Pre GE2025 Catherine Magige: Luhaga Mpina ni mtu wa ovyo ambaye haamini uongozi wa mwanamke

Pre GE2025 Catherine Magige: Luhaga Mpina ni mtu wa ovyo ambaye haamini uongozi wa mwanamke

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndio tulipo hapo tunazunguka in circles na changamoto hizo kwa miaka 60.

Na watu hawataki kubadilika huko serikalini kwa sababu mfumo huo unamanufaa kwa wenye nafasi.

Hakuna kazi ngumu duniani kama kuwabadili watu tabia, ofisi ya watu watano tu ukiwabarishia utaratibu wa kufanya mambo kati yao majority awawezi kubali kirahisi huo utaratibu mpya if were up to them.

Imagine ujaribu kubadili tabia za watu millioni mbili sijui tatu walioajiriwa serikalini, scrupulously businessman jitu linaenda kukopa bank badala ya kufanya uzalishaji wa resources lenyewe linataka kuuza huduma serikalini tu ukifuta huo utaritibu alitaki kuelewa linaona ni haki, unakuta jingine limezoea kukwepa kodi ukilidai kisheria linalia limeporwa.

Worst a majority of poorly prepared civil servants at ministries and local government.

Matatizo ni luluki na uongozi uliopo which not concerned with changes.
Yeah man, well said, there is a discrepancy between the ruling class and us, ambacho mimi sikubaliani ni kwamba wametengeneza infinite loop ambayo kwenye programming tunasemaga ni is a piece of code that lacks a functional exit so that it repeats indefinitely. Sasa hapo mzee ili hiyo loop isimame there must be external factors. Aloo mkuu accountability ni tatizo sana hapa Tanzania, kila siku unasikia stori mpya za watu kufanya blunders wanazofanya aloo its confusing kwakweli. Mfano it has been said kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu lakin hilo somo lilifutwa kwenye preliminary education zetu na kids have been brainwashed kwamba kilimo ni kazi ya mateso ngumu na ni maskini tu huwa wanalima, aloo mambo yamechanganyikana sana hapa Tz mkuu na viongozi wako busy kuangalia maisha yao na wako wanaanda successors watakao walinda pindi watakapo toka madarakani ndio mana nasema wametengeneza loop ya ajabu sana aloo na kuna watu wanaume wana wa hail na kuwashangilia kinamna ambayo inabidi uanze kuwashangaa na ikatokea mtu akasema ukweli kidogo anakuwa threat kwao kiasi kwamba wanamuundia kikosi kazi. Kazi kweli kweli masta.
 
Yeah man, well said, there is a discrepancy between the ruling class and us, ambacho mimi sikubaliani ni kwamba wametengeneza infinite loop ambayo kwenye programming tunasemaga ni is a piece of code that lacks a functional exit so that it repeats indefinitely. Sasa hapo mzee ili hiyo loop isimame there must be external factors. Aloo mkuu accountability ni tatizo sana hapa Tanzania, kila siku unasikia stori mpya za watu kufanya blunders wanazofanya aloo its confusing kwakweli. Mfano it has been said kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu lakin hilo somo lilifutwa kwenye preliminary education zetu na kids have been brainwashed kwamba kilimo ni kazi ya mateso ngumu na ni maskini tu huwa wanalima, aloo mambo yamechanganyikana sana hapa Tz mkuu na viongozi wako busy kuangalia maisha yao na wako wanaanda successors watakao walinda pindi watakapo toka madarakani ndio mana nasema wametengeneza loop ya ajabu sana aloo na kuna watu wanaume wana wa hail na kuwashangilia kinamna ambayo inabidi uanze kuwashangaa na ikatokea mtu akasema ukweli kidogo anakuwa threat kwao kiasi kwamba wanamuundia kikosi kazi. Kazi kweli kweli masta.
Where you’ve highlighted in bold is the crucial of the problem. The similarity of your analogy to our political environment is the permeating culture of self serving interests first which is too deep and that too needs someone who’s willing to break the cycle.

Na sio kazi rahisi ndio maana Magufuli alikuwa aelewiki huko serikalini na CCM kwa sababu hiyo sio kazi ndogo kabisa kuwabadili watu tabia. It’s the reason the world came up with ‘Change Management Theories’ advising how best to implement long lasting changes.

Kasheshe sasa inakuja a majority of those who are tasked for that job are not strategic trained in addition to being deeply assimilated and beneficiaries of the same culture you’re asking them to eliminate.

With that bila ya mtu kama dizaini ya Magufuli sio Tanzania, kwa Africa maendeleo tusahau. Wanaoelewa ugumu wa hiyo kazi ndio maana walikuwa wana appreciate jitihada za hayati. Hata former Kenyan president siku ya kuaga mwili wa JPM pale Dodoma usia wake kwa raisi Samia; dada yangu umechongewa njia usitoke tafadhali kwenye huo mstari baki hapo hapo hiyo ndio njia sahihi.
 
Namuunga mkono Mheshimiwa Mbunge kuwa 2025 FOMU ya Urais ndani ya CCM Ni moja tu kwa ajili ya Mama Samia ambaye ndio chaguo letu wana CCM wote kwa umoja wetu.

Hata hivyo CCM Ni moja yenye umoja ,upendo na mshikamano mkubwa sana kuliko wakati mwingine wowote ule.
Ila wewe jamaa ni jinga unaishi kwa kujipendekeza,hutofika mbali
 
Where you’ve highlighted in bold is the crucial of the problem. The similarity of your analogy to our political environment is the permeating culture of self serving interests first which is too deep and that too needs someone who’s willing to break the cycle.

