiye niko out of touch na kauli zake za karibuni.
Kuna kauli mahsusi ya kunyanyapaa mwanamke ambayo Mpina ameitoa imemfanya Magige aseme hivi?
Labda kuna kauli mahsusi ya kunyanyapaa wanawake kaisema Mpina sijaisikia mimi jamani?
Maana isije kuwa wanasiasa wanaamua kujificha kwenye chaka la uanamke, na kutaka kupata kinga Rais asisemwe na mtu, na akisemwa tu, wanakimbilia kulalamika kwamba Rais anasemwa kwa sababu ni mwanamke.
Kufanya hivyo kutakuwa ni kumvunjia heshima rais na kuwavunjia heshima wanawake.
Mbona marais wote wamepingwa? Mbona Nyerere kapingwa mpaka kafanyiwa njama za kupinduliwa mara mbili?
Nyerere alikuwa mwanamke?
Mbona Mwinyi kapingwa mpaka kachorwa na Punch?
Mwinyi ni mwanamke?
Mbona Mkapa kapingwa mpaka kasomewa risala za kupinga ubinafsishaji?
Kwani Mkapa alikuwa mwanamke?
Mbona Kikwete kapingwa mpaka kwenye nomination za CCM urais kapata mpinzani kutoka CCM John Shibuda, wakati Kikwete akiwa Rais? (Kitu ambacho CCM wengine wanataka kuzuia 2025)
Kwani Kikwete ni mwanamke?
Mbona Magufuli kapingwa sana mpaka kapiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani Tanzania?
Kwani Magufuli alikuwa mwanamke?
Kuna kauli gani Mpina kaitoa kunyanyapaa wanawake kwa Samia?
Vinginevyo, msimnyime Rais Samia haki yake ya kupingwa sawa na marais wote waliopita, kwa sababu yeye mwanamke tu.
Ukubwa gunia la chawa. Kalitaka mwenyewe. Nyerere alisema Ikulu si sehemu ya kukimbikia pale, kuna matatizo chungu mbovu.
Hata kina Kinjeketile walikuwa wanaamini kuwa nchi hii hakuna mtu wa kuitawalaHaya yameshapangwa, huyo mpina 2025 hapitishwi na CCM, na kura zitaibwa ili asishinde
Huyu mdada ni collateral tu kwa kuwa ni non elect member ndio maana anatumika
Hii nchi hakuna wa kuishinda CCM, the rest is history
Chama cha majizi, mafisadi na machawa. CCMNamuunga mkono Mheshimiwa Mbunge kuwa 2025 FOMU ya Urais ndani ya CCM Ni moja tu kwa ajili ya Mama Samia ambaye ndio chaguo letu wana CCM wote kwa umoja wetu.
Hata hivyo CCM Ni moja yenye umoja ,upendo na mshikamano mkubwa sana kuliko wakati mwingine wowote ule.
Ukute Yuko "Member of Parliament" ndio maanaMbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Hakuna mkulima pimbi kama weweMimi mkulima mdogo wangu. Silishwi kama wewe unayeshangaa hadi mtu kudaiwa unaona kama ajabu sana .ndio maana nikaona wewe bado mtoto sana kiakili
Watapigana vipapai wafe wote hawa mbwa wa kijani na laana za mababu, mizimu,watanzania ziwe juu ya CCM hata mwanzo na mwisho wa DahariMbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Haka kadada katakuwa na UTI kichwan.Halafu sijui ujasiri wa kuwasema watu wazalendo kama Luhaga Mpina anautoa wapi?!
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Mkuu mbona hajatoa matusi yoyote dhidi ya Luhaga Mpina? Inaonekana unajambo lako wewe!Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Mkuu taja tusi moja ambalo katukana? Acha uongo, simamia ukweli. Usitumie uongo kuhalalisha ukweli!Huyu mama kama ali vaa uso wa paka kamuiba mume wa mtu sioni la ajabu akitumia lugha za matusi. Ndiyo silaha ya mwisho ya wana siasa wa Ccm
Na ukifuatilia kwa makini, uta kuta kuna kikundi kime andaliwa kumfanyia Mpina hayo mambo, ili kuficha maovu yao.
Na ni wale wezi, watoto pendwa wa Mama
Hamna alipata zaidi ya 7,000. Namfahamu huyu dogo. Ni uelewa wake tu mdogo na hana kazi.Subiria wakutupia makoko ili ujaze tumbo maisha yasonge
Ijumaa hii sikukuona ofisi ndogo. Upo ok?Kweli wewe kichwani hazipo kabisa na wala hazisomi
😂CCM hawawezi kukaa meza moja na watu waelewa na wenye akili kama Mpina,wao wanataka watu mambumbumbu,wajinga na wasiokuwa na akili ili wanapofanya mambo yao ya hovyo wawapigie makofi.
Mkuu me sio mtu wa masiasa ila naomba kuuliza , anachokisrma Mpina ni ukweli au uongo ? Kama ni uongo hiyo ni mbaya kama ni ukweli basi kwa faida ya watu wengi wa hili taifa acha ukweli usemwe, na kama mtu akisemwa ukweli unasema atafutiwe system ya kuwekwa kwenye mstari ili watu wachache wa ccm wafichiwe siri ya upumbavu wanaofanya ambao unawafaidisha wao tu na familia zao huo ni ujinga wa kiwango cha lami na kwa muktadha huo, Mpina atakuwa na point kwa maslai ya watanzania, sababu kwa situation ilivyo saivi ni familia tano tu Tanzania zinaamua nani awe rais hapa Tz, wengine wote ni machawa wa hizo familia na malipo ya huo uchawa ni kupewa ubunge na uwaziri, akitokea mtu msema ukweli anaonekana snitch, huoni hapo kama kuna tatizo ?Hawajajifunza kitu kutoka kwa Magufuli hawa watu kwenye uongozi.
Katiba ya CCM ina kamati ya usalama na maadili kuanzia ngazi za tawi kwenda juu.
Inakuwaje mwanachama (tena prominent) kwa nafasi yake ya ubunge awe anaishambulia serikali kila siku bila ya kuitwa kamati ya maadili na kupewa onyo.
Mambo aliyokuwa akifanya Magufuli na Bashiru ndio njia ya kuwaweka wanachama kwenye mstari. Sasa kwanini katika ya CCM ikataka kuwe na kamati za maadili katika ngazi tofauti iwapo wanachama wanaruhusiwa kuwa na utovu wa nidhamu.
Shida ya Mpina chumvi nyingi sana kwenye malalamiko yake, mpaka anakuwa aeleweki anacholalamikia. Waanze kufanyiana ‘psychometric tests’ huko CCM kabla ya kuwapa watu nafasi.
Magufuli alikuwa anafanya mambo ambayo watanzania awajazoea, ila ni utaratibu wa kawaida kwengine duniani.