Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuunga mkonohayo maneno Mpina aliyasemea wapi tuletee clip vinginevyo sisi wananchi tutafungua kesi mahakamani kwa kosa la wewe magige kumkashifu Rais kwa kujificha kwenye kichaka cha mpina...mpina ni kiongozi asiyeopenda majungu ndio maana kila anachofanya anafanya kwa uwazi mawazo yake anayatoa hadharani
Wacha kumlinganisha baba wa taifa na watu wasiyo na sifa hizoSawa. Ila jua kuwa kuna watu wengi nchini wanaoamini kwa dhati kabisa kuwa Magufuli alikuwa kiongozi bora sana hapa Tanzania hata Afrika yote - pengine hata kumzidi Nyerere!
Najiuliza tu watu hao wanafikirije namna aina hiyo ya “kiongozi wao bora kabisa” atakavyoweza kupatikana nikikumbuka jinsi Magufuli alivyoweka pembeni Katiba, mihimili ya kidemokrasia na utawala wa sheria na kuhakikisha anapanga anavyotaka chaguzi kuu za 2019 na 2020.
Hawaupendi kabisa utawala wa sasa wa SSH wala hawataki kabisa upinzani. Wao wanataka tu “Magufuli mwingine” aje kuwa Rais! Nataka wanijibu, atakujaje? Kivipi? Naiona “paradox” kubwa sana hapa.
Hamna kitu, empty head .Kweli alikuwa anaziweza kazi?
Hii kitu ndiyo iliyoenda arabuni nusu uchi eti eh! Mpina hamumuwezi cha kufanya kuacha ujambazi tu!Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Akamfia!Huyu dada ndio yule aliyepora mume wa mtu ?
Huyu ni msimbe ama kishapata bwana?Mbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Huyo ni cha wote. Sijui umenierewa ?Huyu ni msimbe ama kishapata bwana?
Kuna kitu nataka kujua ndio niandike.
M.l.yaMbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa CCM sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
UbungeHajaingizwa huko wapi? Mkuu weka maelezo yako sawa!
Chama gani hicho kinachokumbatia wezi na mafisadiNamuunga mkono Mheshimiwa Mbunge kuwa 2025 FOMU ya Urais ndani ya CCM Ni moja tu kwa ajili ya Mama Samia ambaye ndio chaguo letu wana CCM wote kwa umoja wetu.
Hata hivyo CCM Ni moja yenye umoja ,upendo na mshikamano mkubwa sana kuliko wakati mwingine wowote ule.
Huyu Mpina si ndiye aliyeenda kupima urefu wa samaki kwa rula wakiwa wameshapikwa, akiwa anajipendekeza kwa Magu???Huyu namjua ni mtu wa hovyo, anatafuta madaraka pekee, Mpina yupo sahihi sn