Na sio kazi rahisi ndio maana Magufuli alikuwa aelewiki huko serikalini na CCM kwa sababu hiyo sio kazi ndogo kabisa kuwabadili watu tabia. It’s the reason the world came up with ‘Change Management Theories’ advising how best to implement long lasting changes.

Kasheshe sasa inakuja a majority of those who are tasked for that job are not strategic trained in addition to being deeply assimilated and beneficiaries of the same culture you’re asking them to eliminate.

With that bila ya mtu kama dizaini ya Magufuli sio Tanzania, kwa Africa maendeleo tusahau. Wanaoelewa ugumu wa hiyo kazi ndio maana walikuwa wana appreciate jitihada za hayati. Hata former Kenyan president siku ya kuaga mwili wa JPM pale Dodoma usia wake kwa raisi Samia; dada yangu umechongewa njia usitoke tafadhali kwenye huo mstari baki hapo hapo hiyo ndio njia sahihi.
The first paragraph says everything ndio mana me hawa jamaa siwasikilizagi kila kitu because they preach what they dont do, kwanza kabisa most of them are not incapable of the positions they are holding, ukisema sana unaonekana hater lakini kimsingi kama umeitaka nafasi ukaipata basi fanya kazi sio kudanganya watu na blabla nyingi. Anyways thank you man, nimetoka na kitu cha kujifunza unlike the other guys wanaojua kutukana kwa vitu ambavyo unaweza kujenga hoja . KUDOS..
 
Mmm, now that’s really confounding.

Tuseme uko sahihi, ni kwa namna gani basi Watanzania (na Waafrika) wataweza kupata viongozi kama Magufuli? Namna sahihi na ya kuaminika?
Ukiona mtu ukosoaji wake kwa watendaji ni kutofuata due process za kufanya mambo kama zilivyoweka na taasisi husika and s/he is well informed or willing to educate themselves on various government department accepted practices.

Mkali watu wasipofuata taratibu, aoni shida kutumbua watendaji wabovu hizo ni telling signs za mtu wa kuweza kuja kubadilisha mambo.
 
Ukiona mtu ukosoaji wake kwa watendaji ni kutofuata due process za kufanya mambo kama zilivyoweka na taasisi husika and s/he is well informed or willing to educate themselves on various government department accepted practices.

Mkali watu wasipofuata taratibu, aoni shida kutumbua watendaji wabovu hizo ni telling signs za mtu wa kuweza kuja kubadilisha mambo.
Sawa. Let me be plain. Hivi sasa Rais anapatikana kupitia uchaguzi (election) au “kurithishwa” na katiba (constitutional succession) kama ilivyokuwa kwa SSH.

Sasa, ni mchakato aina ipi utakaowawezesha wananchi kumpata kiongozi aina ya Magufuli? Au ni suala la bahati tu?
 
Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.

Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.

Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.

Hakuna amani tena.

Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.

View attachment 2877418
Arusha wote ni Chadema! Unayemsemea ni Chadema?
Sikiliza malalamiko Tanga! Tulia afike Arusha!
 

Attachments

  • 5605601-93a56f1d230549230a85c385d394400d.mp4
    10.6 MB
Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.

Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.

Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.

Hakuna amani tena.

Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.

View attachment 2877418
ni huzuni kwa kweli 😂, haya kazi umemaliza subiri makoko
 
Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.

Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.

Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.

Hakuna amani tena.

Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.

View attachment 2877418
Huyu namjua ni mtu wa hovyo, anatafuta madaraka pekee, Mpina yupo sahihi sn
 
Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.

Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.

Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.

Hakuna amani tena.

Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.

View attachment 2877418
hayo maneno Mpina aliyasemea wapi tuletee clip vinginevyo sisi wananchi tutafungua kesi mahakamani kwa kosa la wewe magige kumkashifu Rais kwa kujificha kwenye kichaka cha mpina...mpina ni kiongozi asiyeopenda majungu ndio maana kila anachofanya anafanya kwa uwazi mawazo yake anayatoa hadharani
 
Sawa. Let me be plain. Hivi sasa Rais anapatikana kupitia uchaguzi (election) au “kurithishwa” na katiba (constitutional succession) kama ilivyokuwa kwa SSH.

Sasa, ni mchakato aina ipi utakaowawezesha wananchi kumpata kiongozi aina ya Magufuli? Au ni suala la bahati tu?
Hayo sasa majibu yake kuelekea uchaguzi wa 2025 yapo juu uwezo wangu kujibu ni maswala ya ndani ya CCM.
 
Magufuli hakuwa kiongozi, bali mtawala.


JESUS IS LORD&SAVIOR
Sawa. Ila jua kuwa kuna watu wengi nchini wanaoamini kwa dhati kabisa kuwa Magufuli alikuwa kiongozi bora sana hapa Tanzania hata Afrika yote - pengine hata kumzidi Nyerere!

Najiuliza tu watu hao wanafikirije namna aina hiyo ya “kiongozi wao bora kabisa” atakavyoweza kupatikana nikikumbuka jinsi Magufuli alivyoweka pembeni Katiba, mihimili ya kidemokrasia na utawala wa sheria na kuhakikisha anapanga anavyotaka chaguzi kuu za 2019 na 2020.

Hawaupendi kabisa utawala wa sasa wa SSH wala hawataki kabisa upinzani. Wao wanataka tu “Magufuli mwingine” aje kuwa Rais! Nataka wanijibu, atakujaje? Kivipi? Naiona “paradox” kubwa sana hapa.
 
Back
Top Bottom